Kassim Majaliwa: Tuache tabia ya kuwatengenezea viongozi migogoro, unaweza kupambana sana ukitaka ukae ukakuta anakaa mwingine

Hotuba ya PM inagusa engo zote za utawala, wala siyo Spika tu.
Huyu ni kama anataka kutupiga chenga ya mwili tu wakati mpira upo hapo hapo!! Bila shaka mother anajua hilo!! Yeye na yule bosi wa mjengoni ni timu moja!!
 
Majaliwa kasema ukweli na anafanya hivyo kuwaambia wale mnaomtaja kwenye ufisadi kila mara humu mara anamuhujumu mama.
Muacheni majaliwa afanye kazi yake

Tena nawachukia wale manao muundia mazengwe.
 
Waache kumtaja taja Mungu kwenye mambo yasiyomuhusu....
Na si kweli mamlaka yote hapa duniani yanatoka kwa Mungu.
Hili halihitaji utaalamu mkubwa kung'amua.
Kama mamlaka hayakupatikana kwa njia halali.
HITIMISHO: Mamlaka hiyo imetoka kwa shetani.
 
Ila tukubali au tukatae haya Maneno ya majaliwa ni kweli kabisaa!!!! Sikuzote MUNGU anampa amtakaye hata ufanye vipi juhudi haishindani na KUDRA
Hata shetani ana uwezo wa kumpa mtu nafasi ya juu katika nchi, ni vile wengi hawajui hilo au wanajua la wanajifanya kutojua.

N kama ile hadithi ya Father of Nation Mwl. Nyerere aliposema "akitokea kiongozi akacheza na hii katiba anaweza kutawala kidikteta.
.."

Wengi wanajifanya kama hawajawahi kusikia au kujua kuwa Mwl aliwahi kutoa tahadhari.
 
Kny hao viongozi wetu wanaopiga deals usiku na mchana kwa kodi za walalahoi..tuwaache sababu ni mpango wa Mungu??
 
Maneno yenye hekima.
 
Ila tukubali au tukatae haya Maneno ya majaliwa ni kweli kabisaa!!!! Sikuzote MUNGU anampa amtakaye hata ufanye vipi juhudi haishindani na KUDRA
Mungu?
Ni lini nadharia ya 'Mungu' itatoka akilini mwetu?
Hakuna kitu kinachoitwa Mungu.
 
Majaliwa Hayo uliyoyaongea yana connection gani na ibada hapo. Acheni kutumia nyumba za ibada kujilinda. Mnazo forums kibao kaongeeni huko. Muumini kaja kumwabudu Mola wake na kusikia mawaidha ya ujumbe wa siku katika Quraani, weye unaenda kuwajaza mambo ya siasa zenu.

Hii tabia mlioanzisha na mentor wako si nzuri hata kidogo. Heshimuni nyumba za ibada na Ibada. Kama una hoja nenda Pale Maelezo kaongee.
 
Halafu majaliwa mwenyewe ana usafi gani? Huyu si ndiyo aliwateka wagombea wa vyama vingine jimboni kwake?
 
Aliowafunda ni sisi mwananchi ambao hatukubali utawala wake
Sidhani kama amemlenga job

Na kuna wale ambao Saiv wanapiga ramli kwamba mama anahujumiwa na kina huyu majaliwa job na wengine wengi

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Mjalaana mama yako aliyekuzaa, huwezi kuja na matusi kwa viongozi wa nchi tukunyamazie kenge wewe
Povu .. ukweli unauma ehee.. Majaliwa awezi kuwa kiongozi wa watanzania, hakuna aliemchagua.
Ni mshenzi kama washenzi wenzie wote waliochafua uchaguzi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…