TikTok2021
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 690
- 1,060
wala bandari haikuuzwa kama ilivyouzwa sasa na wazanzibar kwa wajomba zao waarabu 😎Wakati wa JPM walikuwa kimyaa msituletee udini hapa hakuna dini yenye haki zaidi katika kuongoza hii nchi. Kwa JPM sikuwahi kusikia waraka wa wakatoliki
JIBU NI KWELI"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!
"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."
"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Kwa hiyo unamaanisha hao DP wanapewa kwa kuwa ni waislamu?Pili ni lini Tanzania imewahi kuwa uwekezaji mkubwa toka Italy? Huendi sawa na Dunia inavyoenda Leo hii Manchester United ipo sokoni wanaojitokeza ni ama waarabu au Marekani lakini waingereza wanasita kwa kuwa Bado wanajiuliza wao wanakwama wapi?Mfano Dpworld wangekuwa wanatokea Rome Italy..
Angeuliza haya maswali???
Ule waraka wa Pasaka ilikuwa wakati wa nani? Ama unaishi Marekani.Wakati wa JPM walikuwa kimyaa msituletee udini hapa hakuna dini yenye haki zaidi katika kuongoza hii nchi. Kwa JPM sikuwahi kusikia waraka wa wakatoliki
Kadinali Pengo kasema ukweli. Vigogo wanajidai hawauoni ukweli kwa tamaa yao binafsi. Kadinali kauliza kama ni kweli watanzania hatuwezi kuendesha bandari zetu? Na je si ndio linalotakiwa tufanye kama wenye nchi yao?"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!
"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."
"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Pengo akaunti ya kiislam tu kwenye mabenki alipinga,ataacha kupinga mwarabu kupewa bandari!?..Hadi viongozi wa dini wanaupinga huu mkataba ujue ni wa kihuni zaid na haufai.Shauri zenu watawala msiposikia sauti za wengi maana sauti za wengi ni ya Mungu.
Wewe na pengo mmeona tunaweza!?.. uingereza na marekani wamewapa waarabu hao waendeshe bandari zao...mnadhani wakihitaji nini bandarini!?Kadinali Pengo kasema ukweli. Vigogo wanajidai hawauoni ukweli kwa tamaa yao binafsi. Kadinali kauliza kama ni kweli watanzania hatuwezi kuendesha bandari zetu? Na je si ndio linalotakiwa tufanye kama wenye nchi yao?
Wenye akili zao tunauliza kwani sisi baada ya kuwekeza mamilioni miundombinu bandari hatuwezi kununua vifaa na kujipatia wenyewe uwezo kuendesha bandari zetu? Mbona tunakopa hadi kujenga madarasa tu. Kwa nini kama ukwasi haupo tusikope kwa vifaa na mafunzo kuendesha bandari zetu?
Haya mambo kutaka kukodisha kwa masharti ya ovyo bandari zetu ni ujinga tu.
Ukweli tunajibu matangazo ya biashara za wengine na mbinu zao za kupata masoko. Siku hizi nchi munaweza kununuliwa chochote hamuhitaji na vigogo mradi wao wapate pesa.
pengo ana pengo mahali"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!
"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."
"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Mimi mwenyewe najiamini nikipewa fursa naweza nika tengeneza mchunganuo unaoweza kuleta tija kwa Taifa la Tanzania. A competitive business plan"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!
"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."
"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Huyo mzee mnafiki sana, wa hovyoo!Mfano Dpworld wangekuwa wanatokea Rome Italy..
Angeuliza haya maswali???
Hatujashindwa kuiendesha bandari, bali tumeshindwa kuiendesha kwa tija. Ni mambo mengi kama nchi tumefeli.Hivi inakuaje tunaweza kuendesha nchi halafu tunashindwa Bandari?
Uwekezaji upi kutoka Rome hapa nchini amewahi kuunga mkono?Mfano Dpworld wangekuwa wanatokea Rome Italy..
Angeuliza haya maswali???
Kalisha magololi yako kwenye sofa then usubiri wanaume wenzako wakusaidie kufanya kazi halafu wakuletee mapato. Good luck!Vp wale wazungu wa NMB Bank mbona sasa ndio inaongoza! Wewe unajua nini zaidi ya kukurupuka kilaza wewe
Acha udini wewe ostadhi
Eleza ni kwa vipi ni kigango?Bandari ni kigango miongoni mwa vigango. Mama kagundua na kuziba mrija.
Akishindwa kuvumilia mama atalitapika.
UPIGAJI TU HAKUNA LOLOTE BANDARI TUMEKUWA NAYO KWA MIAKA 61 SASA"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!
"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."
"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Tatizo la Pengo ni kutokuaminika