Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Weka Chama Kingine cha siasa madarakani uone na siyo kukodi Waarabu kuja kuifilisi nchi.
Tumeshindwa kuweka chama na bandari tumeshindwa. Solution ni moja tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka Chama Kingine cha siasa madarakani uone na siyo kukodi Waarabu kuja kuifilisi nchi.
Kama hatuwezi bandari
Je Wizara?
Je Idara za umma?
Je Nchi?
Kipi kikubwa kati ya bandari na wizara moja kuongoza?
Si wataam wetu wangeenda tu Mombasa na Beirra wakajifunze!
Mombasa huko wanaendesha akina nani.?
Hoja ya pengo umeielewa?, ameongolea juu ya kuwajengea uwezo watanzania,wewe nawe unalipuka na mengine tu.
Sema wewe ndio hauwezi!
Kama hiyo ndio hoja yako. Mbona serikali ya Tanzania imefeli kueta maendeeo zaidi ya miaka 60. Serikali nayo tuibinafushishe??
Kwa nini huyo raise mbovu kuachia ngazi Kwa kushindwa kazi, usichokimudu maana yake hutoshei, atangaze kuondoka tukodi mzungu aendeshe ikulu kwanza. Ni akili za kipumbavu sana.
Hatuwe = wanasiasa hawawezi. Wako watanzania wengi wenye uwezo hivyo usiseme hatuwezi.
Labda wewe ndio huwezi....unaongea kwa niaba ya wote?...
Acheni wizi.....
Ndio watanzania kuendesha bandari hawawez..safi Sana mama Samia umewapa warabu hyo bandari.."....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!
"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."
"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Unapotosha unapoweka hayo maandishi kwenye apostrophes kama vile Mhusika alisema hayo neno kwa neno. Wewe ulichofanya ni ku paraphrase yale yaliyosemwa kwa kuyatafsiri kama ulivyoelewa wewe. Cha msingi ulichofanya ni kuweka maneno au matamshi mdomoni kwa Kardinali Pengo."....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."
"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Akiitwa Ikulu atakuja na kauli tofauti , huyu aliwahi kuukana waraka alioshiriki kuutengeneza na maaskofu wenzakeUKitofautiana na mtu kuhusu chungwa, haujatofautiana naye kuhusu embe.
Kauli za sasa za Kardinali Pengi ni fikirishi. Zitenganishe na yale mengine. Jifunze kukubali kanuni hii: Mwizi akisema kwamba wizi ni mbaya tunakubali kauli yake, hata kama yeye n mwizi. Mwongo akisema kwamba uwongo ni mbaya tunakubali kauli yake. Tunatenganisha ujumbe a mjumbe. Ujumbe wa Kardinali Pengi uko sahihi.
" Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings"."....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!
"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."
"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Kwa hiyo kaamua kuwapa waarabu ili kuwakomoa kigango?Bandari ni kigango miongoni mwa vigango. Mama kagundua na kuziba mrija.
Akishindwa kuvumilia mama atalitapika.
😄😄😄wewe unaweza? ulikua wapi muda wote tena wewe ni kada kabisa.
Bandari kachukua PK hao Waarabu bosheni tu!Kwa hiyo kaamua kuwapa waarabu ili kuwakomoa kigango?
Haaminiki kivipi? Acha siasa kwenye mambo ya kitaifa.Tatizo la Pengo ni kutokuaminika