Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Mwondoe shetani nafsini mwako. Hakuna mtu mwenye imani ya kweli ya Mungu mwenye kauli za kishetani kama hizo zako.

Ukimtusi kiongozi wa dini au mtu yeyote kwa kupitia imani yake maana yake umewatusi waumini wa dini nzima.

Unaposema kiongozi wa wakatoliki anafuga misukule unamaanisha wakristo wote wanafuga misukule.

Wewe bila shaka ni uzao wa shetani. Waislam safi na wenye imani yao thabiti kwa mola wao tunawafahamu kwa kauli na matendo yao.

Ukiona mtu ana maneno machafu kama hayo yako, nafsini mwake anatembea na shetani.

Japo umekuwa mzee lakini inaonekana ni mtoto mchanga katika imani. Watafuteni wanaoujua uislam wakufundishe, la sivyo mwisho wako siyo mwema.
Usihangaishwe na huyo wakala wa shetani aliyeamua kumtumikia shetani kwa nguvu zake zote.
 
Sasa wewe unafikiri wale wanaowekwa toka utotoni kutoka kwenye vituo vyake vya "yatima" mpaka wanazeeka bila kuoa au kuolewa kama si misukule ni nini?

Siyo chuki ndugu zangu kwa Adam, nawaonea huruma wazungu wamewajaza ujinga. Mnisameh sana lakini ukweli ubaki kuwa ukweli. Wazungu huko Ulaya wanafunga makanisa mengi sana kwa kukosa misukule, wazungu wenzao washajionea haijakaa sawa.

Nawakaribisha kwemye utulivu wa roho, Uislam.

Fikiri.
Hao wanaowekwa kwenye hivyo vituo ndio huwa mnaenda kuwaomba msaada wawaondolee majini mnayoyafuga yakiwaingia.
 
Mbona loliondo tulishindwa tukawapa .mliwanyima bandari ya bagamoyo sasa wanaichukua kilaini.chezea mchina wewe
 
Let Kardnal Pengo of Roman Catholic run the Church with instructions from another Country known as Vatican [emoji1262] and the Government run the full independent Country known as Tanzania [emoji1241].

Tena wakome kabisa kujishughulisha na mambo yasiyo ya kiimani. Tanzania ni nchi nzuri na haina dini. Mbona madhehebu na dini nyingine wapo busy na mambo yao ya msingi, halafu hawa wanataka kuifanya Tanzania kama koloni la Vatican ????
Mimi binafsi mgogoro wangu ni hawa watu wa dini zetu tunakoabudu kuanzia Ijumaa, Jumamosi na Jumapili, why should they keep quiet on this, kwao what matters? Yani wakae kimya kwenye jambo la muhimu kiasi hiki! Then baadae waje kutwambia tujiandae kwenda mbinguni! Resources zote zihamishwe sisi tujazane kwenye majumba ya Ibada tukikesha katika umaskini! Hapana.
 
Tatizo maaskofu wangu ni wanafiki na udini sana,akiwa Rais muislam wanakuwa na chokochoko kila siku, akiwa mkristo hata afanye uovu mkubwa hawasemi zaidi sana watampa na kisonzo akusanye sadaka na kwenda ikulu kumfukiza kwa ubani.
 
Tatizo kubwa la Tanzania ni utendaji wa serikali ya CCM kwa kukosa uwajibikaji kwa kuofia chaguzi. Mtu anafanya ubadhirifu na ushaidi upo wa kutosha. Rais anachofanya ni uteuzi kwa lengo la kumbadilisha wizara. Huu ndio ujinga mkuu uliotufikisha hapa
Serikali ya CCM acha kuisingizia, wewe ulitaka CHADEMA iunde serikali? Chadema wangeuza hadi watu na maliasili zote zingehamishiwa uchagani
 
Mimi binafsi mgogoro wangu ni hawa watu wa dini zetu tunakoabudu kuanzia Ijumaa, Jumamosi na Jumapili, why should they keep quiet on this, kwao what matters? Yani wakae kimya kwenye jambo la muhimu kiasi hiki! Then baadae waje kutwambia tujiandae kwenda mbinguni! Resources zote zihamishwe sisi tujazane kwenye majumba ya Ibada tukikesha katika umaskini! Hapana.
Tena wakome kabisa kujishughulisha na mambo yasiyo ya kiimani. Tanzania ni nchi nzuri na haina dini. Mbona madhehebu na dini nyingine wapo busy na mambo yao ya msingi, halafu hawa wanataka kuifanya Tanzania kama koloni la Vatican ????

Hakika tunatofautiana sana mitazamo. Kwamba taasisi za kidini zisijihusihe na mambo ya kijamii as if waumini zinazowahudumia kiroho hawatoki miongoni mwa hiyo jamii? Kwamba taasisi za kidini zisijihusishe na huduma za elimu na afya pia?
 
Waliokutangulia wameingia mikataba isiyo na ukomo na wageni, tena mikataba isiyoweza kuvunjwa kwa mazingira yoyote; wewe ukiingia utafanya miujiza gani kubadili hiyo hali?

Kauli za kujifariji hazitusaidii.
Hakuna kitu kama icho kwenye huo mkataba ambao wachangiaji wengi kwenye jukwaa la siasa washausoma.

Hiyo kauli ya upotoshaji vinginevyo inahitaji uthibitisho; imeandikwa wapi mkataba auwezi vunjwa.
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Mombasa huko wanaendesha akina nani.?
 
Tatizo maaskofu wangu ni wanafiki na udini sana,akiwa Rais muislam wanakuwa na chokochoko kila siku, akiwa mkristo hata afanye uovu mkubwa hawasemi zaidi sana watampa na kisonzo akusanye sadaka na kwenda ikulu kumfukiza kwa ubani.
Badala ya kuwaangalia maaskofu, pengine ungeanza kuangalia hoja zao. Kama bado unataka kuangalia personality, basi jaribu kuangalia walichofanya hao uliowaita marais 'wakristo' halafu ulinganishe na wanachofanya marais 'waisilamu'
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Hii yote ni kwa sababu ya kushindwa kuwajibishana
 
Bufa ! Achana na hilo puuzi JohnBaptist yeye na huyo pimbi mwenzake wanaleta ujinga wao sijui kardinal mapengo kasema hv ! Yeye ni nani katika masuala ya uchumi wa taifa ! Abaki na hayo mapengo yake!
Makasiriko ya nini sasa? Wewe ni nani mpaka uwe kuwadi wa hao Waarabu???. Kwamba mtazamo wako ni sahihi zaidi kuliko wa Pengo?. Tuache na Tanganyika yetu.
 
Back
Top Bottom