instagram, Twitter & threads hii mitandao sjawahi kuielewa, cjui kwa nn. kila nikijilazmisha kuitumia najikuta ninai-unistallFacebook kibaishara ndo mtandao unaolipa zaidi kuliko jf. Sijajua Instagram mana naona ukifanya kibiashar kule unatakiwa uwe advanced kidogo. Ila Facebook ina watu makini sana yani very serious na maisha halisi
kuna kipindi mu7 alizuia mitumba isiingizwe uganda, hyo ban bado inatekelezwa?Mostly Uganda,hata mitumba yao ni classic,general Kanda ya ziwa mitumba mingi ni classic na Bei ya kawaida mno
Vishoka hao, majamaa huwa yamejipanga sanaHuko TRA nasikia kuna watu wanavaa mpaka suti kumbe wala si wafanyakazi. Ukimkuta unaweza dhani ndo meneja wa mkoa.
Wanafanya kazi kuliko maafisa.Vishoka hao, majamaa huwa yamejipanga sana
Sahihi kabisa watu hawaelewi kama kuna bei za jumla na rejareja na kuna utaratibu wa kununua kwa bei ya jumlaHuyu hajasema anataka auze sim za aina gani na anataka za biashara au lah. Nisije mwagika madini hapa kumbe anataka sim moja na kashanunua
Sasa mbona hamwoneshi wenzenu?Kariakoo kuna machimbo ukiyajua machimbo umefanikiwa maish
Mkuu ushaishi Sri Lanka?Na unakuta kuna mafundi simu dukani humohumo.mi kabla sijaenda kununua kitu chochote kkoo naangalia bei yake mtandaoni kwanza.ukiingia kichwa kichwa kkoo lazima ulizwe.
Dar inashangaza
Tunatoka mbali kuchukua mizigo Kariakoo ambapo tunaamini ndo kitovu cha biashara na bei zitakuwa nafuu. Ukifika inatakiwa bei kubwa sawa na hapa Ngara.
Kumbe wenye maduka wameruhusu udalali wa kijinga hadi Kwa mteja aliyejileta dukani unamwekea watu wa kumpandilia bei, sio fair kabisa.
Kariakoo acheni uhuni.
Ka frem kadogo wamejaa madalali zaidi ya 20 wanazidi hadi wateja
Tatizo la AjiraDar inashangaza
Tunatoka mbali kuchukua mizigo Kariakoo ambapo tunaamini ndo kitovu cha biashara na bei zitakuwa nafuu. Ukifika inatakiwa bei kubwa sawa na hapa Ngara.
Kumbe wenye maduka wameruhusu udalali wa kijinga hadi Kwa mteja aliyejileta dukani unamwekea watu wa kumpandilia bei, sio fair kabisa.
Kariakoo acheni uhuni.
Ka frem kadogo wamejaa madalali zaidi ya 20 wanazidi hadi wateja
Sio kila mtu anatakiwa kufunuliwa ufunuo ni kwa wale wanaoutafuta na kuugharamikia kuonesha wana nia mpendwa katika bwana umenipataSasa mbona hamwoneshi wenzenu?
Hapo napo mtaalam unaweza kuomba watu wanakuachajeachaje? kazi ipo!Sio kila mtu anatakiwa kufunuliwa ufunuo ni kwa wale wanaoutafuta na kuugharamikia kuonesha wana nia mpendwa katika bwana umenipata
Sasa ukifanikiwa utanikumbuka nothing is free na cheap is expensive lazima ugharamie mafanikio yakoHapo napo mtaalam unaweza kuomba watu wanakuachajeachaje? kazi ipo!
Hivi kumbe sisi tunaonunua iphone za milioni 3 ni washamba eeh! Ila kuna jamaa aliwahi kuniambia kuvaa nguo ya dukani ni ushamba.Mawinga mkuu ,simu inauzwa 300k mawinga wanaiprice mpk 450k ukiwa mshamba unapigwa😅😅
Itakuwa NHC wanashirikiana nao sio bure....NHC ndo wamesababisha miji yetu ichakae kwa kumiliki majumba chakavu kuanzia kariakoo, kisutu, posta, mwanza, moshi, Bukoba etcNyumba NHC fremu sio bei Kali ila shida ndio Kwa hao watu wa kati yeye amechukua fremu analipia NHC Kodi laki Moja alafu ana ipangasha Kwa laki 6
Watanzania Wana roho mbaya sana
Time will tell ..unless hujui kitu gani kinajengwa ubungoHauwez kuondoka kirahis huu. Jobles wote kazi zao za kwqnza ndo hizo za uwinga.
Hii ni fursa, anzisha app yako iite price check. Mm nipe umeneja tu wa hiyo app tupige hela