Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Israeli iko annexed kuwepo mashariki ya kati kwa manufaa ya USA, lengo kuu la USA ni kuhakikisha anakabiliana kwa haraka na maramoja na vitisho vyote vya mashariki ya kati.
USA kama superpower lazima ahakikishe kila upande ambako kunauwezekano wa kuwa na maadui anakudhoofisha.
Mashariki ya kati kuna historia ya giants kama Ottoman, Persian nk, Islam na Muslim ambao wamedominate eneo hilo ni kitisho kingine tena kwa USA.
USA kama superpower lazima ahakikishe kila upande ambako kunauwezekano wa kuwa na maadui anakudhoofisha.
Mashariki ya kati kuna historia ya giants kama Ottoman, Persian nk, Islam na Muslim ambao wamedominate eneo hilo ni kitisho kingine tena kwa USA.