Kati ya Burhani na Hemeti nani ashinde Sudan

Kati ya Burhani na Hemeti nani ashinde Sudan

Habari nyingi zilizohusu Sudan kabla kupinduliwa kwa Omar Albashir zilikuwa na lengo la upotoshaji,.Hivyo mimi siwezi kumtaja generali Hemeti kama unavyosema wewe.
Ukitaka kujua kuwa upotoshaji ulikuwa ni mkubwa ni katika kusemaj kuna makundi ya waarabu wakiuwa waafrika.Hilo kwa Sudan ninayoijua mimi halipo.Kiarabu ndio lugha kuu ya wenye rangi na weusi.Hata ukiangalia safuj zote za uongozi watu wenye rangi nyeupe ni wachache sana.
Sio kweli. Sudan kuna weusi kabisa na hawa "waarabu koko" akina Al_Bashir. Hawa waarabu koko ndio wanaojiona wana haki miliki ya Sudan. Si ajabu wale weusi akina "South Sudan" waliamua kuwa na Taifa lao. Kwa kuwa wametofautiana mengi. Hivyo hivyo hawa Waarabu Koko wamehusika pakubwa kuwatesa watu weusi wa huko Darfur.
 
Ndiyo maana nilisema wewe mpumbavu ambaye hata kukujibu najishushia heshima
huna hoja , matusi ni kwa ajiki ya wasio na hoja , kuna wajinga weng kama wew mpk sasa mnaishi kweny stori za kufikirika wakati mnaona hali halisi , ACHEN KUIWAZA MAREKAN , KUIWAZA MAREKAN NI ISHARA YA UPEO MDOGO WA KUFIKIRI
 
Hata Tanzania napo kulikuwa na maeneo yapo nyuma sana kuliko Dar es salaam,sasa hivi yamebadilika sana.Barabara nzuri na maji yanatiriika majumbani.Ilihitaji muda na mipango iliyopangwa kutekelezwa hapo baadae. Maeneo kam hayo ndiyo Marekani na Ulaya waliyoyachochea kwa kutumia rangi na dini kwamba wao walikuwa hivyo kutokana na rangi zao na dini tofauti.Walipitisha maazimio ya kinafiki umoja wa mataifa na kutuma vikundi vya NGO za uchochezi mpaka ikawa ni uhasama kati ya wananchi hao.
Wangekuwa ni watu wazuri wangepeleka misaada kwa serikali ili ibadili hali kwa kile walichoona ni upungufu huko Sudan Kusini.Badala yake walifanya vitendo vya kichochezi vya wazi wazi.
Kaisome tena siasa za Sudan , Kwa Sudan kusin na Sudan ni Sawa na Tanzania bara na Zanzibar , angalia ufanano uone , je kuna usawa kati ya Sudan kusin na Sudan kwa maendeleo ukilinganisha na Tanganyika na Zanzibar
 
Mapigano mengine makali ya wenyewe kwa wenyewe yameibuka nchini Sudan.Safari hii ni kati ya general Abdel Fattah al-Burhan ambaye ndiye kiongozi wa nchi hiyo kwa sasa na mkuu wa jeshi. Mpinzani wake ni general Mohamed Hamdan Dagalo maarufu kama Hemeti na ambaye ndiye naibu katika utawala wa sasa unaitwa wa mpito kuelekea utawala wa kiraia.
Majeneralji wote hawa walikuwa ni sehemu ya uongozi wa kijeshi wakati wa utawala wa rais Omar albashir.Katika maandamano yaliyopelekea kuondolewa madarakani kwa albashiri general Burhani alijionesha kama mtu aliyewaonea huruma sana wananchi na hata kutembelea maeneo waliyokuwa wamejikushanya jijini Khartoum na kutaniana nao.
Kwa upande wake general Hemet alikwishashutumiwa na taasisi za kimataifa kama mshiriki mkuu wa mauwaj yanayotajwa kutokea Darfur na yeye alitajwa kama kiongozi wa Janjaweed. Katika uongozi wa baada ya kuondoka kwa albashir ambapo Hamdoh alikuwa kiongozi wa kiraia katika serikali hiyo,majenerali hao walishirikiana vizuri jambo ambalo halikudumu kwa muda mrefu kabla ya kutokea kutofahamiana tena kila mmoja akiwa na wafuasi wake na ambapo Hamdoh aliwekwa pembeni hapo mwaka juzi 2021.
General Hemet amekuwa na jeshi lake linaloitwa RSF ambalo ni mwendelezo wa vikosi tangu enzi za Albashir vilivyotumika kuzima uasi maeneo mbali mbali ya nchi hiyo ikiwemo Darfur.General Burhani pamoja na kuwa ni kiongozi wa kijeshi tangu enzi za Albashiri kwa sasa ndiye mkuu wa jeshi la ulinzi na mkuu wa nchi kuelekea utawala wa kiraia.
Kipengele kinachotajwa kupelekea kutoelewana kwa majenerali hao kwa sasa ni namna ya kuviingiza vikosi vya RSF katika jeshi rasmi la nchi na muda wake.Wakati Hemet akitaka iwe ni kitendo kinachotakiwa kiendelee kwa muda mrefu hata miaka 10 ijayo kutoa fursa ya kuaminiana na kupata ufanisi.Kwa upande wake general Burha ametaka iwe ni jambo la kufanyika kwa haraka.
Mbali na kutajwa kuwa alihusika na mauwaji ya Darfur,general Hemeti kwa sasa anatajwa kupokea misaada ya kijeshi kutoka Urusi baada ya kuwafungulia njia katika uendeshaji wa migodi ya dhahabu ya nchi hiyo wakati mwenzake Burhani akitajwa kuwa na ushirikiano mkubwa na vyama vya kisjiasa vya mrengo wa kiislamu vilivyowahi kutawala nchini humo.
Hapo juzi kulionekana harakati kubwa za vikosi vya RSF za kuhamisha silaha kuelekea maeneo tofauti ya nchi karibu na jiji la Khartoumj kitendo kilichotajwa na ujpande wa Burhan kuwa kumefanyika bila ushirikiano wa kijeshi na jeshi lake.Siku iliyofuata hapo juzi vita kamili vilianza huku Hemeti akitangaza kushikilia ikulu na viwanja vya ndege na upande wa Burhani kukanusha huku ukitumia ndege za kuvita kushambulia maeneo kadhaa ya jiji hilo.
_129371206_239b828587d5bb938cca33d701bc2d4abca5108b0_230_5500_30921000x563.jpg

general Mohamed Dagalo (Hemeti)
15sudan-Abdel-Fattah-al-Burhan-articleLarge.jpg

general Abdulfatah AlBurahan
AP23105459336254.jpg
Ami acha janjaweed (RSF) wachafue hali ya hewa Khartoum,baada ya kuwaua wabantu kikatili na kibaguzi kule dafur,sasa zamu imehamia kwa wanubi na waarabu wao kwa wao kuigeuza Khartoum kua kama Sarajevo au Beirut.Hakuna mbantu aliyesahau waarabu na wanubi wa janjaweed (RSF) walivyowafanyia wabantu kule darfur.Wacha wapimane nguvu ila Sudan national army watachukua udhibiti wa nchi,ni suala la mda
 
Habari nyingi zilizohusu Sudan kabla kupinduliwa kwa Omar Albashir zilikuwa na lengo la upotoshaji,.Hivyo mimi siwezi kumtaja generali Hemeti kama unavyosema wewe.
Ukitaka kujua kuwa upotoshaji ulikuwa ni mkubwa ni katika kusemaj kuna makundi ya waarabu wakiuwa waafrika.Hilo kwa Sudan ninayoijua mimi halipo.Kiarabu ndio lugha kuu ya wenye rangi na weusi.Hata ukiangalia safuj zote za uongozi watu wenye rangi nyeupe ni wachache sana.
Mkuu unataka kusema huwajui hawa machotara wa kinubi,kihabeshi na kiarabu kama akina Hemeti na makundi yao ya janjaweed na kampeni yao mauaji ya halaiki iliyoungwa mkono na Omar Bashir ya kuifanya Western darfur ikaliwe tu na wahabeshi,wanubi na waarabu na sio wabantu???
 
Habari nyingi zilizohusu Sudan kabla kupinduliwa kwa Omar Albashir zilikuwa na lengo la upotoshaji,.Hivyo mimi siwezi kumtaja generali Hemeti kama unavyosema wewe.
Ukitaka kujua kuwa upotoshaji ulikuwa ni mkubwa ni katika kusemaj kuna makundi ya waarabu wakiuwa waafrika.Hilo kwa Sudan ninayoijua mimi halipo.Kiarabu ndio lugha kuu ya wenye rangi na weusi.Hata ukiangalia safuj zote za uongozi watu wenye rangi nyeupe ni wachache sana.
Mkuu Sudan ipi unayoijua wewe????? Kwenye safu ya uongozi toka sudan ipate uhuru na kwenye mapinduzi yote ya kijeshi imejaza machotara wa kihabeshi na wanubi na waarabu wa kaskazini na wanaodhi kila kitu na .Waafrika ni wachache sana katika vyeo vya juu serikalini toka uhuru wa Sudan.Unadhani kwanini Garang aliendeleza uasi wa Anyanya baada ya Jaafar Nimeir kutaka nchi nzima ya Sudan watumie mfumo wa sharia wakati wabantu wa kusini walikua na imani zao.
 
Sio kweli. Sudan kuna weusi kabisa na hawa "waarabu koko" akina Al_Bashir. Hawa waarabu koko ndio wanaojiona wana haki miliki ya Sudan. Si ajabu wale weusi akina "South Sudan" waliamua kuwa na Taifa lao. Kwa kuwa wametofautiana mengi. Hivyo hivyo hawa Waarabu Koko wamehusika pakubwa kuwatesa watu weusi wa huko Darfur.
Upo sahii mkuu hao unaowaita waarabu koko ni machotara wa kihabeshi na kinubi na kiarabu na ndio raia wa daraja la kwanza Sudan.Unakumbuka kile kisa cha yule mchezaji mbantu wa timu ya taifa ya sudan,alipoamua kumuoa mwanamke mwarabu nini kilimkuta???
 
Hata Tanzania napo kulikuwa na maeneo yapo nyuma sana kuliko Dar es salaam,sasa hivi yamebadilika sana.Barabara nzuri na maji yanatiriika majumbani.Ilihitaji muda na mipango iliyopangwa kutekelezwa hapo baadae. Maeneo kam hayo ndiyo Marekani na Ulaya waliyoyachochea kwa kutumia rangi na dini kwamba wao walikuwa hivyo kutokana na rangi zao na dini tofauti.Walipitisha maazimio ya kinafiki umoja wa mataifa na kutuma vikundi vya NGO za uchochezi mpaka ikawa ni uhasama kati ya wananchi hao.
Wangekuwa ni watu wazuri wangepeleka misaada kwa serikali ili ibadili hali kwa kile walichoona ni upungufu huko Sudan Kusini.Badala yake walifanya vitendo vya kichochezi vya wazi wazi.
Hakuna uchochezi bali waarabu na wahabeshi na wanubi wa sudan walikua wanawanyanyasa wabantu na ndio maana wakajitenga.Hata Darfur ipo siku itajitenga na Sudan.Mkuu hv ushawahi kukaa Juba au Khartoum na kujionea hali ilivyokua miaka hiyo
 
Na yeye ndo chanzo cha Mgogoro wa sasa, anataka kuwa Kiongozi wa hicho Kikosi kisicho rasmi kwa maisha.

Ana roho mbaya na Ubinafsi, ukiacha ya Darfur, wakati wa mwanzo wa Maandamano ya kumuondoa Bashir, alitoa Amri kuwapiga Risasi wastani wa Waandamaji 100.....

Utofauti kati yake na Mkuu wa Majeshi ya sasa ulionekana kwenye Maandamano.

Hata Raia wengi wa Sudan hawampendi.
Ukiwauliza raia wa Sudan wanampenda Burhan kuliko Hemedti. Burhan pamoja na kwamba alifanya mapinduzi ya kijeshi kumuondoa madarakani PM aliyekuwa anakubalika miaka miwili baada ya Bashir kuondolewa kwa mapinduzi, bado Burhan ana unafuu maradufu.

Kiufupi ni kwamba, Hemedti aliongoza Janjaweed na alikuzwa na al Bashir kama buffer kuzuia jeshi lisimpindue baada ya kuchokwa na raia. Hemedti alitokea kwenye kuuza ngamia, baada ya kuwa close confidant wa al Bashir akaanza kufanya smuggling ya dhahabu kule Darfur na ndio akawa anafanya mauaji ambayo al Bashir anatuhumiwa nayo hadi sasa.

Mwaka 2019 kutokana na sanctions uchumi wa Sudan ukawa mbovu na ikumbukwe miaka ya nyuma hapo ndio South Sudan imetoka kujitenga baada ya gharama za vita kuwa kubwa kwa Sudan. Jeshi na RSF (Janjaweed mpya) ya Hemedti wakakubaliana wampindue al Bashir kuokoa muelekeo wa nchi baada ya maandamano ya mauaji ya watu miezi kama minne (yalianza pale bei ya mkate nayo ilipopanda).
al Burhan mkuu wa majeshi akawa mwenyekiti wa serikali ya mpito na Hemedti akawa msaidizi.

Baadae pressure ya kimataifa na maandamano yakafanya wachague serikali ya mpito ya kiraia na PM wao mzuri sana yule. Baadae wakaipindua tena. Ugomvi wao umekuzwa kutokana na tofauti zao, General Burhan anataka kukabidhi madaraka kwa raia ndani ya miaka miwili wakati Hemedti hataki kabisa kusikia hilo.

Hemedti miaka ya hivi karibuni ana support ya Wagner ya Urusi hasa kwenye kuchimba dhahabu, ana utajiri mkubwa kutokana na kuuza madini ya wizi Dubai yale yaliyomfanya aue watu Darfur. Saudi Arabia na UAE zinamuunga mkono.

Upande wa serikali ya Burhan unapewa support hasa na Misri (kwa sababu Sudan na Misri zinapinga GERD ya Ethiopia), nchi zote zisizo na maslahi binafsi zinamuunga mkono Burhan. Ni mwendawazimu pekee na asiyejua historia ya Sudan atamuunga mkono Hemedti.
Kuanzia Februari mwaka huu Sudan imekubali ujenzi wa naval base ya Urusi kwake, nahisi ni kutaka kuishawishi Urusi iondoe ushirikiano na Hemedti. Marekani imepinga ujenzi huo.

Kwahiyo iko hivi. Marekani hakuwa na maslahi na Sudan mpaka pale Urusi ilipotaka kujenga naval base, mpaka sasa sijui Marekani yuko upande upi ila inawezekana kwa kuwa Saudi Arabia na UAE zipo kwa Hemedti hata Marekani atakuwa uko (ukitaka Waarabu wagombane wewe wachonganishe, huwa wanachukiana kuliko wanavyoichukia Israel). Qatar nayo ina kiherehere kwenye vita za Kiislamu ila hapa siioni, wao bado wako busy na Al Shabaab.

Urusi serikali iko na maslahi na Burhan ila Wagner PMC yake iko na maslahi na Hemedti waibe madini. Kwahiyo Urusi inakula kotekote itakachotazama ni wapi kuna maslahi zaidi ila nadhani itaenda na Burhan.

Hemedti akishinda sahau kuhusu uchaguzi wala serikali ya kiraia, sanctions zaidi, ushirikiano mbovu kimataifa na umaskini maradufu. Burhan ni bora mara elfu na wala hana mpango na utawala. Kwanza kinachomfanya aendelee kuwa mtawala ni Hemedti ambaye hakubaliani na transition.

Kidogo nisahau jambo moja. Hemedti anashirikiana na vigogo wa zamani wa al Bashir ili kuhakikisha nchi haikaliki kiraia kusudi wasifunguliwe mashtaka, kutaifishwa mali zao na waendelee kuchaguliwa kwenye teuzi. Utawala mfupi wa PM aliyepinduliwa uliwaona kama takataka ukatafuta watu wapya. al Bashir mwenyewe yuko jela wanaogopa wasimfuate uko, Hemedti ana mashtaka pia hivyo anajitafutia kinga ya kushtakiwa.
 
Upo sahii mkuu hao unaowaita waarabu koko ni machotara wa kihabeshi na kinubi na kiarabu na ndio raia wa daraja la kwanza Sudan.Unakumbuka kile kisa cha yule mchezaji mbantu wa timu ya taifa ya sudan,alipoamua kumuoa mwanamke mwarabu nini kilimkuta???
Siku zote hawako tayari dada/mabinti zao kuolewa na weusi. Jinsi dhambi ya ubaguzi ilivyo mbaya, utaona hata wao wenyewe "waarabu koko" hubaguliwa na "waarabu halisi" wa kule Oman na nchi nyingine jirani na huwaona kuwa watumwa tu. Ngoja nijaribu kukitafuta hiko kisa.
 

Attachments

  • 11855807_screenshot202007031749282_jpegcf5fb006fe7a099db78422a2b2d06607.jpeg
    11855807_screenshot202007031749282_jpegcf5fb006fe7a099db78422a2b2d06607.jpeg
    42.3 KB · Views: 6
Ukiwauliza raia wa Sudan wanampenda Burhan kuliko Hemedti. Burhan pamoja na kwamba alifanya mapinduzi ya kijeshi kumuondoa madarakani PM aliyekuwa anakubalika miaka miwili baada ya Bashir kuondolewa kwa mapinduzi, bado Burhan ana unafuu maradufu.

Kiufupi ni kwamba, Hemedti aliongoza Janjaweed na alikuzwa na al Bashir kama buffer kuzuia jeshi lisimpindue baada ya kuchokwa na raia. Hemedti alitokea kwenye kuuza ngamia, baada ya kuwa close confidant wa al Bashir akaanza kufanya smuggling ya dhahabu kule Darfur na ndio akawa anafanya mauaji ambayo al Bashir anatuhumiwa nayo hadi sasa.

Mwaka 2019 kutokana na sanctions uchumi wa Sudan ukawa mbovu na ikumbukwe miaka ya nyuma hapo ndio South Sudan imetoka kujitenga baada ya gharama za vita kuwa kubwa kwa Sudan. Jeshi na RSF (Janjaweed mpya) ya Hemedti wakakubaliana wampindue al Bashir kuokoa muelekeo wa nchi baada ya maandamano ya mauaji ya watu miezi kama minne (yalianza pale bei ya mkate nayo ilipopanda).
al Burhan mkuu wa majeshi akawa mwenyekiti wa serikali ya mpito na Hemedti akawa msaidizi.

Baadae pressure ya kimataifa na maandamano yakafanya wachague serikali ya mpito ya kiraia na PM wao mzuri sana yule. Baadae wakaipindua tena. Ugomvi wao umekuzwa kutokana na tofauti zao, General Burhan anataka kukabidhi madaraka kwa raia ndani ya miaka miwili wakati Hemedti hataki kabisa kusikia hilo.

Hemedti miaka ya hivi karibuni ana support ya Wagner ya Urusi hasa kwenye kuchimba dhahabu, ana utajiri mkubwa kutokana na kuuza madini ya wizi Dubai yale yaliyomfanya aue watu Darfur. Saudi Arabia na UAE zinamuunga mkono.

Upande wa serikali ya Burhan unapewa support hasa na Misri (kwa sababu Sudan na Misri zinapinga GERD ya Ethiopia), nchi zote zisizo na maslahi binafsi zinamuunga mkono Burhan. Ni mwendawazimu pekee na asiyejua historia ya Sudan atamuunga mkono Hemedti.
Kuanzia Februari mwaka huu Sudan imekubali ujenzi wa naval base ya Urusi kwake, nahisi ni kutaka kuishawishi Urusi iondoe ushirikiano na Hemedti. Marekani imepinga ujenzi huo.

Kwahiyo iko hivi. Marekani hakuwa na maslahi na Sudan mpaka pale Urusi ilipotaka kujenga naval base, mpaka sasa sijui Marekani yuko upande upi ila inawezekana kwa kuwa Saudi Arabia na UAE zipo kwa Hemedti hata Marekani atakuwa uko (ukitaka Waarabu wagombane wewe wachonganishe, huwa wanachukiana kuliko wanavyoichukia Israel). Qatar nayo ina kiherehere kwenye vita za Kiislamu ila hapa siioni, wao bado wako busy na Al Shabaab.

Urusi serikali iko na maslahi na Burhan ila Wagner PMC yake iko na maslahi na Hemedti waibe madini. Kwahiyo Urusi inakula kotekote itakachotazama ni wapi kuna maslahi zaidi ila nadhani itaenda na Burhan.

Hemedti akishinda sahau kuhusu uchaguzi wala serikali ya kiraia, sanctions zaidi, ushirikiano mbovu kimataifa na umaskini maradufu. Burhan ni bora mara elfu na wala hana mpango na utawala. Kwanza kinachomfanya aendelee kuwa mtawala ni Hemedti ambaye hakubaliani na transition.

Kidogo nisahau jambo moja. Hemedti anashirikiana na vigogo wa zamani wa al Bashir ili kuhakikisha nchi haikaliki kiraia kusudi wasifunguliwe mashtaka, kutaifishwa mali zao na waendelee kuchaguliwa kwenye teuzi. Utawala mfupi wa PM aliyepinduliwa uliwaona kama takataka ukatafuta watu wapya. al Bashir mwenyewe yuko jela wanaogopa wasimfuate uko, Hemedti ana mashtaka pia hivyo anajitafutia kinga ya kushtakiwa.
Aisee umechambua vyema sana huu mgogoro. Safi sana. Asiyeelewa hapa, hatakaa aelewe tena.
 
Siku zote hawako tayari dada/mabinti zao kuolewa na weusi. Jinsi dhambi ya ubaguzi ilivyo mbaya, utaona hata wao wenyewe "waarabu koko" hubaguliwa na "waarabu halisi" wa kule Oman na nchi nyingine jirani na huwaona kuwa watumwa tu. Ngoja nijaribu kukitafuta hiko kisa.
Mambo ya wivu yapo kila sehemu na siku zote hayafanikiwi kuzuia ndoa.Ukienda Amerika na London wako wabaguzi kuliko Sudan lakini hawajafanikiwa kuzuia dada zao kuolewa na watu weusi.
Hili la waarabu huwa linatumiwa zaidi kuliko ubaguzi wa rangi.Watu wanaingiza chuki za kidini. Katika hisroria ya Tanzania hakuna watu ambao wamechanganyika na makabila ya Tanzania kuliko waarabu. Waarabu wa kutoka Oman walianza kuja wanaume na wakaingia miji yote mpaka Kongo.Walipofanikiwa kwa kuanzisha kilimo cha miti ya matunda kama miembe na kilimo kingine kilichokuwa hakujulikani na wenyeji. Wengi waliacha wake zao huko Oman.Hawakusubiri wake zao waje walianza na kuoa wenyeji halafu ndipo baadhi yao waliporudi na wake zao wa awali na kubeba familia nzima mara nyengine.
Hivi ndivyo dini ya Uislamu ilivyoenea zaidi Zanzibar na Tanzania yote na wala hawakuja kubeba watumwa,Sasa hilo wakristo wakapata habari na ndipo karne iliyopita akina Livingstone wakaja wakiwa wamechelewa na uzushi na uongo wao kuhusu waarabu
 
Mambo ya wivu yapo kila sehemu na siku zote hayafanikiwi kuzuia ndoa.Ukienda Amerika na London wako wabaguzi kuliko Sudan lakini hawajafanikiwa kuzuia dada zao kuolewa na watu weusi.
Hili la waarabu huwa linatumiwa zaidi kuliko ubaguzi wa rangi.Watu wanaingiza chuki za kidini. Katika hisroria ya Tanzania hakuna watu ambao wamechanganyika na makabila ya Tanzania kuliko waarabu. Waarabu wa kutoka Oman walianza kuja wanaume na wakaingia miji yote mpaka Kongo.Walipofanikiwa kwa kuanzisha kilimo cha miti ya matunda kama miembe na kilimo kingine kilichokuwa hakujulikani na wenyeji. Wengi waliacha wake zao huko Oman.Hawakusubiri wake zao waje walianza na kuoa wenyeji halafu ndipo baadhi yao waliporudi na wake zao wa awali na kubeba familia nzima mara nyengine.
Hivi ndivyo dini ya Uislamu ilivyoenea zaidi Zanzibar na Tanzania yote na wala hawakuja kubeba watumwa,Sasa hilo wakristo wakapata habari na ndipo karne iliyopita akina Livingstone wakaja wakiwa wamechelewa na uzushi na uongo wao kuhusu waarabu
Waarabu hawakubeba watumwa!? Hii ndio naisikia leo tena kwako Mkuu.
 
Hata Tanzania napo kulikuwa na maeneo yapo nyuma sana kuliko Dar es salaam,sasa hivi yamebadilika sana.Barabara nzuri na maji yanatiriika majumbani.Ilihitaji muda na mipango iliyopangwa kutekelezwa hapo baadae. Maeneo kam hayo ndiyo Marekani na Ulaya waliyoyachochea kwa kutumia rangi na dini kwamba wao walikuwa hivyo kutokana na rangi zao na dini tofauti.Walipitisha maazimio ya kinafiki umoja wa mataifa na kutuma vikundi vya NGO za uchochezi mpaka ikawa ni uhasama kati ya wananchi hao.
Wangekuwa ni watu wazuri wangepeleka misaada kwa serikali ili ibadili hali kwa kile walichoona ni upungufu huko Sudan Kusini.Badala yake walifanya vitendo vya kichochezi vya wazi wazi.
Hizi hoja ni za kuunga unga na wala hazina uhalisia. Tukubali tu kuwa Sudan iliamua kutumia eneo la Sudan kwa ajili ya kuchota mafuta bila kuliendeleza kwa makusudi. Al Bashir aliunda hilo kundi la Janjaweed kwa kusupress blacks.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ukiwauliza raia wa Sudan wanampenda Burhan kuliko Hemedti. Burhan pamoja na kwamba alifanya mapinduzi ya kijeshi kumuondoa madarakani PM aliyekuwa anakubalika miaka miwili baada ya Bashir kuondolewa kwa mapinduzi, bado Burhan ana unafuu maradufu.

Kiufupi ni kwamba, Hemedti aliongoza Janjaweed na alikuzwa na al Bashir kama buffer kuzuia jeshi lisimpindue baada ya kuchokwa na raia. Hemedti alitokea kwenye kuuza ngamia, baada ya kuwa close confidant wa al Bashir akaanza kufanya smuggling ya dhahabu kule Darfur na ndio akawa anafanya mauaji ambayo al Bashir anatuhumiwa nayo hadi sasa.

Mwaka 2019 kutokana na sanctions uchumi wa Sudan ukawa mbovu na ikumbukwe miaka ya nyuma hapo ndio South Sudan imetoka kujitenga baada ya gharama za vita kuwa kubwa kwa Sudan. Jeshi na RSF (Janjaweed mpya) ya Hemedti wakakubaliana wampindue al Bashir kuokoa muelekeo wa nchi baada ya maandamano ya mauaji ya watu miezi kama minne (yalianza pale bei ya mkate nayo ilipopanda).
al Burhan mkuu wa majeshi akawa mwenyekiti wa serikali ya mpito na Hemedti akawa msaidizi.

Baadae pressure ya kimataifa na maandamano yakafanya wachague serikali ya mpito ya kiraia na PM wao mzuri sana yule. Baadae wakaipindua tena. Ugomvi wao umekuzwa kutokana na tofauti zao, General Burhan anataka kukabidhi madaraka kwa raia ndani ya miaka miwili wakati Hemedti hataki kabisa kusikia hilo.

Hemedti miaka ya hivi karibuni ana support ya Wagner ya Urusi hasa kwenye kuchimba dhahabu, ana utajiri mkubwa kutokana na kuuza madini ya wizi Dubai yale yaliyomfanya aue watu Darfur. Saudi Arabia na UAE zinamuunga mkono.

Upande wa serikali ya Burhan unapewa support hasa na Misri (kwa sababu Sudan na Misri zinapinga GERD ya Ethiopia), nchi zote zisizo na maslahi binafsi zinamuunga mkono Burhan. Ni mwendawazimu pekee na asiyejua historia ya Sudan atamuunga mkono Hemedti.
Kuanzia Februari mwaka huu Sudan imekubali ujenzi wa naval base ya Urusi kwake, nahisi ni kutaka kuishawishi Urusi iondoe ushirikiano na Hemedti. Marekani imepinga ujenzi huo.

Kwahiyo iko hivi. Marekani hakuwa na maslahi na Sudan mpaka pale Urusi ilipotaka kujenga naval base, mpaka sasa sijui Marekani yuko upande upi ila inawezekana kwa kuwa Saudi Arabia na UAE zipo kwa Hemedti hata Marekani atakuwa uko (ukitaka Waarabu wagombane wewe wachonganishe, huwa wanachukiana kuliko wanavyoichukia Israel). Qatar nayo ina kiherehere kwenye vita za Kiislamu ila hapa siioni, wao bado wako busy na Al Shabaab.

Urusi serikali iko na maslahi na Burhan ila Wagner PMC yake iko na maslahi na Hemedti waibe madini. Kwahiyo Urusi inakula kotekote itakachotazama ni wapi kuna maslahi zaidi ila nadhani itaenda na Burhan.

Hemedti akishinda sahau kuhusu uchaguzi wala serikali ya kiraia, sanctions zaidi, ushirikiano mbovu kimataifa na umaskini maradufu. Burhan ni bora mara elfu na wala hana mpango na utawala. Kwanza kinachomfanya aendelee kuwa mtawala ni Hemedti ambaye hakubaliani na transition.

Kidogo nisahau jambo moja. Hemedti anashirikiana na vigogo wa zamani wa al Bashir ili kuhakikisha nchi haikaliki kiraia kusudi wasifunguliwe mashtaka, kutaifishwa mali zao na waendelee kuchaguliwa kwenye teuzi. Utawala mfupi wa PM aliyepinduliwa uliwaona kama takataka ukatafuta watu wapya. al Bashir mwenyewe yuko jela wanaogopa wasimfuate uko, Hemedti ana mashtaka pia hivyo anajitafutia kinga ya kushtakiwa.
Umechambua vzur sn Bila mihemko[emoji4][emoji106]
 
Mambo ya wivu yapo kila sehemu na siku zote hayafanikiwi kuzuia ndoa.Ukienda Amerika na London wako wabaguzi kuliko Sudan lakini hawajafanikiwa kuzuia dada zao kuolewa na watu weusi.
Hili la waarabu huwa linatumiwa zaidi kuliko ubaguzi wa rangi.Watu wanaingiza chuki za kidini. Katika hisroria ya Tanzania hakuna watu ambao wamechanganyika na makabila ya Tanzania kuliko waarabu. Waarabu wa kutoka Oman walianza kuja wanaume na wakaingia miji yote mpaka Kongo.Walipofanikiwa kwa kuanzisha kilimo cha miti ya matunda kama miembe na kilimo kingine kilichokuwa hakujulikani na wenyeji. Wengi waliacha wake zao huko Oman.Hawakusubiri wake zao waje walianza na kuoa wenyeji halafu ndipo baadhi yao waliporudi na wake zao wa awali na kubeba familia nzima mara nyengine.
Hivi ndivyo dini ya Uislamu ilivyoenea zaidi Zanzibar na Tanzania yote na wala hawakuja kubeba watumwa,Sasa hilo wakristo wakapata habari na ndipo karne iliyopita akina Livingstone wakaja wakiwa wamechelewa na uzushi na uongo wao kuhusu waarabu
waafrika tutaendelea kuonekana nyau sabab sisi wenyew tunawasafisha maadui zetu , dini inatutia ujinga wa hali ya juu , kwamba waarabu walikuja na hawakubeba watumwa duhhh , Tusubir wajukuu labda watajielewa kdg
 
waafrika tutaendelea kuonekana nyau sabab sisi wenyew tunawasafisha maadui zetu , dini inatutia ujinga wa hali ya juu , kwamba waarabu walikuja na hawakubeba watumwa duhhh , Tusubir wajukuu labda watajielewa kdg
Mada za historia ya Utumwa zipo nyingi humu humu JF na inajulikana biashara ya Utumwa ni ya wazungu na ilifanywa kwa jina la Ukristo.Meli iliyobeba watumwa bahari ya Atlantic na kuleta faida sana ilipewa jina la Jesus. Biashara ya utumwa ilifanyika hasa Afrika Magharibi.Huku Afrika Mahsariki ilifanywa na wazungu pia na ndio baadae walipopata mashine wakajidai kuikomesha lakini wakajenga kanisha sehemu walipokuwa wakinunua watu pale mkunazini Zanzibar.
Nyinyi mnaomaliza darasa la saba hamuwezi kujua historia halisi ya nchi yetu.
 
Mmarekani hajawahi kuleta amani mahali popote duniani. Kuanzia Vietnam Hadi Iraq Hadi Somalia mpaka Liberia.
 
Usisahau madalali wa hiyo biashara walikuwa Waarabu kwa sababu ndio waliotangulia kuingia kufanya biashara ya meno ya tembo bara kwenye vijiji vya Africa.

Katika biashara ya utumwa wao Waarabu ndio walikuwa madalali wa kukamata na kukusanya watumwa kutoka bara kuwaletea wazungu pwani katika meli zao.
Mada za historia ya Utumwa zipo nyingi humu humu JF na inajulikana biashara ya Utumwa ni ya wazungu na ilifanywa kwa jina la Ukristo.Meli iliyobeba watumwa bahari ya Atlantic na kuleta faida sana ilipewa jina la Jesus. Biashara ya utumwa ilifanyika hasa Afrika Magharibi.Huku Afrika Mahsariki ilifanywa na wazungu pia na ndio baadae walipopata mashine wakajidai kuikomesha lakini wakajenga kanisha sehemu walipokuwa wakinunua watu pale mkunazini Zanzibar.
Nyinyi mnaomaliza darasa la saba hamuwezi kujua historia halisi ya nchi yetu.
 
Back
Top Bottom