Wasomi wetu Tanzania wanagombea na kina Kishimba na Msukuma wanabwaga kwny masanduku ya kura wanakuja kulia lia wanataka Katiba mpya iwazuie la Saba kugombea, kwanini Wazuiwe wakati uchaguzi ni wa wote kama hao Wananchi hawawataki wasomi kwanini muwalazimishe ?Uongozi ni Karama, sio elimu tu. We ona ata Bungeni mle, Kishimba STD 7 ana uwezo mkubwa wa hoja na uthubutu/uzalendo kuliko Mwigulu PHD
Nadhani humjui huyo jamaa umekurupuka tu,kifupi ana degree ya mlimani na ana CPA,nimesoma naye darasa moja namfahamu ni mtu smart!CWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Hao ndiyo huwa majasiri, sifa za kuongoza pia huwa na misimamoCWT 90% ya viongozi wake ngazi za juu ni walimu we shule ya Msingi na wengi Wana elimu ya stashahada kushuka chini
KabisaHao ndiyo huwa majasiri, sifa za kuongoza pia huwa na misimamo
Waliopata digrii feki karne hii wanapenda sana kujikweza.Uongozi ni kipaji.Unaweza ukawa na hata digrii 10 lakini uongozi wa nyumba kumi huuwezi.CWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Hili suala la kiofisi, kwa nini taarifa hii imekuwa public ?. Watu wa utumishi wajitafakari.alifanyiwa staha ya kufukuzwa kistaarabu CWT akakataa, ulitaka Mamlaka ifanyaje ?…imemheshimu sana na kama ingekuwa zama za JPM halafu akatae heshma aliyopewa na Rais …
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Hao grade 3A ndio wengi na ndio wapiga kura wa hicho chama. Kupenya mtu tofauti sehemu nyingi imekuwa ngumu.CWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Ufafanuzi tafadhali maana wengine hatuelewi kwenye hizo kada za ualimu madaraja yake yapoje, labda kwa kifupi inakuwaje maana barua inaonesha ni mwandamizi daraja A, si wengine tukiona mwandamizi ndio tunajua mbobezi
Labda tugusie kidogo madaraja ya ualimu yapoje walau kwa ufupi tu, utatusaidia wengi humu
Kama wewe ni mwalimu wa daraja la 3A,Nadhani humjui huyo jamaa umekurupuka tu,kifupi ana degree ya mlimani na ana CPA,nimesoma naye darasa moja namfahamu ni mtu smart!
Ndio maana CCM wanawachezea wanavyopendaCWT 90% ya viongozi wake ngazi za juu ni walimu we shule ya Msingi na wengi Wana elimu ya stashahada kushuka chini
Kumbuka hao walimu ndio wanaongoza kushika nafasi ya urais hapa nchini pia.CWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Hilo unalisema wewe, kama unafahamu hayo tueleze vizuri na ubandike matokeo yao hapa tuyaoneTuna rais aliyefeli form four mbona huulizi unamkomalia huyo mwalimu.
Kama umeweza kujua elimu ya mwalimu unashindwaje kujua elimu ya rais wako au mawaziri wako.Hilo unalisema wewe, kama unafahamu hayo tueleze vizuri na ubandike matokeo yao hapa tuyaone
Tuanze kujua matokeo yako wewe ya Form Four kama una division fourKama umeweza kujua elimu ya mwalimu unashindwaje kujua elimu ya rais wako au mawaziri wako.
Wewe.ni mpiga majungu, ungeanza kuelezea elimu yako kabla ya huyo mwalimu, ya matokeo yangu ya form four nilipata division four ya D 2 ya kiswahili na siasa.Tuanze kujua matokeo yako wewe ya Form Four kama una division four