Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda atambulishwa rasmi CCM, atinga kwa bodaboda

Sijawahi kuona mtu anaemtaja mungu mara nyingi kama shetani.
 
Laana
 
Katika mapokezi ya Katibu Mwenezi, Makonda amesema Tanzania haina chama cha upinzani bali ina watoa taarifa waliojikusanya katika jina la vyama.

Akisema ukimwomna Lissu anaongea si chama kinaongea ni mtu tu anatoa taarifa na wakati mwingine inawezekana taarifa anayoitoa inaweza kuwa imetoka kwenye chanzo ambacho si cha kweli au cha uhakika, lakini kwakuwa ni mtoa taarifa kazi ya chama cha mapinduzi ni kusikiliza taarifa zao, badala ya kushughulika na mtoa taarifa tunashughulika na aliyesababisha hizo taarifa kutoka.

Mfano akisimama kiongozi yoyote wa chama cha kutoa taarifa akatoa taarifa ya kwamba umeme umekatika, jukumu letu kama chama ni kushughulika na anayekata umeme kwa wananchi.
 
Hivi Makonda ana utimamu gani wa akili au kwa usmart upi mpaka ionekane anafaa sana?

Kweli CCM imechoka.
Tatizo nyota yako kaka, watanzania hawataki utimamu hawataki ujuaji wanataka vitu vya ujinga ujinga badili mtazamo wako
 

Punguza bangi za uzeeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…