Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Sina ushahidi kuwa kanisa chini ya papal urban II lili amrisha crusade war ?

Au lengo lako wewe mimi niandike kitabu hapa ? Sio muandishi mzuri wa maneno mengi.

Wewe ni liongo. sijui ikiwa umeongopa kwa bahati mbaya ama maksudi. Sasa kama huna ushahidi na yule member ulimtaka akasome nini nje ya Jf ilhali unajua fika hakuna ushahidi wa dai lako?.
Dai uibue wewe, uhojiwe useme "huna ushahidi" mara "nenda kasome history ya kanisa" kwa hiyo kanisa ndiyo linatoa ushihidi usio kuwepo?

Ikiwa umeshindwa kutofautisha neno "RETALIATION " na "KUSAPOTI" kwanini nidhani kuwa ninjadiliana mtu nyuma ya keypad na si robot?.
Umma wa kiislam ulivamia ulaya kwa dhumni la kuslimisha wakristo wa ulaya. Wakaenda mbali zaidi hadi kuchoma mashua zao ili asiwepo miongoni mwao wa kurudi nyuma dhidi ya ad hima yao.

Katika hali hiyo kanisa likaamua kujibu dhuluma ya waislamu dhidi ya wakristo.
katika hali hiyo neno sapoti linatoka wapi?.
Sapoti dhidi ya nani hasa?.
Kwako sapoti lina maana nyingine ama ni hii hii inayojulikana na wengi?.
Acha utoto.
 
Wewe ni liongo. sijui ikiwa umeongopa kwa bahati mbaya ama maksudi. Sasa kama huna ushahidi na yule member ulimtaka akasome nini nje ya Jf ilhali unajua fika hakuna ushahidi wa dai lako?.
Dai uibue wewe, uhojiwe useme "huna ushahidi" mara "nenda kasome history ya kanisa" kwa hiyo kanisa ndiyo linatoa ushihidi usio kuwepo?

Ikiwa umeshindwa kutofautisha neno "RETALIATION " na "KUSAPOTI" kwanini nidhani kuwa ninjadiliana mtu nyuma ya keypad na si robot?.
Umma wa kiislam ulivamia ulaya kwa dhumni la kuslimisha wakristo wa ulaya. Wakaenda mbali zaidi hadi kuchoma mashua zao ili asiwepo miongoni mwao wa kurudi nyuma dhidi ya ad hima yao.

Katika hali hiyo kanisa likaamua kujibu dhuluma ya waislamu dhidi ya wakristo.
katika hali hiyo neno sapoti linatoka wapi?.
Sapoti dhidi ya nani hasa?.
Kwako sapoti lina maana nyingine ama ni hii hii inayojulikana na wengi?.
Acha utoto.
Nimekutajia papal hapo aliye amrisha Crusade war kwa mara ya kwanza.

Uongo wangu upo wapi hapo ?
 
Puntus pilate

I have washed my hands off arguing with you just the way puntus washed his hands off the death of christ.
Nazo crusade war zilikuwa zinapiganiwa katika ulimwengu wa roho ? Ili tuziite vita takatifu.

Au zili husisha majambia na kuchinja watu kama kuku na bado zikaitwa vita takatifu huku kanisa likitajwa kuwa halija tenda dhambi kwa kuvunja amri ya sita [ Usiue ].
Screenshot_20230313-210330.jpg
 
Please stop this afro pessimism, especially when you're not even familiar with history or when you're only interested in 'uongo' and never good news coming out of catholic church.
Njia nyepesi ya kushindwa kuonesha huo uongo wangu umeamua ubadili lugha ?

Hiyo njia haiwezi kukusaidia.
 
Hehehe napenda namna maustadh mnafuatilia kila hoja inayohusu ushoga, ukizingatia ushoga ulivyoshamiri maeneo yenu ya lani huko na pemba.....
Hata hivyo hii haijazidi tukio la yule mwarabu wenu mnayemuabudu aliyekua anagegeda katoto
@deepond liply ya mkenya ndo hii umeiona 😃
Yani zilongwa mbali, zitendwa mbali😃
Nashukuru mungu kuzaliwa bongo,,
 
[emoji1787][emoji1787] unahangaika

Wala sihangaiki, nawakumbusha nyie mnaomuabudu muddy, huwa mko obsessed sana na masuala ya ushoga na kuyafanya kimya kimya, japo huwa mnaumbuka mara nyingi tu, Pwani na Pemba ndio zenu.
 
@deepond liply ya mkenya ndo hii umeiona 😃
Yani zilongwa mbali, zitendwa mbali😃
Nashukuru mungu kuzaliwa bongo,,

Hiyo Bongo kuna wakati mliamsha uzombi wenu wa kidini mkazimwa, ila mumeichafua sana kwanza huko pwani na Pemba, juzi niliona sehemu hadi polisi wa huko Pemba ni shoga kabisa.
 
Ndiyo hivyo wakuu, kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa

---
====
Mkutano wa Sinodi - ambao unalenga katika mageuzi ya Kanisa - uliidhinisha hati huko Frankfurt siku ya Ijumaa ili kuruhusu wapenzi wa jinsia moja wapewe baraka zao na Kanisa Katoliki la Ujerumani kuanzia mwaka 2026.

Kati ya wanachama 202 wa Mkutano wa Sinodi, 176 walipiga kura kuunga mkono hati hiyo, huku 14 wakipinga na 12 wakijizuia.

Mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi

Kuruhusu sherehe za baraka kwa wapenzi wa jinsia moja ni miongoni mwa madai muhimu katika mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi, ambao umekuwa ukiendelea tangu mwaka 2019.

Harakati za kisasa pia zinataka kumaliza ukungu kwa mapadri na kuona wanawake wanapewa daraja la mashemasi.

Kulingana na shirika la habari la Kikatoliki la Kijerumani KNA, baraka pia zitaruhusiwa kwa watu waliooa tena kiraia na wanaoachika.

KNA iliripoti kuwa kulikuwa na mapendekezo kwamba Baraza la Maaskofu la Kijerumani na Kamati Kuu ya Wakatoliki wa Kijerumani "waweze kukuza na kuwasilisha maadhimisho yanayofaa kwa wakati unaofaa."

Miaka mitatu kwa mabadiliko hayo kutekelezwa itatumika kwa ajili ya kuendeleza mfumo wa liturjia ya sherehe hiyo kwa ushiriki wa maaskofu.

Kanisa Katoliki na mageuzi

Vatikani na harakati za mageuzi ya Ujerumani

Kanisa nchini Ujerumani ilianzisha harakati ya mageuzi wakati idadi kubwa ya Wajerumani walipokuwa wanatoka katika makongamano ya Kanisa na skandali za unyanyasaji wa kingono zinazohusisha Kanisa. Uanachama wa kanisa ulishuka chini ya asilimia 50 kwa mara ya kwanza mwaka 2021.

Vatikani hapo awali ilifanya wazi kwamba inaona madai ya Njia ya Sinodi ya kushughulikia ubaguzi wa kimapenzi, ukungu, na wanawake katika Kanisa kama yanayosababisha mgawanyiko, na kuonya kwamba madai hayo yanaweza kusababisha mwanya.

Mwezi wa Julai mwaka jana, Kiti kitakatifu kiliionya viongozi wa marekebisho ya Kijerumani kwamba hawana mamlaka ya kuwaongoza maaskofu kuhusu masuala ya maadili au mafundisho.

Askofu wa Eichstätt, Gregor Maria Hanke, alionya juu ya hatari ya kutokea mgawanyiko ndani ya Kanisa kuhusu suala hilo, kama ilivyotokea ndani ya Kanisa la Kianglikana.
====
The Synodal Assembly — which is focused on reforming the Church — adopted a paper in Frankfurt on Friday to allow for same-sex couples to have their relationships blessed by the German Catholic Church from 2026.

Of the 202 members of the Synodal Assembly, 176 voted in favor of the paper, while 14 against and 12 abstained.

Synodal Path reform process

Allowing blessing ceremonies for same-sex couples has been among the key demands in the Synodal Path reform process, which has been ongoing since 2019.

The progressive movement also seeks to end celibacy for priests and see women ordained as deacons.

According to the German Catholic news agency KNA, blessings would also be allowed for civilly remarried and divorcees.

KNA reported that the there was a recommendation that the German Bishops' Conference and the Central Committee of German Catholics "develop and introduce appropriate liturgical celebrations in a timely manner."

The three years for the change to take effect are to be used to develop the liturgical format of the ceremony with the participation of
the bishops.

Catholic Church and reform

The Vatican and Germany's reform movement

The church in Germany launched the reform movement amid record numbers of Germans leaving congregations and sex abuse scandals involving the church. Church membership dropped below 50% for the first time in 2021.

The Vatican has in the past made it clear that it views the Synodal Path's calls for addressing homosexuality, celibacy and women in the Church as divisive, and warned those calls could cause a fracture.

In July last year, the Holy See warned German reformers that they had no authority to instruct bishops on moral or doctrinal matters.

Bishop of Eichstätt, Gregor Maria Hanke, warned of the danger of a rift occurring within the Church on the issue, as has been seen within the Anglican Church.
RC si ndo ma antichrist wenyewe hamna chakushangaa tukutane kiama

🏃🏃🏃🏃
 
Kuja tofauti ya individual behavior ndani ya ideology Group fulani against official or formal declaration inatolewa na heads na followers Kuwa ni SAINTS.. Kwamba wanachokisema kwa upole basi ni wachamungu na ndio kauli ya MUNGU ....
 
Ndiyo hivyo wakuu, kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa

---
====
Mkutano wa Sinodi - ambao unalenga katika mageuzi ya Kanisa - uliidhinisha hati huko Frankfurt siku ya Ijumaa ili kuruhusu wapenzi wa jinsia moja wapewe baraka zao na Kanisa Katoliki la Ujerumani kuanzia mwaka 2026.

Kati ya wanachama 202 wa Mkutano wa Sinodi, 176 walipiga kura kuunga mkono hati hiyo, huku 14 wakipinga na 12 wakijizuia.

Mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi

Kuruhusu sherehe za baraka kwa wapenzi wa jinsia moja ni miongoni mwa madai muhimu katika mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi, ambao umekuwa ukiendelea tangu mwaka 2019.

Harakati za kisasa pia zinataka kumaliza ukungu kwa mapadri na kuona wanawake wanapewa daraja la mashemasi.

Kulingana na shirika la habari la Kikatoliki la Kijerumani KNA, baraka pia zitaruhusiwa kwa watu waliooa tena kiraia na wanaoachika.

KNA iliripoti kuwa kulikuwa na mapendekezo kwamba Baraza la Maaskofu la Kijerumani na Kamati Kuu ya Wakatoliki wa Kijerumani "waweze kukuza na kuwasilisha maadhimisho yanayofaa kwa wakati unaofaa."

Miaka mitatu kwa mabadiliko hayo kutekelezwa itatumika kwa ajili ya kuendeleza mfumo wa liturjia ya sherehe hiyo kwa ushiriki wa maaskofu.

Kanisa Katoliki na mageuzi

Vatikani na harakati za mageuzi ya Ujerumani

Kanisa nchini Ujerumani ilianzisha harakati ya mageuzi wakati idadi kubwa ya Wajerumani walipokuwa wanatoka katika makongamano ya Kanisa na skandali za unyanyasaji wa kingono zinazohusisha Kanisa. Uanachama wa kanisa ulishuka chini ya asilimia 50 kwa mara ya kwanza mwaka 2021.

Vatikani hapo awali ilifanya wazi kwamba inaona madai ya Njia ya Sinodi ya kushughulikia ubaguzi wa kimapenzi, ukungu, na wanawake katika Kanisa kama yanayosababisha mgawanyiko, na kuonya kwamba madai hayo yanaweza kusababisha mwanya.

Mwezi wa Julai mwaka jana, Kiti kitakatifu kiliionya viongozi wa marekebisho ya Kijerumani kwamba hawana mamlaka ya kuwaongoza maaskofu kuhusu masuala ya maadili au mafundisho.

Askofu wa Eichstätt, Gregor Maria Hanke, alionya juu ya hatari ya kutokea mgawanyiko ndani ya Kanisa kuhusu suala hilo, kama ilivyotokea ndani ya Kanisa la Kianglikana.
====
The Synodal Assembly — which is focused on reforming the Church — adopted a paper in Frankfurt on Friday to allow for same-sex couples to have their relationships blessed by the German Catholic Church from 2026.

Of the 202 members of the Synodal Assembly, 176 voted in favor of the paper, while 14 against and 12 abstained.

Synodal Path reform process

Allowing blessing ceremonies for same-sex couples has been among the key demands in the Synodal Path reform process, which has been ongoing since 2019.

The progressive movement also seeks to end celibacy for priests and see women ordained as deacons.

According to the German Catholic news agency KNA, blessings would also be allowed for civilly remarried and divorcees.

KNA reported that the there was a recommendation that the German Bishops' Conference and the Central Committee of German Catholics "develop and introduce appropriate liturgical celebrations in a timely manner."

The three years for the change to take effect are to be used to develop the liturgical format of the ceremony with the participation of
the bishops.

Catholic Church and reform

The Vatican and Germany's reform movement

The church in Germany launched the reform movement amid record numbers of Germans leaving congregations and sex abuse scandals involving the church. Church membership dropped below 50% for the first time in 2021.

The Vatican has in the past made it clear that it views the Synodal Path's calls for addressing homosexuality, celibacy and women in the Church as divisive, and warned those calls could cause a fracture.

In July last year, the Holy See warned German reformers that they had no authority to instruct bishops on moral or doctrinal matters.

Bishop of Eichstätt, Gregor Maria Hanke, warned of the danger of a rift occurring within the Church on the issue, as has been seen within the Anglican Church.
Screenshot_20231109_160729_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom