Kariakoo, Upanga na Posta wana nchi yao nyingine kabisa

Kariakoo, Upanga na Posta wana nchi yao nyingine kabisa

Baadhi ya maeneo ya Kariakoo, Upanga na Posta hawa watu ni wana nchi yao ndani ya nchi
Mtu anazaliwa Posta hajawahi kufika hata Magomeni
Hudumza zote wanapata huko huko
Posta mpaka kuna vyuo vikuu vya nje vyenye matawi
Starehe zao ni huko huko
Hosptali zao ni classic zipo
Maduka yao Posta mengi ni OG
Masoko na supermaket
Mtu akitoka sana jua anaenda ofisi za uhamiaji ama airport
Ukweli mtupu, umesahau oysterbay na masaki, Ninafanya sana delivery za simu ayo maeneo

tatizo wabongo wabishi
 
Ni sahihi watu wa hivyo wapo. Lakini ukiwafuatilia, wana phycological effects nyingi tu zinazosababishwa na kukosa social interaction.
 
Kuna wengine wanakaa bunju wao wanaishia tegeta shuguli zao zote
Wana malaria hapo

Ova
 
Baadhi ya maeneo ya Kariakoo, Upanga na Posta hawa watu ni wana nchi yao ndani ya nchi
Mtu anazaliwa Posta hajawahi kufika hata Magomeni
Hudumza zote wanapata huko huko
Posta mpaka kuna vyuo vikuu vya nje vyenye matawi
Starehe zao ni huko huko
Hosptali zao ni classic zipo
Maduka yao Posta mengi ni OG
Masoko na supermaket
Mtu akitoka sana jua anaenda ofisi za uhamiaji ama airport
Sidhani labda ka umeingia jana na gari la ng'ombe
 
Hili siyo jambo geni, maana hata huko vijijini kuna bàdhi ya wananchi hawajawahi kufika makao makuu ya wilya na mikoa waliyozaliwa.
 
Kuna dogo mmoja nilikutana nae katika mishe mishe anaishi mtaa wa zanaki hapo posta. Mikocheni hapajui wala ubungo au kawe hata hapo magomeni tu yeye hajawahi kufika.

Ni Posta kasoma shule za mjini, akitaka kusafiri anakula Pipa Airport basi
Kwa hiyo kuna plane ya Moja kwa moja kutoka huko mpaka ughaibuni bila kwenda kipawa
 
Alafu kuna kina sisis tunakaa Fukayosi .. mimi mwenyewe nikiwa na hela nasogea pande hizo
 
Back
Top Bottom