Kati mamba, simba na chatu yupi mrahisi kuokoka tukikutana naye?

Ndio maana ukinisoma tokea mwanzo nimekuwa nikisema Chatu MKUBWA au Mamba MKUBWA na hapa naongelea Spicies zote za MAMBA Nile Crocodile Aligator Salt Water Crocodile na Cayman.
 
Hao wote ni balaa, usiwachokoze tu.
Maporini huko Botswana natembea zangu mara chatu hilo linapita,nikatoka baru naenda mbele Duma (leopard yuko mtini) nikageuza kiupoole.
Kuna siku tunaota moto na kuchoma Nyama za Nyati,
Simba alikuwepo pale anaskiliza story tu..
E bana fisi sijui walitoka wapi wakaanza kuchekachek
a pale,Yule Simba akatambaa nao wote.
Sasa lile vurumai,moto umevurugwa,nyama chali si wenyewe unakimbia mpk unapitiliza camp yako.
3.Siku Simba nae kaingia cha kike.
Hamna mnyama Simba anaogopa km mbwa mwitu(Wolf)
E bana sijui walifumaniana wapi huko Mbio.
Katika mbio simba kazama kwenye tent letu alafu kageuka anachekshia wale walikua wanamfukuzia.
Hajui hata km kuna binadamu mule.
Yaani hapo ikawa unajikojolea,kunya,sio kwa woga ule.
Unafkiria akigeuka huyu jamaa twafa.
Dah,bahati nzuri wale mbwa mwitu walipitiliza hawakumuona yule Simba kama tuko nae ghetto.
Wangemkuta mle ndani wote tungegeuzwa nyama.
Walipita wanabweka tu km 10 hivi.
Simba alivyookoka aah hana hata story na sisi huyo kaondoka zake kimya kimya.
 

Bora nikutane na wote hao uliowataja ila sio CHUI

 
Tatizo ni ubonadamu tulionao (humanity) sio kutokuwa na uwezo bindamu utaona hata Kenge anamkimbia au wanawake hata mjusi, kwenye movie utaona kakiumbe kadogo kanshambulia mtu.

Binadamu akiamua kupambana na mbwa kama na yeye mnyama binadamu Ana 90% ya kumuua mbwa, tumechulia meno kama sio silaha kumbe meno unaweza kuua.
 

Chatu akipanda Minazi kumbuka ukipanda Mnazi Simba wala Mamba hakufuati ila Chatu anakufuata ukikimbilia kwenye Maji Simba hawezi kukufuata lakini Chatu na Mamba wanakufuata na Chatu anaogelea kuliko hata Mamba.

Kwahiyo Chatu yeye ni kila sehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…