Kati mamba, simba na chatu yupi mrahisi kuokoka tukikutana naye?

Kati mamba, simba na chatu yupi mrahisi kuokoka tukikutana naye?

Ina depend na Aina ya mamba, Size ya mamba pia na Size ya Nyoka maana kuna aina tofauti za mamba ambazo pia zina Size tofauti pia kuna umri wa mamba husika na nyoka.

Sisi tunapenda kusema tu jina la kiumbe bila kuzingatia sifa mtoto wa tembo akiuliwa na Simba mkubwa tunasema Simba kaua Tembo.
Ndio maana ukinisoma tokea mwanzo nimekuwa nikisema Chatu MKUBWA au Mamba MKUBWA na hapa naongelea Spicies zote za MAMBA Nile Crocodile Aligator Salt Water Crocodile na Cayman.
 
Naombeni mniambie mimi sijawahi kukutana na mamba wala chatu ila nahitaji kujua je ukikutana na Hao Wanyama.

Assume una upanga mkali yupi ukipambana naye Shambani huko ng'anya yake sio ndogo.

Yaani yupi ukijiingiza kwenye mfumo wake wa mtego pambano lake atakuzidi kirahisi na yupi mwepesi kumshinda
Hao wote ni balaa, usiwachokoze tu.
Maporini huko Botswana natembea zangu mara chatu hilo linapita,nikatoka baru naenda mbele Duma (leopard yuko mtini) nikageuza kiupoole.
Kuna siku tunaota moto na kuchoma Nyama za Nyati,
Simba alikuwepo pale anaskiliza story tu..
E bana fisi sijui walitoka wapi wakaanza kuchekachek
a pale,Yule Simba akatambaa nao wote.
Sasa lile vurumai,moto umevurugwa,nyama chali si wenyewe unakimbia mpk unapitiliza camp yako.
3.Siku Simba nae kaingia cha kike.
Hamna mnyama Simba anaogopa km mbwa mwitu(Wolf)
E bana sijui walifumaniana wapi huko Mbio.
Katika mbio simba kazama kwenye tent letu alafu kageuka anachekshia wale walikua wanamfukuzia.
Hajui hata km kuna binadamu mule.
Yaani hapo ikawa unajikojolea,kunya,sio kwa woga ule.
Unafkiria akigeuka huyu jamaa twafa.
Dah,bahati nzuri wale mbwa mwitu walipitiliza hawakumuona yule Simba kama tuko nae ghetto.
Wangemkuta mle ndani wote tungegeuzwa nyama.
Walipita wanabweka tu km 10 hivi.
Simba alivyookoka aah hana hata story na sisi huyo kaondoka zake kimya kimya.
 
Naombeni mniambie mimi sijawahi kukutana na mamba wala chatu ila nahitaji kujua je ukikutana na Hao Wanyama.

Assume una upanga mkali yupi ukipambana naye Shambani huko ng'anya yake sio ndogo.

Yaani yupi ukijiingiza kwenye mfumo wake wa mtego pambano lake atakuzidi kirahisi na yupi mwepesi kumshinda.

Bora nikutane na wote hao uliowataja ila sio CHUI

images (6).jpeg
 
Ila tuseme ukweli binadamu kiumbe dhaifu sana.
Yaani hakuna kiumbe ambacho tunalingana ukubwa au uzito ambacho unaweza kukimudu kukikalisha chini bila kutumia siraha.

Kucha zetu zenyewe umekuwa urembo tu, meno ya kutafunia mishikaki tena iliyokwiva.
Viumbe wengine angalau wanayo hata sauti ya kutisha, sisi nayo hatuna.
Tatizo ni ubonadamu tulionao (humanity) sio kutokuwa na uwezo bindamu utaona hata Kenge anamkimbia au wanawake hata mjusi, kwenye movie utaona kakiumbe kadogo kanshambulia mtu.

Binadamu akiamua kupambana na mbwa kama na yeye mnyama binadamu Ana 90% ya kumuua mbwa, tumechulia meno kama sio silaha kumbe meno unaweza kuua.
 
280D088B00000578-3057226-image-m-16_1430128008279.jpg
280D087F00000578-3057226-image-m-15_1430127994472.jpg

Chatu akipanda Minazi kumbuka ukipanda Mnazi Simba wala Mamba hakufuati ila Chatu anakufuata ukikimbilia kwenye Maji Simba hawezi kukufuata lakini Chatu na Mamba wanakufuata na Chatu anaogelea kuliko hata Mamba.

Kwahiyo Chatu yeye ni kila sehemu.
 
Back
Top Bottom