Waliotoa maoni ya serikali tatu ni asilimia 64 kwa mujibu wa Tume , so wewe hao wanyongwe unaosema ni hao wajumbe wa NEC au?
Sawa kabisa serikali mbili tu, anayetaka tatu ahame nchi. Cha msingi marekebisha katiba ya zanzibar na ya muungano kukidhi mapendekezo mengine chanya katika rasimu sio kubomoa badala ya jujenga. Kwanza Warioba kazi yake kashamaliza lakini anaendelea kuwafanyia kazi kina Jussa utadhani katumwa.Kikao cha siku 2 cha NEC ya Chama cha Mapinduzi(CCM) kimemalizika na kutoa taarifa kupitia katibu wa Itikadi na uenezi wa chama hicho,bwana Nape Nnauye kuwa wamekubaliana kuendelea na msimamo wa kuunga mkono serikali 2.
Pia,bwana Nape ameongeza kuwa watafanyia kazi changamoto za muungano zinazolalamikiwa.
Katika hatua nyingine,Nape amesema hawatishiwa na hatua ya vyama vingine kwenda kwa wananchi kwani hata wao(CCM) wanaweza kwenda kwa wananchi na kuwaeleza jambo hilo.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Hatua hii ni sawa na kutangaza mgogoro mapema!
Msimamamo wa CCM ndio msimamamo wa wanyonge na wazalendo!
Kama ni serikali mbili za Tanzania Bara yenye uhuru kamili na Tanzania Visiwani yenye uhuru kamili hapo sawa lakini kuwa na serikali ya muungano yenye nchi moja yenye uhuru kamili huku nchi nyingine haieleweki...hapo sikubaliani nao.
Jambo la msingi hapa ili kumaliza kero zote za muungano ni Kuwa na serikali moja ya Jamhuri ya Muungano wa watu wa Tanzania ambapo Zanzibar itafutwa na Tanganyika haitarudi tena huku tukiwa na rais mmoja tu.
yes zimetufikisha hapa kwenye huu umasikini chini ya jemadari KJNaona dalili za kupata katiba mpya sasa zimeeanza kuonekana mapema serikali mbili ndiyo mpango mzima ndiyo zimetufikisha hapa tulipo.
Siku za CCM zina hesabika.
Hata mimi naunga mkono serikali mbili, ya Tanganyika na ya Zanzibar.Moja ya Tanganyika na ya pili ni ile ya Zanzibar .....
Kikao cha siku 2 cha NEC ya Chama cha Mapinduzi(CCM) kimemalizika na kutoa taarifa kupitia katibu wa Itikadi na uenezi wa chama hicho,bwana Nape Nnauye kuwa wamekubaliana kuendelea na msimamo wa kuunga mkono serikali 2.
Pia,bwana Nape ameongeza kuwa watafanyia kazi changamoto za muungano zinazolalamikiwa.
Katika hatua nyingine,Nape amesema hawatishiwa na hatua ya vyama vingine kwenda kwa wananchi kwani hata wao(CCM) wanaweza kwenda kwa wananchi na kuwaeleza jambo hilo.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Hatua hii ni sawa na kutangaza mgogoro mapema!
Haaa haaa! Ni Muungano wa nchi za Tanganyika na nchi ya Z'barYaani umeishi miaka yote leo hujui muungano tunaoupenda wananchi?
Sawa kabisa serikali mbili tu, anayetaka tatu ahame nchi. Cha msingi marekebisha katiba ya zanzibar na ya muungano kukidhi mapendekezo mengine chanya katika rasimu sio kubomoa badala ya jujenga. Kwanza Warioba kazi yake kashamaliza lakini anaendelea kuwafanyia kazi kina Jussa utadhani katumwa.
Kuwatukana wenzio kirejareja sio jambo la kiungwana hata kidogo!!Msimamo wa ccm ndo msimamo wa Watanzania