Hebu tafuta Anaconda au Titanaboa wa Congo halafu njoo tujadilianeUnajua Size ya ng'ombe mzee, hawezi huyo mdomo utapasuka
Midomo yao inatanuka ila ina limit kwa mantiki hii utaamini hata Tembo anamezwa, ng'ombe ana Dimension kubwa sana kwa mdomo wa chatu kuweza kitanuka.Hebu tafuta Anaconda au Titanaboa wa Congo halafu njoo tujadiliane
Midomo ya hawa Viumbe sio kama yetu yao yanauvaa mlo kama Kikoi kinavyomvaa Mpemba.
Mimi nimeshakutana na simba, ombea ukutane na simba labda wapo pride (kundi lina majike na madume na watoto). Hilo kundi ujue lina uhakika wa kula.Kila mnyama ana weekness yake chatu mbio hana, mamba nchi kavu mgambo tu hana jipya, simba ukimwangalia directly machoni ana aibu kama unamtongoza si ajabu akaanza kutafuna vidole na kuvunja vijiti ila ombea usikutane na nyegele ni mpaka akukague we ni jinsia gani
Kumbuka chatu huvunjavunja mifupa kabla hajamezaMidomo yao inatanuka ila ina limit kwa mantiki hii utaamini hata Tembo anamezwa, ng'ombe ana Dimension kubwa sana kwa mdomo wa chatu kuweza kitanuka.
Ni rahisi kumtime kwenye hiyo ngozi ya chini sio?! Hivi mnaongea stori ama uhalisia? Hao viumbe Chatu na Mamba ni hatari sana unless uwe na madawa.Sema ndani ya Maji nje ya Maji ni mrembo sana ndio maana hua anakimbilia Majini ukimfuata akumalize humo humo maana Maji ni km barabara yake, ngozi ya chini ya Mamba ni laini km ngozi ya kuku wa kienyeji ukimuote ukamtia Beto umemmaliza maana yeye anategemea domo tu lile
hawa ni kiboko ya fisiMimi nimeshakutana na simba, ombea ukutane na simba labda wapo pride (kundi lina majike na madume na watoto). Hilo kundi ujue lina uhakika wa kula.
Sasa katika vitu usiombee ni kukutana na mbarara (simba dume vijana ambao hufukuzwa kwenye pride na baba yao). Hawa huwa wana njaa mda wote maana kuwinda kwao ni changamoto.
Simba jike aliejitenga na pride ili azae na kukuza kwanza watoto. Usiombee pia.
Ila yote ya yote katika mapori haya usiombe kukutana na kundi la mbwa mwitu. Hao ukiwaona kwa mbali wala usikimbie tafuta tu mti upande.
Hawa wakikukamata wanaweza kuwa wameshakukula robo tatu ya mwili wako kabla roho yako haijatoka. Yani unaliwa huku unajiona.
Hebu wasome green Anaconda.Midomo yao inatanuka ila ina limit kwa mantiki hii utaamini hata Tembo anamezwa, ng'ombe ana Dimension kubwa sana kwa mdomo wa chatu kuweza kitanuka.
Nani kakwambia anavunja mifupa pia hata akivunja still ng'ombe mkubwa sanaKumbuka chatu huvunjavunja mifupa kabla hajameza
Yaaah chatu hawezi kumeza ng'ombe mzima mzima, labda ka ndama, mbuzi, swala. Na anapenda sana Mbwa. Chatu akishakuotea huchomokiii.Unajua Size ya ng'ombe mzee, hawezi huyo mdomo utapasuka
Simba unapanda Mnazi tu hawezi kukufuata wala Mamba lakini Chatu anaenda kukutafunia kule juu halafu anashushia na Maji ya Dafu Baridi.akikuangalia na kuunguruma same
Jf Uhuru umezidi[emoji1787]Eti mamba na panga. Duh kweli Jf ni jukwaa huru
Ni sawa lakini, kwa ng'ombe itampa shida sana. Na hawezi kumeza ng'ombe. Chatu atameza sana sana swala, mbuzi, ndama, mbwa na binadam mara chache sana hadi akuotee.Hebu tafuta Anaconda au Titanaboa wa Congo halafu njoo tujadiliane
Midomo ya hawa Viumbe sio kama yetu yao yanauvaa mlo kama Kikoi kinavyomvaa Mpemba.
View attachment 2926587
View attachment 2926589
👆 Taya zao huwa zinatanuka.
Kwanini upambane naoNaombeni mniambie mimi sijawahi kukutana na mamba wala chatu ila nahitaji kujua je ukikutana na Hao Wanyama.
Assume una upanga mkali yupi ukipambana naye Shambani huko ng'anya yake sio ndogo.
Yaani yupi ukijiingiza kwenye mfumo wake wa mtego pambano lake atakuzidi kirahisi na yupi mwepesi kumshinda.
Wewe unaongelea wale Chatu wa Bahi walokondeana kuna Chatu wa aina nyingi Kuna Burmese Pythons Rock Pythons kuna Anaconda kuna Green Anaconda na hapo nimewasahau Boa Constrictor.Yaaah chatu hawezi kumeza ng'ombe mzima mzima, labda ka ndama, mbuzi, swala. Na anapenda sana Mbwa. Chatu akishakuotea huchomokiii.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]akukague nini?Kila mnyama ana weekness yake chatu mbio hana, mamba nchi kavu mgambo tu hana jipya, simba ukimwangalia directly machoni ana aibu kama unamtongoza si ajabu akaanza kutafuna vidole na kuvunja vijiti ila ombea usikutane na nyegele ni mpaka akukague we ni jinsia gani
Simba hangurumi hovyo, eti aone mtu angurumeChatu Maajabu ni kwamba wanajua kama hiyo menu saizi au lah hii mutu nitaiwezana nayo. Ila Simba wakuu hapana asee akikuangalia na kuunguruma same time, we bana wewee Unavunja record ya Kipchoge 😅
A non-venomous reticulated python, one of the world's largest snakes, was seen devouring a cow in India, prompting a farmer to lasso its head in an attempt to remove it from the property.24 Oct 2023Ni sawa lakini, kwa ng'ombe itampa shida sana. Na hawezi kumeza ng'ombe. Chatu atameza sana sana swala, mbuzi, ndama, mbwa na binadam mara chache sana hadi akuotee.