Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Ukiwa kiziwi utasikiaje? Wenye masikio na macho tunaukumbuka ule waraka mkali wa pasaka uliotolewa na TEC, uliomkera sana JPM kiasi cha kufikia kuamrisha makanisa yalipe kodi hata kwa vitu ambavyo ni kwaajili ya huduma.

Suluhu ilipatikana baadaye sana, ndipo misamaha ya kodi kwa vifaa vya huduma zinazotolewa na taasisi za dini, ikarudishwa tena.

Lakini pua tuulizane, JPM pamoja na ubabe wake dhidi ya demokrasia na utii wa katiba, aliwahi kuuza rasilimali gani ya nchi?
👏👏👏
 
"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."

"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Lazima Pengo atokeze hadharani mana kwa hili la bandari kanisa limeshikwa pabaya
 
Haiaminiki.
Wao wanachotaka waendeleze katabia ka kuvusha mizigo yao kwa mgongo wa tax exemption
Kwa hiyo mwarabu atatengua maamuzi yote ya serikali kuhusu tax exemptions? Kama ni hivyo basi mkataba haufai, maana katika hali ya kawaida, serikali inatakiwa ibaki na nguvu dhidi ya mwarabu
 
Angekuwa mtu tofauti na uyo pengo ndio amesema maneno ayo apo sawa ..leo hii akiitwa ikulu na Samia akitoka apo na maneno anayabadilisha uyo mzee ni mchumia tumbo kama wachumia tumbo wengine.
 
Kardinali kaongea.

ndugu watanganyika kwenye hili suala la bandari kwa kweli roho mpaka inauma kwa jinsi mambo ya kupitisha hili yalivyokwenda,wajukuu zetu huko mbele ya safari watakuja kutushangaa sana.
 
Kwa hiyo mwarabu atatengua maamuzi yote ya serikali kuhusu tax exemptions? Kama ni hivyo basi mkataba haufai, maana katika hali ya kawaida, serikali inatakiwa ibaki na nguvu dhidi ya mwarabu
Hawezi kutengua, ila atadhibibiti ile mizigo binafsi ilokuwa inavushwa kwa mgongo wa kanisa
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Kama hatuwezi bandari
Je Wizara?
Je Idara za umma?
Je Nchi?
Kipi kikubwa kati ya bandari na wizara moja kuongoza?
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Weka Chama Kingine cha siasa madarakani uone na siyo kukodi Waarabu kuja kuifilisi nchi.
 
Bahati yake tuu Catholic is very strong la sivyo tungewapa hao Waajemi nayo waendeshe kanisa! Ametutokea wapi yeye adili na maadali ya mapadre wake kila siku wana kashfa za ngono ! Bandari inamhusu nini!
zinaongelewa ishu za bandari unaleta ishu za ngono hapo ndio mnapofeli sana na ndio maana wazanzibar wamewauza mchana peupe mnang'aa macho 😎
 
Back
Top Bottom