Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Mbona kwa magufuli mashirika yali simama na yakawa yanatoa na gawio?
Watanzania awataki mtu kama huyo; bandari ambayo mara ya mwisho ilitoa gawio la tsh 400 billion kwenye muda wake sasa hivi tunaambiwa wanatoa tsh 100 billion.

Hao TICTS mchango ni billion 24 tu, tena kabla ya hapo walikuwa awatoi zaidi tsh 5 billion.

Wengine serikalini atujui ata kama bado wanapeleka gawio ukitoa mabank yanayoendeshwa privately, serikali akiwa mmbia tu.

Generally speaking ni busara ata angekuwepo Magufuli kuanza kufikiria issue za management, kwa sababu wengine walikuwa wanashindwa biashara ata alipokuwepo. Serikali inaweza kubaki na umiliki wa 100% maana sehemu nyingine ishafanya uwekezaji mkubwa ila management wakatafutwa watu wenye uwezo.
 
Tatizo wa tz ni wezi sana wazee wa dili hiyo bandar humuwez endesha

Kazi kuibaa tu mizigo inakaa wiki
Leo mnajifanya kuendesha wapuuzi nyie

Pigen kelele bandar tushampa mwekezaji na hamtafanya chochote nenden mkashtaki popote

Kama umechukia kunywa sumu
Au hamieni Burundi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Naungana na wewe
 
Mfano Dpworld wangekuwa wanatokea Rome Italy..
Angeuliza haya maswali???
Nenda kamfulie huyo bibi chupi zake acha uchawa bandia
Kwa hiyo hata wewe huwezi kuona ujinga miaka yote hiyo toka uhuru mnashindwa kuendesha bandali tu?
Kama hamuwezi si mumpe hata kagame ni jirani tunaweza hata kumgomea mambo yake.
Mfumo wa tehama tunashindwa kuununua wenyewe?
 
Sasa wewe unafikiri wale wanaowekwa toka utotoni kutoka kwenye vituo vyake vya "yatima" mpaka wanazeeka bila kuoa au kuolewa kama si misukule ni nini?

Siyo chuki ndugu zangu kwa Adam, nawaonea huruma wazungu wamewajaza ujinga. Mnisameh sana lakini ukweli ubaki kuwa ukweli. Wazungu huko Ulaya wanafunga makanisa mengi sana kwa kukosa misukule, wazungu wenzao washajionea haijakaa sawa.

Nawakaribisha kwemye utulivu wa roho, Uislam.

Fikiri.
Wewe dada ni mdini sana...wanaume wenu wakifa huko waendako watakuta mabikira 72....haya wewe ajuza utakuta nini?...
Na hio ndio imani yenu...kama sio ufala ni nini?...
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Si wataalam wetu wangeenda tu Mombasa na Beirra wakajifunze!
 
Ndugu yangu involved, umenilisha maneno, Binafsi sina chuki na DP World, nina Imani pia asilimia kubwa ya Watanzania hawana chuki na Mwarabu, hofu ya mantiki ni "Yatokanayo na Mkataba dhidi ya serikali na DPW" kudo's umenena vyema juu ya historia ya ujio wa dini, lkn tujiepushe na munkali wa dhana ya udini, tujenge hoja, Sisi ni ndugu na Tanzania si Mali ya wachache bali wote, wa Sasa, kesho na kizazi cha miaka elfu kumi ijayo.
Mutungi mkataba wako wa kiimani na nchi ya Vatican ni wa miaka mingapi! Kiana nyie Catholics mna Dual Citizenship

1. Ethical and Faith Citizenship chini ya milki ya Mfalme Pope of Vatican.
2. Normal Citizenship of Tanzania.

Na hoja kubwa hapa ni Mwarabu! Hivi sisi huku Africa tena especially Bongo hizi dini tuliletewa wakati wanakutawala.

Kwa mfano walipotangulia wazungu ndio kukawa na Ukristu na walipokuwa waarabu pakawa na Islam that's all.

Wewe mfano ungekuwa waliotangulia ni waarabu lazima ungekuwa sasa hivi ni Sheikh.

Acheni chuki za kidini kwani originally hizi ni za kuletwa tuu. Tusimchukie Dubai World kisa Arabian mbona kampuni nyingi tuu za watasha zina mikataba mingi tuu bongo tena yenye thamani kuliko hiyo ya Bandari! Na wapo kitambo tuu.

Tuache ujinga katika mambo ya maendeleo hao wafadhili wakubwa wa wapo zaidi ya nchi 80 ikiwemo USA na Hata UK sasa sisi bongo kimuhemuhe na kisebusebu pia kihoro kinatoka wapi
 
Ukiwa kiziwi utasikiaje? Wenye masikio na macho tunaukumbuka ule waraka mkali wa pasaka uliotolewa na TEC, uliomkera sana JPM kiasi cha kufikia kuamrisha makanisa yalipe kodi hata kwa vitu ambavyo ni kwaajili ya huduma.

Suluhu ilipatikana baadaye sana, ndipo misamaha ya kodi kwa vifaa vya huduma zinazotolewa na taasisi za dini, ikarudishwa tena.

Lakini pua tuulizane, JPM pamoja na ubabe wake dhidi ya demokrasia na utii wa katiba, aliwahi kuuza rasilimali gani ya nchi?
Kheri umewakumbusha. TEC walitoa waraka. Lutheran walitoa waraka. Nyaraka zilitoka nyingi tu enzi ya JPM. Samia hadi sasa hakuna hata waraka mmoja.

Kakobe aliongea. Mwingira aliongea, n.k.

Waache tumhoji na huyu bila kujificha kwenye kivuli cha uislamu ooh ukristo.!
 
Kati ya makosa ya marehemu ni uwongo kuhusu Acacia, na Kabudi alikiri hilo.

Hivi Acacia katika uhalisia aliwahi kudhulumu rasilimali yoyote ya nchi? Acacia ilikuwa inalipa:

Corporate tax 30%
Mrabaha 4%
Free carried share ya Serikali 10%

Na hivyo ndivyo vilivyokuwepo wakati huo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Kabudi anasema walilazimika kuisingizia Acacia na kuibandika tuhuma za uwongo ili kutengeneza mazingira ya kujadiliana tena viwango vya kodi. Lakini ukweli ni kwamba Acacia hakuwa na kosa lolote, ndiyo maana hawajawahi kulipishwa penalty ya aina yoyote. Hata ile ambayo Mayala aliita kishika uchumba, ilitamkwa kuwa wanatoa kwa good will, siyo kwamba walikuwa wanadaiwa chochote na Serikali.

Kwa mwarabu, hakuna free carriwd share, corporate tax anataka yeye alupe pungufu, mrabaha hakuna. Wala hakuna muda wa mkataba.
Kwani Barrick si bado ipo naona umetuma "aliwahi" ? Anyway haya mambo ya mzungu na mwarabu yupi ni shetani mwema ni kalagabaho tu, suala Langu kwa huyu bwana ni kuhusu TICTS na Accasia, hao TICTS kwanini alimpa zawadi karamagi ya hisa zaidi ya asilimia 50? Hata huyo barick unaemtetea kila wiki huchota mchanga kuupeleka Dubai na kutuachia mashimo
 
Atawezaje kufanya hivyo wakati inasemekana naye kaahidiwa kupewa share ndani ya DP world !!.

Kamwe haiwezekani kwa mtu mwenye akili timamu akaiingiza nchi (Tanganyika) katika mkataba wa aina hiyo, ni lazima hapo kuna jambo la maslahi binafsi. Hatuwezi kusema Rais wetu sio Muerevu asijue ubaya wa huo mkataba na akausaini.
Inaonekana kuna kundi la watu wachache wamepewa vishika uchumba na hao Waarabu ili kuuza Bandari yetu.

Hao watu nimewaona wengi humu kwa makundi kuanzia wana habari na hata baadhi ya watu maarufu.

Kweli unakubali kuuza utu wako kwa vipande vya fedha?
 
Kanisa lina nguvu ila sio yule mzee
Nisahihi, lakini utajuaje labda Mzee ametumwa kutoa mtazamo wa Kanisa kwa Ujumla.

Huyo Mzee amehudumu Kanisani zaidi ya miaka 60, unaweza kuta yeye ni kipaza sauti tu ila aliyetoa maoni ni Kanisa 🙌
 
"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."

"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Bila shaka hatuwezi ndio ikafikia kutafuta muwekezaji.
 
H
"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."

"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Hawa maaskofu wanavuna pasipo kutawanya na kula pasipo kutafuta chakula sisi ndo tunajua mahangaiko yetu Bora anagenyamaza. Bandari Haina tija kwa watu maskini Bali haohao maaskofu kwa kupitisha magendo Yao tena bila kulipa Kodi. Sasa wataanza kulipa Kodi ndo mana wamechanganyikiwa. Bandari ilihitaji mwekezaji tangu zamani mana ilijaa ufisadi mtupu probably hata Hawa walikuwa wanufaika wakubwa sisi maskini tukizodi kuwasindikiza tu. Bravo mama Samia kutupigania sisi wa chini
 
Back
Top Bottom