Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CHADEMA kutangazwa mchana huu. Nani kumrithi John Mnyika?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ok sawa, lakini kwa godbless Lema ingekuwa vizuri zaidi. kungekuwa na combination hatari ya kikosi hatari sana Cha 'mauaji.'
Lema ni mtu wa mikikimikiki na si mtu wa kukaa ofisini,mwenyewe amesema hawezi,Amani atafaa sana,na naibu wake awe Gaston Garubimbi
 

Attachments

  • Screenshot_20250122-150457.png
    865.5 KB · Views: 1
Ni John Pambalu 😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…