troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,551
- 2,573
Tumia akili kidogo uliyobarikiwa kabla ya kukomenti, adui wa mtu ni mtu mwenyewe.Iwekwe wazi bila kufichwafichwa kwa hofu ya uchochezi. Hao wahalifu si wakristo, mkristo hawawezi kuingia kanisa lolote na kuharibu vilivyomo humo....
Acha vyombo husika viliishughulikie kwanza
Unachofanya ni kuchochea tatizo tu.