Kati ya advance na chuo ipi njia nzuri zaidi?

Kati ya advance na chuo ipi njia nzuri zaidi?

Jaman nina rafiki yangu yeye alikiwa amendable tuition ya pre form 5 course ya HGE lakn serikali imempangia chuo kozi ya business administration je aende chuo au aende advance umri miaka 19 naomben maoni
Aendelee na vyote.

Tatizo nini?
 
Kati ya kwenda hge hgk au kwenda chuo course ya bussness administration au human resource qu accountancy ipi ni bora zaid naombe msaada
Nenda Advance HGE uje ule mema ya nchi na chuo kasome Bachelor ya Economics au Economics and Statistics.
 
Nilitaka niseme hivohivo, kwa tokeo hilo la o level, advance asingetoboa kwenda udaktari, Mimi nilipata 1.10 o level, advance 1.7 pcb, mwaka huu sio poa nimeapply doctor of medicine vyuo vinne round ya kwanza nimekosa, round ya pili nimeongeza vyuo vikawa 8 jumla, nikapata kimoja ambacho Ada yake kubwa mno (KIUT 7.2M per year) , sikureject nikaapply round3 nikakosa kote Tena, ikabidi tu nicomfirm kiut, na mkopo nimekosa, Yani maisha yanaenda hivohivo kwa shida....1.7 PCB kupata udaktari ni ndoto labda Kampala au st Joseph 💔💔
 
Back
Top Bottom