Nitajie watu watano tu waliyouliwa na Magufuli kama kweli alikuwa anauwa raia wake.Hakika umenena vema. Awamu
ya 5 ilizidiwa ustaarabu hata na maisha ya wanyama. Fisi
pamoja na tabia zake za ajabu,
lakini hatafuni watoto wake, ila
hapa tulikuwa na Rais anasikia
faraja kuondoa uhai wa wale
aliorakiwa kuwalinda.
Uingereza gesi imepanda. Ni kwa Sababu gesi ya Urusi.Nimekuuliza swali nilitegemea unipe majibu. Mfano Uingereza huko wananchi wanaandamana bei za vitu zimepanda sana nako ni Samia amepandisha?
Mleta mada kataja hadi suala la Magufuli kusifia wake za watu, hilo nalo kalitaja kama moja ya mambo ya kihuni kwenye awamu ya tano ila wewe nadhani hukuona.Mleta mada, naamini anataka
hoja halisia, mambo
yanayoenekana wazi. Kupigwa
risasi Tundu Lisu, utalinganisha
na kauli ya kila mmoja ale kwa
urefu wa kamba yake?
Kuwasweka ndani watu
aluowaita wahujumu uchumi
kumbe nia yake ni kuwapora
pesa zao ili apate utajiri yeye
binafsi, utalinganisha na
mfumko wa bei ambao ni
matokea ya mambo
mbalimbali ya ndani na nje ya
nchi?
Hatukawahi kuwa serikali ya
kihuni, kishetani, na yenye
ubaradhuli wa kiwango
kisichoelezeka, kama ile ya
marehemu Magufuli. Mambo
aliyokuwa akifanya ni mambo
ya kishetani kabisa: kuua watu,
kuteka, kuwabambikia watu
kesi za uhujumu uchumi,
kwapumbaza watu wenye akili
ndogo waobe kuwa nchi
inapaa ilihali ilikuwa
ikiporomoka kila kukicha.
Ubaya ni ubaya tu, na wote hautakiwi kufanyiwa mwanadamu, haijalishi uwe wa large scale au small scale.
Hii tabia yenu ya kuendelea kulinganisha ubaya wa serikali iliyopita na hii ya sasa unawadumaza wengi kiakili, hamuoni ubaya wa serikali iliyopo madarakani, na ndio maana mnajikuta mnageuka kuwa chawa bila kujitambua.
Lakini pia mnaidumaza serikali iliyopo madarakani, iendelee kujiona ni ya malaika wakati nayo imejaa mabaya yake, uvunjifu wa sheria wa wazi inayoukumbatia kwenu mnaona ni jambo la kawaida, na kwa ujinga wenu mnachangia kuiendeleza tabia hiyo.
Wakati wote dugu mojaLet bygones be bygones..
Wewe huelewi hapa sisemi Samia ni malaika, ni comparisonHuyu unayesema siyo muhuni ndiyo alikuwa Makamu, hata kutoa comparison ni kosa kubwa. She was enabler!
Kipindi kipi mkuu ambacho mbunge aliwahi kupigwa risasi maeneo ya Bunge?Jonny,
Matukio gani mapya ambayo hayakuwepo kabla ya Magufuli? Wewe hujaona hata kidogo hicho kiini macho cha CAG? CCM ni CCM, walikaa na kujua wampakazie vipi JPM. Wewe unaamini zile ndege hazikununuliwa? Lile bwawa la umeme ni baya kwa nchi? SGR ? Hujaona EPA, IPTL, Singasinga, Simba Trust etc etc etc huwa mnasahau mapema sana.
CAG aliandika ile Kwa maelekezo, uwe unachanganya na zako
Mkuu ulikuwa ukifuatilia ile kesi? Kama hukuwa unafuatilia ni kuwa watuhumiwa wote na mashahidi wote walikuwa wameshaandaliwa mwaka 2020 na ushahidi wao ukimu implicate Mbowe kama mtuhumiwa mkuuMbona unakuwa mzito kukubali tu moja kwa moja uhuni wa Samia hadi umuhusishe na Magufuli? Hili limeisha kuwa ni uhuni wa Samia.
Kauli ya Samia naikumbuka vizuri na sio ulichoandika hapoSamia anasema kabisa wajipimie wasivimbiwe, maelezo ya Samia yapo wazi kwamba sawa wanaiba inajulikana ila wasipitilize hadi kuathiri miradi na hadi mfano alitoa. Kwahiyo mkuu ni wewe ndio unajaribu kutaka kupindisha alichokikusudia Samia.
Na ndio maana hawezi kuja kutolea ufafanuzi hiyo kauli, ni uhuni ambao unataka kuukataa.
Uko sawa mkuu, uhuni waliofanyiwa vyeti feki, wanufaika wa wafanya kazi hewa, wauza ngada, wezi, mafisadi kina singasinga+Mleta mada, ana hoja kubwa kwa watu wenye akili.
Utawala wa kihuni wa awamu ya 5, utafanyiwa rejea kwa miaka mingi kama mfano mbaya wa utawala ambao nchi iliwahi kutumbukia.
Ulikuwa utawala wa kishetani, kwa kioimo chochote kile, kwa mtu aliye na akili timamu.
Mkuu tunazungumzia kukamatwa na kuwekwa ndani kwa Mbowe, ambalo ni tukio lililotokea awamu ya Samia.Mkuu ulikuwa ukifuatilia ile kesi?
Kama hukuwa unafuatilia ni kuwa watuhumiwa wote na
mashahidi wote walikuwa
wameshaandaliwa mwaka
2020 na ushahidi wao ukimu
implicate Mbowe kama
mtuhumiwa mkuu
Samia ana Makosa ila Magufuli
anayo pia
Akikutajia unijulishe mkuuNitajie watu watano tu waliyouliwa na Magufuli kama kweli alikuwa anauwa raia wake.
Kwamba hajasema wajipimie? Kipi ambacho nimeandika sicho alichosema?Kauli ya Samia naikumbuka vizuri na sio ulichoandika hapo
Hicho nilikuwa kizazi kinachomwogopa mungu sio hiki cha Leo kimejaa chuki uongo .Fuatilia maandiko ya dini.Kelele ziliuangusha ukuta wa Jericho.
Hata weye umejijumlisha humo kwa waongo na wenye chuki?Mimi usinihesabu.Hicho nilikuwa kizazi kinachomwogopa mungu sio hiki cha Leo kimejaa chuki uongo .
Wote ni wahuni kwani Samia alikuwa makamu wa rais, baada ya kushika madaraka kawarudisha mafisadi wote na sasa wanaitafuna nchi kwa raha zao huku wananchi tukipandishiwa bei ya kila kitu. CCM wote majiziWafuasi wa Magufuli wanaituhumu serikali ya sasa kuwa ina wahuni, wakiongozwa na yule mtu wao aliyepelekwa Malawi na hashtag yake ya #KataaWahuni
Sasa nataka tuende kwa fact na records, mimi nataka waniambie ni uhuni gani umefanyika serikali ya Samia kushinda uhuni wa Serikali ya Magufuli
Kwa kuanzia tu, Kipindi cha Magufuli ndio mbunge alipigwa risasi katika viwanja vya Bunge na watu waliompiga kung'oa CCTV Camera zilizorekodi tukio
Kipindi cha Magufuli ndio watu walitekwa kwa wingi zaidi kama akina Kinguye, Ben Saanane, azory Gwanda, Mdude Chadema, Roma Mkatoliki, Mo Dewji, Abdul Nondo n.k
Kipindi cha Magufuli ndio mkuu wa mkoa huku akirekodiwa na Camera alivamia kituo cha Tv kuamrisha habari yake isomwe na wala hakuchukuliwa hatua yoyote
Kipindi cha Magufuli ndio tulisikia mkuu wa mkoa akipiga watu marufuku kuja kwenye 'mkoa wake'
Kipindi cha Magufuli ndio mtu kama Sabaya alitamba sana, na kuna matukio kibao kama ya ubakaji, uporaji, kubambikizia kesi n.k
Achilia mbali uhuni wa kuengua asilimia 90 ya wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi Serikali za mitaa kwa kigezo kuwa hawajui kusoma wala kuandika
Achilia mbali kulazimisha na kuhonga wapinzani kujiuzulu ubunge na udiwani kisha kugombea tena jimbo hilo hilo ili Magufuli aonekane anapendwa
Ndio kipindi tumedanganywa miradi mikubwa tunajenga kwa fedha za ndani
Achilia mbali kauli za kihuni za Magufuli kama 'Baki na mavi yako nyumbani', 'Mnataka mpanuliwe wapi', na kusifia wake za watu hadharani
Huu ni uhuni mdogo sana kati ya uhuni mwingi aliokuwa akifanya Magufuli
Haya sasa niambieni matukio ya kihuni kwenye serikali ya Samia tulinganishe
Propaganda tu hizo mkuu.Awamu zote, kuna makosa Serikali hufanya lakini yale ya awamu ya 5 hayakuwa makosa bali ni ushetani. Shetani aliishi ikulu, akafanya kazi ya kuliangamiza Taifa, akawapata mashetani wadogo wa kusaidia kuangiza Taifa, wale wa kumwimbia sifa kwa nia ya kuwapumbaza waliokuwa na uelewa duni.
Mm sijawahi kuipenda ccm. Ila nampenda sasmkia huyu ni raisi mwema na muungwana. Hatutaki kuongozwa KIFASHIST. KWA KISINGIZIO CHA KUJENGEWA MADARAJA.Wafuasi wa Magufuli wanaituhumu serikali ya sasa kuwa ina wahuni, wakiongozwa na yule mtu wao aliyepelekwa Malawi na hashtag yake ya #KataaWahuni
Sasa nataka tuende kwa fact na records, mimi nataka waniambie ni uhuni gani umefanyika serikali ya Samia kushinda uhuni wa Serikali ya Magufuli
Kwa kuanzia tu, Kipindi cha Magufuli ndio mbunge alipigwa risasi katika viwanja vya Bunge na watu waliompiga kung'oa CCTV Camera zilizorekodi tukio
Kipindi cha Magufuli ndio watu walitekwa kwa wingi zaidi kama akina Kinguye, Ben Saanane, azory Gwanda, Mdude Chadema, Roma Mkatoliki, Mo Dewji, Abdul Nondo n.k
Kipindi cha Magufuli ndio mkuu wa mkoa huku akirekodiwa na Camera alivamia kituo cha Tv kuamrisha habari yake isomwe na wala hakuchukuliwa hatua yoyote
Kipindi cha Magufuli ndio tulisikia mkuu wa mkoa akipiga watu marufuku kuja kwenye 'mkoa wake'
Kipindi cha Magufuli ndio mtu kama Sabaya alitamba sana, na kuna matukio kibao kama ya ubakaji, uporaji, kubambikizia kesi n.k
Achilia mbali uhuni wa kuengua asilimia 90 ya wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi Serikali za mitaa kwa kigezo kuwa hawajui kusoma wala kuandika
Achilia mbali kulazimisha na kuhonga wapinzani kujiuzulu ubunge na udiwani kisha kugombea tena jimbo hilo hilo ili Magufuli aonekane anapendwa
Ndio kipindi tumedanganywa miradi mikubwa tunajenga kwa fedha za ndani
Achilia mbali kauli za kihuni za Magufuli kama 'Baki na mavi yako nyumbani', 'Mnataka mpanuliwe wapi', na kusifia wake za watu hadharani
Huu ni uhuni mdogo sana kati ya uhuni mwingi aliokuwa akifanya Magufuli
Haya sasa niambieni matukio ya kihuni kwenye serikali ya Samia tulinganishe