Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wdym?hii imeingiaje hapaIn every rule... Niliwahi lala na msichana bila condom mwaka 1999, alikuwa na HIV since birth (nilikuja kujua baadae maana alishafariki), sikupata ukimwi...
Wdym?hii imeingiaje hapa
[emoji1] kwahyo form 6 ni condom?Sio kila atakayelala na mwanamke mwenye HIV atakosa ukimwi, ni Bahati, sio kila mtoto anaeenda chuoni underage ata manage, ndo maana kuna form 5 na 6
[emoji1] kwahyo form 6 ni condom?
Unasmile na ulienda form 6.[emoji276][emoji276]U made me smile... Yeah, bro
Unasmile na ulienda form 6.[emoji276][emoji276]
The issue hapa ni kusaidia teenagers kujitambua ingekua form 6 inakuza akili tusingekuwa na dropouts kibao wa unplanned pregnancies na STIs.
Mchana mwema mkuu
kwanza jifunze kuandika vizuri, hge na hgk ndio nini, hivi shule umesoma wapi wewe. Vitoto vya siku hizi ni vizembe vizembe ndio maana umekuja kuuliza humu, we ni mvivu na mzembe.Kati ya kwenda hge hgk au kwenda chuo course ya bussness administration au human resource qu accountancy ipi ni bora zaid naombe msaada
Nebda advance achana na chuoUmri 18
vipi kwakijana wa miaka 18 anaetaka kusomea udokta vyuo vyakati unamshaulije?Nebda advance achana na chuo
Afate moyo wake as long as ana uwezo wa kupata matokeo mazurivipi kwakijana wa miaka 18 anaetaka kusomea udokta vyuo vyakati unamshaulije?
Wewe mtazamo wako umekua?For 5 & 6 inampa mtoto fursa ya kukua kimtazamo, na kujisimamia, sio mengine, watoto wangu lazima wapite 5& 6.
Advance serikalini nafuu sana ila vijana wengi hutaka chuo sababu ya kuwinda uhuru na pocket money ya kutosha ya kujirushaMwache aende advance tu! Chuo ni mlolongo mrefu kuja kuifikia degree plus gharama
Nadhan advance ni nafuu kidogo
[emoji276][emoji276] kwanini unaassume kila mtu ni kijana maskini?Advance serikalini nafuu sana ila vijana wengi hutaka chuo sababu ya kuwinda uhuru na pocket money ya kutosha ya kujirusha
Kijana unakuta anachagua chuo huku wazazi wake maskini na chuo lazima akalipie
Na mzazi akilipie chuo mtoto akienda chuo kikuu hapati mkopo bodi ya mikopo sababu inaonyesha wazazi wana uwezo walimsomesha private chuo
Anasababisha usumbufu juu ya usumbufu wakati angeenda advance wazazi wake wangepumua
Kozi zenyewe akichagua kusoma ndizo hizo za arts hazina cha ajira wala kujiajiri si heri tu angeenda advance mzazi apumue hiyo miaka miwili akivuta pumzi ya chuo kikuu
Hakuna chuo cha kati kinafundisha udaktari hakipo.Kozi wanazotoa ni za tabibu yaani clinical medicinevipi kwakijana wa miaka 18 anaetaka kusomea udokta vyuo vyakati unamshaulije?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama hana uwezo wa kupata div 1.3-1.6 aache hiyo a level.Hakuna chuo cha kati kinafundisha udaktari hakipo.Kozi wanazotoa ni za tabibu yaani clinical medicine
Hao hata kupata chuo kikuu shida sio rahisi akaongia kusomea kozi ya udaktari chuo kikuu kama Muhimbili,nk
Ni kupotezea muda mtoto kama akili.imo aende advance moja kwa moja
Kuna vyuo vya kati waongo waongo course hiyo ya clinical medicine husingizia eti ni kozi ya udaktari waongo
Au kama anaweza kuna physiotherapy, radiology, dental diploma zitamtoa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama hana uwezo wa kupata div 1.3-1.6 aache hiyo a level.
Clinical medicine is okay lol.
unujua mkuu mdogowangu kapasua 2 Sasa mpango wake alitaka akasome masomo ya sayansi advansiHakuna chuo cha kati kinafundisha udaktari hakipo.Kozi wanazotoa ni za tabibu yaani clinical medicine
Hao hata kupata chuo kikuu shida sio rahisi akaongia kusomea kozi ya udaktari chuo kikuu kama Muhimbili,nk
Ni kupotezea muda mtoto kama akili.imo aende advance moja kwa moja
Kuna vyuo vya kati waongo waongo course hiyo ya clinical medicine husingizia eti ni kozi ya udaktari waongo
Mkuu naomba unielekeze tofauti kati ya hizo kozi ya cliniko na udaktari.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama hana uwezo wa kupata div 1.3-1.6 aache hiyo a level.
Clinical medicine is okay lol.