Solution ni kuacha kutoaa hiyo michango tu, kwani umelazimishwa?
Kingine, mapadre waache na wakome kutoa vitisho vya kishamba kishamba Kwa waumini,
Matangazo ni mengi na marefu ambayo mengi ni useless,
Mahubiri yawe mafupi yenye kumjenga mtu kiimani na kiroho, sio kila mahubiri lazima waongelee kuhusu hela,
Tusikubali mambo ya kijinga kijinga kanisani, padre yupo kwàajili ya waumini, sio waumini kwàajili ya padre.
Kama hutaki kutoa huduma toka na upote parokiani kwetu,
umejileta wewe mwenyewe parokiani kwetu,ni wajibu wako kutupatia huduma.
Sisi Waumini kama tukipendezwa tunaweza tukachanga chochote kitu, lakini sio lazima.