Kati ya uMagufuli na Samia ni upi umejaa wahuni zaidi? Tuorodheshe matukio ya kihuni

Hakika umenena vema. Awamu
ya 5 ilizidiwa ustaarabu hata na maisha ya wanyama. Fisi
pamoja na tabia zake za ajabu,
lakini hatafuni watoto wake, ila
hapa tulikuwa na Rais anasikia
faraja kuondoa uhai wa wale
aliorakiwa kuwalinda.
Nitajie watu watano tu waliyouliwa na Magufuli kama kweli alikuwa anauwa raia wake.
 
Nimekuuliza swali nilitegemea unipe majibu. Mfano Uingereza huko wananchi wanaandamana bei za vitu zimepanda sana nako ni Samia amepandisha?
Uingereza gesi imepanda. Ni kwa Sababu gesi ya Urusi.

Sisi tunanunua kila kitu Urusi?
 
Mleta mada kataja hadi suala la Magufuli kusifia wake za watu, hilo nalo kalitaja kama moja ya mambo ya kihuni kwenye awamu ya tano ila wewe nadhani hukuona.
Sasa mimi nataja uhuni wa Samia kuruhusu ufisadi wazi wazi kwa kuwaambia wajipimie wasiibe sana ila wewe unaona ni jambo dogo rais wa nchi kuongea hivyo.
 

Kabisa; uchawa ndiyo cancer ya hii nchi.
 
Ni dhahiri awamu ya 5 ilizidi kuwa wahuni na hawakupaswa kabisa kupewa madaraka ya juu kabisa ndani ya nchi hii.
 
Kipindi kipi mkuu ambacho mbunge aliwahi kupigwa risasi maeneo ya Bunge?
Ni kipindi kipi mkuu wa mkoa amewahi kuvamia kituo cha Tv na walinzi wa Ikulu akiamrisha habari zake zitangazwe?
Ni kipindi kipi wagombea wa upinzani walienguliwa kwa asilimia 90 kwa kuwa hawajui kusoma?

Anyway mimi sikumbuki labda vilikuwepo, lakini haswa mimi nalinganiha utawala wa Samia ambao unatajwa kujaa wahuni na utawala wa Magufuli, upi zaidi?
 
Mbona unakuwa mzito kukubali tu moja kwa moja uhuni wa Samia hadi umuhusishe na Magufuli? Hili limeisha kuwa ni uhuni wa Samia.
Mkuu ulikuwa ukifuatilia ile kesi? Kama hukuwa unafuatilia ni kuwa watuhumiwa wote na mashahidi wote walikuwa wameshaandaliwa mwaka 2020 na ushahidi wao ukimu implicate Mbowe kama mtuhumiwa mkuu

Samia ana Makosa ila Magufuli anayo pia
 
Kauli ya Samia naikumbuka vizuri na sio ulichoandika hapo
 
Uko sawa mkuu, uhuni waliofanyiwa vyeti feki, wanufaika wa wafanya kazi hewa, wauza ngada, wezi, mafisadi kina singasinga+

Ni vigumu kusahaulika kwa sababu hata wewe unakuhusu, utasahauje kwa mfano.?

Kwa hiyo watajwa hapo juu ndio unawaita wenye akili kubwa, siyo??

Ujinga mwingine muwe mnakataa kuzaliwa nao
 
Mkuu ulikuwa ukifuatilia ile kesi?
Kama hukuwa unafuatilia ni kuwa watuhumiwa wote na
mashahidi wote walikuwa
wameshaandaliwa mwaka
2020 na ushahidi wao ukimu
implicate Mbowe kama
mtuhumiwa mkuu
Samia ana Makosa ila Magufuli
anayo pia
Mkuu tunazungumzia kukamatwa na kuwekwa ndani kwa Mbowe, ambalo ni tukio lililotokea awamu ya Samia.
 
Wote ni wahuni kwani Samia alikuwa makamu wa rais, baada ya kushika madaraka kawarudisha mafisadi wote na sasa wanaitafuna nchi kwa raha zao huku wananchi tukipandishiwa bei ya kila kitu. CCM wote majizi
 
Propaganda tu hizo mkuu.

Kama wewe sio mhusika basi umedanganyika.

Magu alipambana kulinda nchi.

Wezi hawakumtaka ili kumuondoa ilipaswa watengeneze uongo na moja wapo ya uongo wenyewe ndio huo unaousema.

If you want to remove the Dog just give it a bad name.

Ndio walichofanya.
 
Mm sijawahi kuipenda ccm. Ila nampenda sasmkia huyu ni raisi mwema na muungwana. Hatutaki kuongozwa KIFASHIST. KWA KISINGIZIO CHA KUJENGEWA MADARAJA.
MAISHA YA BNADAMU CO MADARAJA
MUNGU FUNDI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…