FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Tatizo lao nini, tuanze mmoja mmoja tukupe darsa.Wasudan wa somari, wa Afghanistan, wa Syria etc wameshaiona inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lao nini, tuanze mmoja mmoja tukupe darsa.Wasudan wa somari, wa Afghanistan, wa Syria etc wameshaiona inatosha
👏👏👏Ukiwa kiziwi utasikiaje? Wenye masikio na macho tunaukumbuka ule waraka mkali wa pasaka uliotolewa na TEC, uliomkera sana JPM kiasi cha kufikia kuamrisha makanisa yalipe kodi hata kwa vitu ambavyo ni kwaajili ya huduma.
Suluhu ilipatikana baadaye sana, ndipo misamaha ya kodi kwa vifaa vya huduma zinazotolewa na taasisi za dini, ikarudishwa tena.
Lakini pua tuulizane, JPM pamoja na ubabe wake dhidi ya demokrasia na utii wa katiba, aliwahi kuuza rasilimali gani ya nchi?
Si nimekuambia wameiona nuru ya kiislam wao inatosha kipi usichielewa hapo BibiTatizo lao nini, tuanze mmoja mmoja tukupe darsa.
Lazima Pengo atokeze hadharani mana kwa hili la bandari kanisa limeshikwa pabaya"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!
"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."
"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Haiaminiki.Vipi hoja yake nayo haiaminiki?
Kwa nini usiipinge hoja yake kwa kutoa hoja yako, badala yake una deal na personality yake?Kanisa lina nguvu ila sio yule mzee
TEC walitoa waraka, labda umesahau.Wakati wa JPM walikuwa kimyaa msituletee udini hapa hakuna dini yenye haki zaidi katika kuongoza hii nchi. Kwa JPM sikuwahi kusikia waraka wa wakatoliki
Kwa hiyo mwarabu atatengua maamuzi yote ya serikali kuhusu tax exemptions? Kama ni hivyo basi mkataba haufai, maana katika hali ya kawaida, serikali inatakiwa ibaki na nguvu dhidi ya mwarabuHaiaminiki.
Wao wanachotaka waendeleze katabia ka kuvusha mizigo yao kwa mgongo wa tax exemption
Wao ndo wameshindwa....basi wapishe watanzania wengine wenye uwezo waendeshe
Wewe aminikaTatizo la Pengo ni kutokuaminika
Hawezi kutengua, ila atadhibibiti ile mizigo binafsi ilokuwa inavushwa kwa mgongo wa kanisaKwa hiyo mwarabu atatengua maamuzi yote ya serikali kuhusu tax exemptions? Kama ni hivyo basi mkataba haufai, maana katika hali ya kawaida, serikali inatakiwa ibaki na nguvu dhidi ya mwarabu
Kama hatuwezi bandariIt's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Weka Chama Kingine cha siasa madarakani uone na siyo kukodi Waarabu kuja kuifilisi nchi.It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Dah,CCM wakupe maua Yako.Hivi inakuaje tunaweza kuendesha nchi halafu tunashindwa Bandari?
zinaongelewa ishu za bandari unaleta ishu za ngono hapo ndio mnapofeli sana na ndio maana wazanzibar wamewauza mchana peupe mnang'aa macho 😎Bahati yake tuu Catholic is very strong la sivyo tungewapa hao Waajemi nayo waendeshe kanisa! Ametutokea wapi yeye adili na maadali ya mapadre wake kila siku wana kashfa za ngono ! Bandari inamhusu nini!
Hivi inakuaje tunaweza kuendesha nchi halafu tunashindwa Bandari?
Hicho chama Cha siasa kitakodi wafanyakazi kutoka nje au?Weka Chama Kingine cha siasa madarakani uone na siyo kukodi Waarabu kuja kuifilisi nchi.