GentleGiant
JF-Expert Member
- Sep 22, 2021
- 585
- 546
Mali ni muhimu lakini ukicompare na Hekima,Hekima is far important.Haya tunayaishi ila the world has full of troubles! Ukiona umefikia point ambayo unaona pesa sio kitu jua you are at the point in life ambapo umesha give in ama you are filthy rich!
Nitakubali kuchukua hekima endapo tu hiyo hekima itaniwezesha kuipata hiyo pesa.Ingekuwa Mungu anawauliza vijana wa leo wachague kati ya Hekima na Fedha unadhani wangechagua kipi?
View attachment 2057925
Mfalme Sulemani akiongoza kikao cha Baraza la Wakeze. Taswira kwa hisani ya google.
Le Mutuz atakuwa na majibuMali ni muhimu lakini ukicompare na Hekima,Hekima is far important.
Just assume you are very rich and you have very stupid son,will you be happy coz unajua hata awe mpuuzi vpi mpunga upo au utapambana kidogo akili yake ikae sawa?
Siamini katika hilo mkuu kwasababu pesa inafilisika lakini hekima haifilisiki hivyo nguvu ya pesa ni ya kitambo tu ilhali nguvu ya hekima inadumu hadi dahari. (najifunza kuwa Sulemani wa leo)Kwahio tunakubaliana pesa ina nguvu kuliko hekima?
Mkuu,Ukipata hekima umepata pesa
You sound logical mkuu,Kinachofanya watu waone hela ni muhimu kuliko hekima ni assumpition ya kuwa hekima inatumika kutoa mawazo tu kwenye kikao cha familia.Kwa namna hii Nobody will go for Wisdom.
Lakini kazi ya hekima sio kutoa suluhisho la migogoro.Yes itatatua migogoro lakini ina far more use than that.
Hekima itakusaidia kuelewa watu na kuengage nao,it will help one be trusted,
Hekima itakusaidia kufanya maamuzi ya kuinvest kulingana na wakati,you need this to make money and keeping the money flowing.
You can have only wisdom and that wisdom can make you rich but You need Wisdom to Keep the money you have coming otherwise the money will perish and will be left with nothing.
Mnadhani Mwl. Nyerere alikuwa na maana gani alipoandika kwamba "Pesa Siyo Msingi wa Maendeleo?"Nitakubali kuchukua hekima endapo tu hiyo hekima itaniwezesha kuipata hiyo pesa.
Kwa nini walichana ?Mnadhani Mwl. Nyerere alikuwa na maana gani alipoandika kwamba "Pesa Siyo Msingi wa Maendeleo?"
Wachaga na Wahindi walionunua kitabu cha Mwl chenye falsafa hii walichana kurasa zenye mada hiyo na kubakisha zingine. Mmoja wa Mchaga aliyefanya hii ni Mwalimu wangu Tr. Tarimo aliyesoma ECA akaja kuwa Mhasibu na baadaye Mkaguzi Mwandamizi wa Ndani wa Hesabu.
Mnadhani Mwl. Nyerere alikuwa na maana gani alipoandika kwamba "Pesa Siyo Msingi wa Maendeleo?"
Name one person ambaye you think ana hekima ambaye ni poorMkuu,
Kuna school of thought kwamba siyo lazima ukiwa na hekima uwe na pesa pia. Eti ile ya Sulemani haiko automatic leo.
Yanaongozwa na viongozi wasio na hekima na ndo maana pamoja na mikopo ya Trilions of money mpaka leo mataifa yao bado ni masikini wa kutupwa.You sound logical mkuu,
Naongezea:
Mataifa masikini yanavyokopa Ulaya huwa yanatumia hekima au pesa kupata mikopo?
Hata Iddi Amin?Wenye pesa wote wanaonekana wana Hekima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nimeandika kichina au? Ndio maisha yalipofikia mtoto wa miaka 14 mwenye hela anaheshimika kuliko baba wamiaka 45 asiye na hela[emoji28]
Tuhakikishe tunapata hela tu! Dunia haina huruma.
Uta ziuza au[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naamini Ukiwa Na Hekima Hata Pesa Utazipata Pitia Hekima Hizo Maana Dunia Ina Watu Wapuuzi.
Kwa Hekima Utaweza Kuwa-Manupulate Hawa Wapuuzi Na Kupata Pesa.
Heri Ya Christmas Kwenu Nyote.
Aliishia wapi na mafwedha yake aliyoyapata kwa wizi?Hata Iddi Amin?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaaa...
Mkuu, kwahiyo kwa kuwa hekima haitakiwi leo, ndiyo maana Hakimu/Jaji anamfunga asiye na hatia anamuacha huru mwenye hatia kwasababu anataka ela wala siyo hekima?
Pia ndiyo maana taasisi zikiwemo za kisiasa na kiserikali zinataka wenye ela kuliko wenye hekima.
Naogopa kwa mwendo huu dunia itafika mahala ambapo inaajiri Hakimu, Jaji, Askari, Tabibu, Daktari mwenye ela kuliko mwenye hekima ya taaluma yake? Hiyo dunia isinikute ningalipo.
Elon musk humjui?? bill gate?? Jef Amazon huwajui [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu,
Mbona Nyerere, Nkrumah na Mandela wamestaafu hawana ela ila hekima, na bado wanavuma kuliko wenye ela? Hii inakuwaje?
Mwenye hekma ndo anavyo ivo vitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ingekuwa wenye pesa zao wana ^gari-la-aunt^ (guarantee) ya kuishi years on end, au angalau makaburi yao yana JF, FB & IG kwa ajili ya kuwasiliana na wahai wakiwa wamechimbiwa futi ^sea-tar^ chini ardhini, basi mimi hapa ningekuwa wa kwanza ^car-bee-sir^ kubatilisha mtazamo na kukuunga mkono wewe ^key-po-fu^ wa bara.
#KataaWahuni