Kanisa la Tanzania linapitia kipindi kigumu sana. Mungu alinusuru

INJILI NI KUFUKA, KUZIKWA NA KUFUFUKA KWA YESU KRISTO.
TUBUNI UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA... AMIN, OKOKA N.K

sadaka bila injili ya kuacha dhambi+kazi ya msalaba ni uhuni mtupu!
mama D


Kuhubiri injili ya kuacha dhambi na kazi ya msalaba na kuyaishi yale tunayoyahubiri kama wahubiri ndio njia pekee ya kweli na uzima.

Vinginevyo hata sadaka tunazotoa au zinazopokelewa makanisani zinaweza kuwa machukizo mbele za muumba.
Maana zipo taratibu za kutoa Sadaka kama agizo lisilo shurti.
 
Yaonekana has uliowaacha yaani Mzee wa Upako, Gwajima, Kakobe na Suguye has kazi zao unazikubali
 
Ondoa Hapo namba 3 umekosea.Tunaona shule hospitali vyuo n.k vyote hivi vinatoa huduma katika jamii wakati huo mapadre si watu matajiri kama ilivyo kwa wengine na injili inahubiriwa kama kawaida.
Nikuulize maswali mawili:

1. Unajua ada za shule za RC no sh.ngapi? Una mtoto au ndugu umewahi kumsomesha kwenye hizo shule? Ulilipa sh.ngapi? Ada+michango.

2. Umewahi kutibiwa bure kwenye hospitali za RC mfano Bugando au Tosamaganga Hospital au Peramiho??? Au umewahi kuuguza ndugu yako kwenye hizo hospitali bure?
 
Yaonekana has uliowaacha yaani Mzee wa Upako, Gwajima, Kakobe na Suguye has kazi zao unazikubali

Ila tusi Fikiri kuwa wale ambao hawakutajwa akina Molavian,Anglican, SDA, Mzee wa upoko, Mwingira, Kakobe nk nk huko ni kwema tutakuwa tunajidanganya. Ule upande wa pili sijui yanayoenddlea.
Upo sahihi
 
Mtuache wakatoliki michango yetu ni ya kufanya mambo ya maendeleo. Na injili lazima iwezeshwe utaenda kuhubiri injili kwa miguu. Mahema, vipaza sauti , viti vinalipiwa vyote hivyo. Muacheni Mwakasege achape injili.
 
Dah!, Mkuu umewaza mbali sana, MUNGU ATUSAIDIE TU.
 
Kwa kweli amekosea kwenye namba 3 eti huna hela huzikwi ??


Ni kuwa kama umejitenga na shughuli za kanisa nao wanakutenga huduma za kanisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…