INJILI NI KUFUKA, KUZIKWA NA KUFUFUKA KWA YESU KRISTO.
TUBUNI UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA... AMIN, OKOKA N.K
sadaka bila injili ya kuacha dhambi+kazi ya msalaba ni uhuni mtupu!
mama D
Kweli kabisa.Bado wapo wahubiri injili ya kristo hasa ambao si maarufu na hawapo katika miji mikubwa, hao ndio tuwaombee na kuwatia moyo. Nchi yafaa nini bila neno la Mungu?
Yaonekana has uliowaacha yaani Mzee wa Upako, Gwajima, Kakobe na Suguye has kazi zao unazikubaliHizi ndio changamoto za kanisa LA Tanzania. Tuzidi kumuomba Mungu.
1. Mikutano ya The Big Octoba na The Big Novemba iliyokuwa inahuhubiri kuacha dhambi na kumrudia Kristo imekufa.
2. Mwamposa na Suguye wanauza vifaa vya uponyaji mafuta, maji, keki na vitambaa badala ya kuhubiri watu waache dhambi, pia hawataki kufungua matawi mikoani na kupanda makanisa.
3.RC nao wamechachamaa kwa michango kuanzia kwenye jumuiya hadi Parokiani. Huna hela huzikwi.
4. Mwakasege naye amechachamaa na masomo ya sadaka mwanzo mwisho, mfano semina ya Mbeya (26-30 Oct, 2022) somo ni sadaka tu hakuna kingine.
5. KKKT nao hawaeleweki wachungaji wanaowaiga wapentekosti/walokole ndio wanapata umaarufu mfano Kimaro na Mgogo wale wanaohubiri kilutheriluther hawana chao wala umaarufu.
6. TAG/EAGT hawana wainjilisti wakitaifa kama kina Moses Kulola wamebakia wapigaji tu.
7.Viongozi was dini kugombania mialiko sherehe za kitaifa ili wakalambe asali no aibu.
INAUMA SANA
Nikuulize maswali mawili:Ondoa Hapo namba 3 umekosea.Tunaona shule hospitali vyuo n.k vyote hivi vinatoa huduma katika jamii wakati huo mapadre si watu matajiri kama ilivyo kwa wengine na injili inahubiriwa kama kawaida.
Then..... Cc:...... [emoji1787]Inasikitisha sana lakini...
Ila tusi Fikiri kuwa wale ambao hawakutajwa akina Molavian,Anglican, SDA, Mzee wa upoko, Mwingira, Kakobe nk nk huko ni kwema tutakuwa tunajidanganya. Ule upande wa pili sijui yanayoenddlea.
Yaonekana has uliowaacha yaani Mzee wa Upako, Gwajima, Kakobe na Suguye has kazi zao unazikubali
Upo sahihiIla tusi Fikiri kuwa wale ambao hawakutajwa akina Molavian,Anglican, SDA, Mzee wa upoko, Mwingira, Kakobe nk nk huko ni kwema tutakuwa tunajidanganya. Ule upande wa pili sijui yanayoenddlea.
Dah!, Mkuu umewaza mbali sana, MUNGU ATUSAIDIE TU.Hizi ndio changamoto za kanisa LA Tanzania. Tuzidi kumuomba Mungu.
1. Mikutano ya The Big Octoba na The Big Novemba iliyokuwa inahuhubiri kuacha dhambi na kumrudia Kristo imekufa.
2. Mwamposa na Suguye wanauza vifaa vya uponyaji mafuta, maji, keki na vitambaa badala ya kuhubiri watu waache dhambi, pia hawataki kufungua matawi mikoani na kupanda makanisa.
3.RC nao wamechachamaa kwa michango kuanzia kwenye jumuiya hadi Parokiani. Huna hela huzikwi.
4. Mwakasege naye amechachamaa na masomo ya sadaka mwanzo mwisho, mfano semina ya Mbeya (26-30 Oct, 2022) somo ni sadaka tu hakuna kingine.
5. KKKT nao hawaeleweki wachungaji wanaowaiga wapentekosti/walokole ndio wanapata umaarufu mfano Kimaro na Mgogo wale wanaohubiri kilutheriluther hawana chao wala umaarufu.
6. TAG/EAGT hawana wainjilisti wakitaifa kama kina Moses Kulola wamebakia wapigaji tu.
7.Viongozi was dini kugombania mialiko sherehe za kitaifa ili wakalambe asali no aibu.
INAUMA SANA
Mungu atusaidie mkuuDah!, Mkuu umewaza mbali sana, MUNGU ATUSAIDIE TU.