Kariakoo, Dar: Kumetokea ujambazi wa kutisha mtaa wa Lindi na Livingstone muda huu, Polisi mpo wapi?

Hii wazungu kitaalamu wanaita, "going back to square A".
 
Dawa ni pikipiki zisiruhusiwe ingia kkoo. Iwe marufuku kabisa kasoro za delivery, zenye delivery kit
ukisema uzuie pikipiki kuingia kkoo unafeli kwakua wapo wamiliki wa biashara wana tumia pikipiki kama usafiri wapo watu wanajiingizia kipato cha msingi ni jamii kukataa uhalifu na kua na ushirikiano tatizo kkoo linakuja pale tukio linatokea huwez saidia kwakua ukiacha biashara yako bas ukirud hamna kitu
 
Yaani raia mmeshindwa zuia uhalifu, halafu unauliza mahali polisi walipo!!

Unajua kuwa polisi mmoja anahudumia idadi ya watu wangapi?
haiondoi udhaif wa polis
 
Umenikumbusha riwaya ya kisa cha Chonya wa Chilonwa [emoji23] [emoji23] hongera sana mkuu
 
Yaani raia mmeshindwa zuia uhalifu, halafu unauliza mahali polisi walipo!!

Unajua kuwa polisi mmoja anahudumia idadi ya watu wangapi?

Aisee wizi kariakoo umeanza kupamba moto

Leo kuna jamaa amenyang’anywa simu mbele ya ofisi ya transporter amehangaika kumkimbiza mwenyewe

Watu wako busy na mambo yao

Hao ndo wana daslam
 
Pole sana kwa huyo aliyeibiwa....

Dar es Salaam ukishindwa kujitetea basi imekula kwako,,,, huu Mji hakuna anayejali...

Labda tu mambo ya umbea ndio wapo mstari wa mbele.
Ila mimi huwa nashindwa kuwaelewa watu wanaoporwa fedha karne hii ambapo kama ni mfanyabiashara kuna lipa namba kwa mitandao yote, mawakala wa benk zote wamejaa kila hatua mbili, hasa mijini, sasa ni kwa nini usubiri mpaka mauzo yafikie milioni 50??
 
Polisi wakisikia Chadema inakutana hawachukui hata sekunde kumi kufika
 
Hakuna haja ya kuzuia pikipiki,
Hivi watu wa Kariakoo wameshindwa hata kutumia fimbo za fagio na mfanowe kuwagalagaza hao wahuni?
 
Ahsante broohh...barikiwa Kwa uzalendo wakooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…