Kariakoo inakuwaje duka Moja la simu Kuna wauzaji zaidi ya 20

Kariakoo inakuwaje duka Moja la simu Kuna wauzaji zaidi ya 20

Facebook kibaishara ndo mtandao unaolipa zaidi kuliko jf. Sijajua Instagram mana naona ukifanya kibiashar kule unatakiwa uwe advanced kidogo. Ila Facebook ina watu makini sana yani very serious na maisha halisi
instagram, Twitter & threads hii mitandao sjawahi kuielewa, cjui kwa nn. kila nikijilazmisha kuitumia najikuta ninai-unistall
 
Dar inashangaza

Tunatoka mbali kuchukua mizigo Kariakoo ambapo tunaamini ndo kitovu cha biashara na bei zitakuwa nafuu. Ukifika inatakiwa bei kubwa sawa na hapa Ngara.

Kumbe wenye maduka wameruhusu udalali wa kijinga hadi Kwa mteja aliyejileta dukani unamwekea watu wa kumpandilia bei, sio fair kabisa.

Kariakoo acheni uhuni.

Ka frem kadogo wamejaa madalali zaidi ya 20 wanazidi hadi wateja

Dalali mmoja anatosha, labda kama madalali wanawaleta wateja kutoka nje ya Kariakoo. Madalali wengi wataishia kumchanganya mteja.
 
Dar inashangaza

Tunatoka mbali kuchukua mizigo Kariakoo ambapo tunaamini ndo kitovu cha biashara na bei zitakuwa nafuu. Ukifika inatakiwa bei kubwa sawa na hapa Ngara.

Kumbe wenye maduka wameruhusu udalali wa kijinga hadi Kwa mteja aliyejileta dukani unamwekea watu wa kumpandilia bei, sio fair kabisa.

Kariakoo acheni uhuni.

Ka frem kadogo wamejaa madalali zaidi ya 20 wanazidi hadi wateja
Tatizo la Ajira
 
Ni connection na kujua machimbo ambayo hata mgeni utauziwa kwa bei elekezi..
Unaweza kutajiwa machimbo ukaenda ukakutana na wazee wa 10% ukauziwa bei kubwa vilevile.
 
Nyumba NHC fremu sio bei Kali ila shida ndio Kwa hao watu wa kati yeye amechukua fremu analipia NHC Kodi laki Moja alafu ana ipangasha Kwa laki 6

Watanzania Wana roho mbaya sana
Itakuwa NHC wanashirikiana nao sio bure....NHC ndo wamesababisha miji yetu ichakae kwa kumiliki majumba chakavu kuanzia kariakoo, kisutu, posta, mwanza, moshi, Bukoba etc
 
Back
Top Bottom