Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Hoja ya pengo umeielewa?, ameongolea juu ya kuwajengea uwezo watanzania,wewe nawe unalipuka na mengine tu.

DPW anakuja na huo mkakati. Mkipata uwezo na yeye kurudisha hela zake mtabaki kuendesha wenyewe.

Ila unajua vingapi vilibaki kwa wabongo na sasa vimekufa kabisa?
 
Kwa nini huyo raise mbovu kuachia ngazi Kwa kushindwa kazi, usichokimudu maana yake hutoshei, atangaze kuondoka tukodi mzungu aendeshe ikulu kwanza. Ni akili za kipumbavu sana.

Amekua Rais toka lini? Miaka yote bandari iki underperform alikua rais yeye?
 
"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."

"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Ndio watanzania kuendesha bandari hawawez..safi Sana mama Samia umewapa warabu hyo bandari..

Mitanzania ni wezi Sana ukipitisha gari wanaiba spea zote hadi kubadili vitu vingine..safi Sana Samia Kwa uamuz wa busara ..uza na airport napo Bado hapaeleweki
 
"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."

"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Unapotosha unapoweka hayo maandishi kwenye apostrophes kama vile Mhusika alisema hayo neno kwa neno. Wewe ulichofanya ni ku paraphrase yale yaliyosemwa kwa kuyatafsiri kama ulivyoelewa wewe. Cha msingi ulichofanya ni kuweka maneno au matamshi mdomoni kwa Kardinali Pengo.

 
UKitofautiana na mtu kuhusu chungwa, haujatofautiana naye kuhusu embe.
Kauli za sasa za Kardinali Pengi ni fikirishi. Zitenganishe na yale mengine. Jifunze kukubali kanuni hii: Mwizi akisema kwamba wizi ni mbaya tunakubali kauli yake, hata kama yeye n mwizi. Mwongo akisema kwamba uwongo ni mbaya tunakubali kauli yake. Tunatenganisha ujumbe a mjumbe. Ujumbe wa Kardinali Pengi uko sahihi.
Akiitwa Ikulu atakuja na kauli tofauti , huyu aliwahi kuukana waraka alioshiriki kuutengeneza na maaskofu wenzake

Pengo akitoa kauli unapaswa ukae wiki nzima usubiri kama hatokengeuka
 
"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."

"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
" Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings".
Pieter W. Bitha, a former President of South Africa during the Apartheid era
 
Mnada wa Mhunze upo wapi bwana weye,?
Mimi nausikiaga tu ebu nielekeze mahali ulipo ili nami nifike nikauone huo mnada wa Mhunze.
 
Back
Top Bottom