Kati ya advance na chuo ipi njia nzuri zaidi?

Kati ya advance na chuo ipi njia nzuri zaidi?

unujua mkuu mdogowangu kapasua 2 Sasa mpango wake alitaka akasome masomo ya sayansi advansi

sijui kimetokea kitu gani wakamchagua dogo kwenye Kombi ya HKL badala ya Kombi za sayansi.mzee akaenda kufatilia Ili dogo apewe Kombi anazotaka wakagoma wanasema haiwezekani kubadili.

dogo kemia kapata c math c fiz c bioz c
mzee akaona amtafutie chuo Cha afya akasome udokta na dogo amekubali kishingo upande mana alitaka kwenda adivansi
Huyo dogo kaonewa sana
Na mzazi kakosea alitakiwa ampleke advance shule ya Private yenye hizo combination zake baada ya serikali kuleta za kuleta na kumuonea


Serikali hawajamtendea haki na mzazi hajamtendea haki
Ila dogo yuko sahihi kabisa serikali na wazazi wamemkosea sana
 
Huyo dogo kaonewa sana
Na mzazi kakosea alitakiwa ampleke advance shule ya Private yenye hizo combination zake baada ya serikali kuleta za kuleta na kumuonea


Serikali hawajamtendea haki na mzazi hajamtendea haki
Ila dogo yuko sahihi kabisa serikali na wazazi wamemkosea sana
dah ndio hivyo mkuu.kwani mkuu tofauti ya udokta na klniko medicn ni ipi?
 
Mkuu naomba unielekeze tofauti kati ya hizo kozi ya cliniko na udaktari.
Kwanza chuo
Daktari ni mtu mwenye digrii ya udaktari na aliyesajiliwa na bodi ya madaktari Clinical Medicine officer hatambuliwi na bodi ya madaktari kama daktari

Daktari husoma mambo mengi .Kwenye udaktari Clinical medicine ni mojawapo tu ya kozi mojawapo wanayosoma madaktari kati ya kozi nyingi mno wanazosoma.Hiyo ni.mojawapo tu.Tena ndogo tu.


Clinical medicine ni tabibu anayeshinda na mgonjwa moja kwa moja hana tofauti sana na nurse yeye achoongeza ni ujuzi kidogo wa dawa

Clinical medicine ni nusu mfamasia na nusu nurse ndivyo course zile zilivyokuwa designed ni kakinyonga fulani hivi.Kwenye ufamasia ha fit na kwenye udaktari ha fit yuko katikati. LAKINI SIO DAKTARI ANAITWA MUUGUZI

Ila wodini anafaa sababu anajua dawa kidogo na unurse kidogo

Kwa mazingira kama ya vijijini kusiko na madaktari hao huitwa ma daktari na wenyeji wa vijijini kusiko na daktari LAKINI NI WAUGUZI KWA TITLE YAO SIO MA Dokta

Ila sio madokta wako kundi moja na ma nurse na wakunga wenye diploma
 
Kozi gan bora kati bussness administration na accountancy na human resource
Kwa level ya diploma hamna kitu zote bure kabisa ni kusukuma tu siku ziende mtu aseme alisoma diploma

Ila zinafaa kwa waliofeli form four wanaojiandaa kwenda kusoma vyuo vikuu vya kata vinavyopokea wanafunzi waliomaliza diploma wanaotaka kujiunga vyuo vikuu vyao vya kata
Wakimaliza hizo diploma zao hupokelewa na vyuo vya kata.Sivitaji.Huko ndiko hujazana na vi diploma vyao

Vyuo serious hapokei waliosoma diploma. Wata disco wote mwaka wa kwanza .Uwezo wao mdogo mno
 
Uwe na siku njema.
Asanten kwa ushauri wenu mim nmeamua kwenda chuo kati ya kozi izi 2 bussness administration au accountancy nmechaguliwa na TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY company ya dar labda naomba uxhaur niende accountancy au bussness administration ipi ni the best hp
 
Asanten kwa ushauri wenu mim nmeamua kwenda chuo kati ya kozi izi 2 bussness administration au accountancy nmechaguliwa na TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY company ya dar labda naomba uxhaur niende accountancy au bussness administration ipi ni the best hp
Nenda accountancy utaajiriwa kwenye halmashaur
 
Ushauri wangu kwako, kwa mujibu wa maelezo yako ni wazi kuwa.... unatokea familia yenye uwezo wa kati.
Kwenda chuo na advance ni maamuz unayotakiwa kufanya baada ya kujua faida na hasara za pande zote mbili.

Lakini ushaur wangu kwako, nenda VETA katafute ujuzi, siku izi elimu kama ya chuo imebaki kuwa kama status ya usomi...... Ili hali wengi wa wasomi hawana sifa ya kuitwa wasomi kwa kuwa hawana hakika na uelewa mpana kuhusu hata walichosomea.

Nilishangaa kuna binti mmoja, alisoma chuo X course ya Business administration lakin alipoulizwa inahusiana na nini akawa anapiga kona na dana dana nyingi.

Tafuta ujuzi, kujiari si kazi nyepes kama unavyodhani.....na ajira pia zimekuwa changamoto.....Fanya maamuz sahihi.
Afate ndoto yake kuna watu elimu hiihii imewatoa.
Just because mtu ameshindwa kuelezea course yake.
Life doesn't work like that apparently
 
unujua mkuu mdogowangu kapasua 2 Sasa mpango wake alitaka akasome masomo ya sayansi advansi

sijui kimetokea kitu gani wakamchagua dogo kwenye Kombi ya HKL badala ya Kombi za sayansi.mzee akaenda kufatilia Ili dogo apewe Kombi anazotaka wakagoma wanasema haiwezekani kubadili.

dogo kemia kapata c math c fiz c bioz c
mzee akaona amtafutie chuo Cha afya akasome udokta na dogo amekubali kishingo upande mana alitaka kwenda adivansi
Advance asingetoboa
 
Asanten kwa ushauri wenu mim nmeamua kwenda chuo kati ya kozi izi 2 bussness administration au accountancy nmechaguliwa na TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY company ya dar labda naomba uxhaur niende accountancy au bussness administration ipi ni the best hp
Uache kutumia x badala ya s we mkubwa
 
Jaman nina rafiki yangu yeye alikiwa amendable tuition ya pre form 5 course ya HGE lakn serikali imempangia chuo kozi ya business administration je aende chuo au aende advance umri miaka 19 naomben maoni
 
Jaman nina rafiki yangu yeye alikuwa anasoma pre form 5 ya Kozi HGE ila yeye kapangiwa chuo cha TIA kozi ya bussness administration je aende iyo kozi aliyopangiwa inasoko au aende advance ya private msaada tafadhali wakuu
 
Rafiki yako ni mwanamke au ?
Jaman nina rafiki yangu yeye alikuwa anasoma pre form 5 ya Kozi HGE ila yeye kapangiwa chuo cha TIA kozi ya bussness administration je aende iyo kozi aliyopangiwa inasoko au aende advance ya private msaada tafadhali wakuu
 
Back
Top Bottom