Katiba mbovu, sheria mbovu, mikataba mibovu. Leo tumetozwa zaidi ya Tsh. Bilioni 260. Kufanywa kichwa cha Mwendawazimu hadi lini?

Yaliyopita ni Ndwele kama bado tunaendeleza upuuzi ule ule utakaotu-cost; na badala ya kulaumu waliovunja tulauma walioingia hio mikataba na wanaoendelea kuingia hio mikataba; wakati naambiwa nimlipe huyo jamaa kwanini sikuambiwa vipengele siku anapewa mkataba ?!!!

 
Shauri yenu,

Dr Ackson Tulia (Daktari Wa Sheria, Mbunge Wa Mbeya, Speaker Wa Bunge, Mgombea Uenyekiti Wa Mabunge Yote Duniani, Mwalimu Wangu Wa Sheria TLS) amewaomba Ma-Chief wawafanyie ulozi na kuwaroga wote mnaopinga mikataba mibovu na sheria mbovu. [emoji219][emoji219][emoji219]

#Huyu Maza Kaanza Kudata![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya yote yanayotekea ni matokea ya watu wanye mzaa na nchii hii, hu mzaa mzaa Kuna siku utatufikisha pabaya, tutakua na taifa lenye watu walipoteza matumaini na halitakua taifa Tena Bali mbuga ya wanyama.
Viongozi amkeni fanyeni mabadliko yatakayomfanya Kila mtanzania kuwajibika ipasavyo.
 
Viongozi wetu hewa sn aisee, yan mm nikibahatika kuiongoza hii nchi akyaMungu ndani ya mwez mmoja sitomaliza madarakani salama maana nitatekeza fangasi wte waliowahi kipindi change Nyuma na wte watakaoendelea kusababishia taifa letu hili hasara yn kila mwehu aliyewahi kutumia akili zke timamu kututia hasara lzm ataregret to the max... I swear to God and may God the creator give me such power to conquer the evil deeds [emoji298]
 
Tunaposema tatizo la nchi hii ni ccm muwe mnaelewa. kwamba kwa miaka 30 ya mikataba mibovu, serikali ya ccm haijapata uzoefu wa kunegotiate mikataba? si kweli

Kuna watu ndani ya ccm ndiyo wanawaelekeza hata hawa wawekezaji kufanya mikataba mibovu na baadaye watu haohao wanashawishi mikataba ivunjwe, kisha wanawashawishi wawekezaji waishtaki tz, faini zikitoka wanakula cha juu.
 
Iwe ni marufuku miaka miwili kabla ya Uchaguzi Mkuu Serikali kuingia Mikataba ya aina yeyote ile na wawekezaji wenye mapato zaidi ya Serikali yetu. Vilevile, Serikali isitishe kuikopea miradi yeyote ile yenye ubia na sekta binafsi, yaani isifanye kuwakingia(Insure) wawekezaji wowote wale wanaohusishwa na kuchangia Uchaguzi- miaka miwili ya mwisho kabla ya Uchaguzi.

Watakao kiuka wanyongwe hadharani
 
Leo wewe umewageuka wenzio?
 
Kuna wakati tutaoshuhudia nchi inauzwa na hatuna cha kwetu tena.
Aisee,mbona tulishaoonywa? Unafikiri Spika aliyestaafishwa Job Ndugai aliyasema yale hivi hivi tu? Mjue wakati vinapikwa viongozi kama spika wanakuwa na ndoondo za ki-aina, alisha ona huku kwa DPW
Nchi ishauzwa, manake ukiondoa Bandari tu huna lwako, yaani uachie asilimia 40%ya mapato yako chini ya Mkoloni....utapona kweli?
 
Hahahahaaa.... Na hakika kumbukumbu hazipotei.
 
Tanzania tutaendelea kufanywa shamba la bibi na kichwa cha Mwendawazimu na wanasheria wabovu na vilaza wa aina hii hadi lini?!.

Ungewataja majina anza na yule anaitwa Fenesi sijui Felesi
✍️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…