Pre GE2025 Katibu Mkuu CCM, Balozi Dkt. Emmanueli Nchimbi amehitimisha ziara ya siku mbili mkoani Singida kwa kusambaratisha hoja zote za Lissu za kibaguzi

Pre GE2025 Katibu Mkuu CCM, Balozi Dkt. Emmanueli Nchimbi amehitimisha ziara ya siku mbili mkoani Singida kwa kusambaratisha hoja zote za Lissu za kibaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
We mpumbav mbona unapungua akili au RUBA wa kwenye Ng'olezi ya mpunga wamekunyoosha? wananchi wawe na hasira na Lissu kwa kwa lipi au wewe hapo ulipo una hasira dhidi ya LISSU kwa Lipi alilokukosea? Kwa taarifa yako hakuna anaependwa na wananchi wa tz kama Lissu na huwe linganisha na mtu yeyote ambae bado anapumua hapa tz na nikukumbushe ukimchukia sana Lissu ujue kabisa kaburi limekusogelea na jehanam kunakuhusu kama huta muulize kiongozi uchwara wa mashetwani.
Lissu angekuwa anapendwa na kuungwa mkono angekuwa kanunuliwa gari mpaka muda huu.

Embu fikiria kama watu laki moja tu wangechangia elfu moja moja maana yake mpaka sasa angekuwa amepata millioni mia moja.yaani

1000x100,000=100,000,000/=

Sasa cha ajabu hata watu elfu sita hawajafika katika wale waliomchangia. Sasa anapendwa na akina nani hao? Ukute hata wewe ni mnafiki tu mkubwa umegoma kumchangia.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Baada ya hapo jana katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi pamoja na secretarieti Kupokelewa Kifalme na kwa kishindo kikuu Mkoani Singida. Hii leo tena Amehitimisha ziara yake ya siku mbili mkoani hapo kwa kishindo kikubwa sana kilichotikisa Mikoa ya kanda ya kati nzima.

Ambapo ametoa hotuba nzito sana katika siku zake hizo mbili za ziara. Ambapo katika kuonekana kujibu mapigo ya Lissu . Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi amewataka wana Singida na watanzania wote kwa ujumla kukataa katakata kuvuruga umoja wetu ,kupandikizwa mbegu ya ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na aina yoyote ile ya ubaguzi.

Amesisitiza na kuwaasa watanzania kuhakikisha tunadumisha umoja wetu na Amani yetu , ambayo ndio imekuwa nguzo kuu ya maendeleo yetu kama Taifa. Amesema tukatae kabisa kubaguana sisi kwa sisi.

Hotuba hii imeonekana kugusa mioyo ya watu wengi sana, ambao wameonyesha masikitiko yao na kuendelea kulaani kauli za kibaguzi na chuki zilizotolewa na Lissu wiki chache zilizopita,kauli ambazo zimeendelea kulaaniwa na kupigwa vita kila kona ya Nchi yetu na hata kupelekea CHADEMA kwa sasa kuchukiwa na watu wengi sana kwa kuonekana kuwa ni chama kinacho chochea ubaguzi na chuki kwa wananchi baada ya kuwa kimeishiwa hoja za kuwashawishi watanzania kukiunga mkono.

Kwa sasa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi anakwenda kuitikisa kanda ya kaskazini kwa kupiga mikutano mizito kwenye mikoa ya Manyara, Arusha, Kilimanjaro na kumalizia kwa kishindo Mkoa wa Tanga.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Bila picha hainogi tafta na picha weka
 
Ndugu zangu Watanzania,

Baada ya hapo jana katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi pamoja na secretarieti Kupokelewa Kifalme na kwa kishindo kikuu Mkoani Singida. Hii leo tena Amehitimisha ziara yake ya siku mbili mkoani hapo kwa kishindo kikubwa sana kilichotikisa Mikoa ya kanda ya kati nzima.

Ambapo ametoa hotuba nzito sana katika siku zake hizo mbili za ziara. Ambapo katika kuonekana kujibu mapigo ya Lissu . Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi amewataka wana Singida na watanzania wote kwa ujumla kukataa katakata kuvuruga umoja wetu ,kupandikizwa mbegu ya ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na aina yoyote ile ya ubaguzi.

Amesisitiza na kuwaasa watanzania kuhakikisha tunadumisha umoja wetu na Amani yetu , ambayo ndio imekuwa nguzo kuu ya maendeleo yetu kama Taifa. Amesema tukatae kabisa kubaguana sisi kwa sisi.

Hotuba hii imeonekana kugusa mioyo ya watu wengi sana, ambao wameonyesha masikitiko yao na kuendelea kulaani kauli za kibaguzi na chuki zilizotolewa na Lissu wiki chache zilizopita,kauli ambazo zimeendelea kulaaniwa na kupigwa vita kila kona ya Nchi yetu na hata kupelekea CHADEMA kwa sasa kuchukiwa na watu wengi sana kwa kuonekana kuwa ni chama kinacho chochea ubaguzi na chuki kwa wananchi baada ya kuwa kimeishiwa hoja za kuwashawishi watanzania kukiunga mkono.

Kwa sasa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi anakwenda kuitikisa kanda ya kaskazini kwa kupiga mikutano mizito kwenye mikoa ya Manyara, Arusha, Kilimanjaro na kumalizia kwa kishindo Mkoa wa Tanga.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Bwana lucas pole sana, ila uchawa si kazi kwakweli, i feel chngamoto zako ni ngumu
 
Lissu hana hoja zenye mashiko zaidi ya kujaa ubaguzi na chuki Binafsi kwa Mheshimiwa Rais wetu. Hata hivyo watanzania wameamua kumpuuza kabisa Lissu . Ndio maana unaona hata michango yake yakutaka gari jipya la kifahari inasua dua sana .hata wenyewe wamegoma kuchangia.
Watanzania bado wanasubiri majibu ya hoja za Lissu! Michango ya gari kake inaendelea.
 
Lissu Hana Hoja Zaidi ya Kauli za kibaguzi na chuki zake zinazotokana na kukatalika na watanzania.
Mkuu wewe ndiye mwenye shida ama ya uwezo wa kufikiri au unafanya makusudi kwa sababu Tundu Lisu kastate facts in accordance to the two constitutions na Samia hajawahi kukanusha.

Mkuu wewe tu na kimbele mbele chako mbuzi, umejipachika msemaji wa Samia na CCM kinyume na utaratibu wa ajira ya CCM na kuleta porojo ushuzi usio na mashiko kikatiba!!!

Kama wewe kweli ni muumini wa hoja kujibiwa kwa hoja basi kwa kuzingatia katiba zote mbili jibu hoja hizi 5 za Tundu Lisu:

1. Je, rais Samia kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar sio Mzanzibari??

2. Sema kweli kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar, Zanzibar sio nchi???

3. Sema kweli kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar, mtangayika anaruhusiwa kuajiriwa na serikali ya Zanzibar au kumiliki Aridhi Zanzibar!???

4. Sema kweli kwa mujibu wa katiba ya JMT nani anasimamia mambo ya Tanganyika ndani ya Muungano kama ilivyo kwa Zanzibar.

5. Sema ukweli kwa mujibu wa katiba ya JMT kina nani ndio wawakilishi wa Tanganyika kwenye bunge la Tanzania kama ilivyo kwa Zanzibar ???

Na kama kwa kusema hayo Tundu Lisu anachochea ubaguzi kwa nini JMT isimfungulie mashtaka na sio kupanda majukwaani kupangua hoja zake.

Lucas ukijibu hoja hizo alizo hoji Mheshimiwa Tundu Lisu kwa usahihi, tutaamini kweli Lisu anasambaza ubaguzi na chuki, tutakabiliana naye wenyewe bampa to bampa.

Kama hutaweza, maneno yako yatabaki kuwa porojo ushuzi tu! Muda ukifika utatulia kama Musiba!
 
Kwa hiyo wewe inaangalia komment ndio unahitimisha hoja yako? Ndio nani alikufundisha hivyo mawazo dhaifu kiasi hicho? Kwa hiyo kwako wewe na tuakili twako huto huto unaaamini kuwa jambo likiungwa nawatu wengi ndio linakuwa la kweli mna likipingwa na wengi hata kama ni la ukweli linabadilika kuwa la uongo?umewahi kusoma habari za Galileo?
Usimlinganishe Galileo na hizi pumba zako unazojaza humu. Galileo alikuwa mtafiti tofauti na wewe unayesifia viongozi ili utupiwe makombo.
 
Yeye kaenda na kaondoka, Lisu ni kwao, hivi yuko njiani kuelekea Singida na gari lililoshambuliwa kwa risasi. Mwambie Katibu wako arudi wafanye mdahalo.
Nchimbi ni mtupu hana uwezo wa kuchegama na Lissu kujenga hoja.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Baada ya hapo jana katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi pamoja na secretarieti Kupokelewa Kifalme na kwa kishindo kikuu Mkoani Singida. Hii leo tena Amehitimisha ziara yake ya siku mbili mkoani hapo kwa kishindo kikubwa sana kilichotikisa Mikoa ya kanda ya kati nzima.

Ambapo ametoa hotuba nzito sana katika siku zake hizo mbili za ziara. Ambapo katika kuonekana kujibu mapigo ya Lissu . Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi amewataka wana Singida na watanzania wote kwa ujumla kukataa katakata kuvuruga umoja wetu ,kupandikizwa mbegu ya ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na aina yoyote ile ya ubaguzi.

Amesisitiza na kuwaasa watanzania kuhakikisha tunadumisha umoja wetu na Amani yetu , ambayo ndio imekuwa nguzo kuu ya maendeleo yetu kama Taifa. Amesema tukatae kabisa kubaguana sisi kwa sisi.

Hotuba hii imeonekana kugusa mioyo ya watu wengi sana, ambao wameonyesha masikitiko yao na kuendelea kulaani kauli za kibaguzi na chuki zilizotolewa na Lissu wiki chache zilizopita,kauli ambazo zimeendelea kulaaniwa na kupigwa vita kila kona ya Nchi yetu na hata kupelekea CHADEMA kwa sasa kuchukiwa na watu wengi sana kwa kuonekana kuwa ni chama kinacho chochea ubaguzi na chuki kwa wananchi baada ya kuwa kimeishiwa hoja za kuwashawishi watanzania kukiunga mkono.

Kwa sasa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi anakwenda kuitikisa kanda ya kaskazini kwa kupiga mikutano mizito kwenye mikoa ya Manyara, Arusha, Kilimanjaro na kumalizia kwa kishindo Mkoa wa Tanga.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sasa ndio utuambie amesambaratisha kwa hoja gani?sio porojo tu.

Katika machawa watakao chelewa uteuzi ni wewe.

Una ngonjera nyingi sana zisizo nanfacts wala ushahidi.

Jifunze kwa hiki kitoto ChoiceVariable japo chenyewe kina screeshort tu hata takataka.
 
Mkuu wewe ndiye mwenye shida ama ya uwezo wa kufikiri au unafanya makusudi kwa sababu Tundu Lisu kastate facts in accordance to the two constitutions na Samia hajawahi kukanusha.

Mkuu wewe tu na kimbele mbele chako mbuzi, umejipachika msemaji wa Samia na CCM kinyume na utaratibu wa ajira ya CCM na kuleta porojo ushuzi usio na mashiko kikatiba!!!

Kama wewe kweli ni muumini wa hoja kujibiwa kwa hoja basi kwa kuzingatia katiba zote mbili jibu hoja hizi 5 za Tundu Lisu:

1. Je, rais Samia kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar sio Mzanzibari??

2. Sema kweli kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar, Zanzibar sio nchi???

3. Sema kweli kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar, mtangayika anaruhusiwa kuajiriwa na serikali ya Zanzibar au kumiliki Aridhi Zanzibar!???

4. Sema kweli kwa mujibu wa katiba ya JMT nani anasimamia mambo ya Tanganyika ndani ya Muungano kama ilivyo kwa Zanzibar.

5. Sema ukweli kwa mujibu wa katiba ya JMT kina nani ndio wawakilishi wa Tanganyika kwenye bunge la Tanzania kama ilivyo kwa Zanzibar ???

Na kama kwa kusema hayo Tundu Lisu anachochea ubaguzi kwa nini JMT isimfungulie mashtaka na sio kupanda majukwaani kupangua hoja zake.

Lucas ukijibu hoja hizo alizo hoji Mheshimiwa Tundu Lisu kwa usahihi, tutaamini kweli Lisu anasambaza ubaguzi na chuki, tutakabiliana naye wenyewe bampa to bampa.

Kama hutaweza, maneno yako yatabaki kuwa porojo ushuzi tu! Muda ukifika utatulia kama Musiba!
Umempiga spana kaka harudi hapa nakuambia

Yaan katika machawa wasio na facts na watachelewa sana kuteuliwa ni huyu Luca ass.

Viongozi wake wanaona alivyo mwepesi na pumba nyingi
 
Hoja hazisambaratishwi kama kupuliza majivu ya mabua halafu yachafue mashati na blauzi za watu.Siyo hivyo!😂😂😂
Amesambaratisha hoja za ubaguzi wa kikabila na maeneo kinyume kabisa na maadili ya Nchi hii kama waasis walivyoturithisha.

Wananchi wamekataa ubaguzi wa omba omba Lisu maana mnaowaona wanachinjama chanzo ni Hawa vibaraka wa Ulaya,wakati mnachinjana wao watakimbilia Ubelgiji,Ulaya na Marekani Kwa bwana zao huku Wana wazoom kusema ona Hawa nyumbu 😆😆
 
Back
Top Bottom