TANZIA Katibu Tawala Arusha, Bw. Richard Kwitega afariki Dunia

TANZIA Katibu Tawala Arusha, Bw. Richard Kwitega afariki Dunia

V.I.P Driving Ethics zinataka speed limit 80 kwa gari ya Kiongozi kama RAS.

Sasa kwa hali ya gari hiyo ilivyopondeka inaonekana dereva alikuwa kati ya 120-180 speed.

Huwa ninakereka sana watu kuendesha gari bila mpangilio.

Sasa hasara yote hii ingeepukika au ingekuwa ndogo.

V8 ikipata ajali halafu mtu afe ujue mwendo ulikuwa mkali Sana.

Poleni wafiwa. Ila madereva wa Serikali punguzeni sifa na mihemko. Mnakera
 
Apumzike kwa Amani. Ila madereva wa serikali na hizo overtake zenu hapana. Sasa ukichanganya na overtake za mabasi inakuwa si hali. Hata kama mnaendesha magari ya serikali (au hata mabasi) jueni ajali haichagui uimara wa gari au status ya gari-nashangaa hata hamuofii maisha yenu wenyewe mnovyo overtake! Chonde chonde fuateni sheria kama sisi raia na muache mchezo wa kuwasha mataa yenu na kupita kwenye 50 kph na hizo 120+kph. Ajali inaweza kumpata mtu yeyote ila kuna anayejiweka katika nafasi hatarishi zaidi kupata ajali kwa kuvunja sheria za barabarani kwa ubabe tu. Sasa baba wa watu kapoteza maisha hivi hivi, inauma. Poleni familia ndugu jamaa na marafiki.
Huwa nashangaa kwa nini wasiwahi kabla ya muda wakafika mapema !! Kwa nini mimbio yote hiyo kuhatarisha maisha!? By the way IQ ya dereva inawezesha mwendo kasi na sio kila dereva na overtaking za hovyo anamudu mwendo mkali
 

1612373979866.png


We need speed cameras.
 
V.I.P Driving Ethics zinataka speed limit 80 kwa gari ya Kiongozi kama RAS.

Sasa kwa hali ya gari hiyo ilivyopondeka inaonekana dereva alikuwa kati ya 120-180 speed.

Huwa ninakereka sana watu kuendesha gari bila mpangilio.

Sasa hasara yote hii ingeepukika au ingekuwa ndogo.

V8 ikipata ajali halafu mtu afe ujue mwendo ulikuwa mkali Sana.

Poleni wafiwa. Ila madereva wa Serikali punguzeni sifa na mihemko. Mnakera

Watu hawajui haya magari kwamba ni hatari hata kama lina okm limetoka yadi muda huo huo!! Kuendesha gari kwa speed kubwa ni hatari sana!! Kama unatka kuwahi bora uchukue ndege halafu dereva aje mdogo mdogo na 80km/hr.
 
Salaam Wakuu,

Habari Mbaya ni kwamba Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw.Richard Kwitega amefariki Dunia kutokana na ajali.
View attachment 1693548

Richard Kwitega kafariki alasiri ya leo kwa ajali ya gari katika kituo cha afya cha Magugu. Alikuwa anaenda Dodoma Kikazi, alipofika maeneo ya Mdori Manyara gari lake iligongana na Basi la Makala uso kwa uso, basi lilikuwa linalotoka Babati.

Baada ya ajali akakimbizwa kituo cha afya cha Magugu ili baadaye apelekwe Babati kwa matibabu zaidi.

Ilipofika saa tisa na dakika 50 akafariki Dunia. Mipango inafanyika ya kuurudisha mwili Arusha.

Apumzike kwa amani

View attachment 1693569
View attachment 1693583View attachment 1693584View attachment 1693585
Salaam Wakuu,

Habari Mbaya ni kwamba Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw.Richard Kwitega amefariki Dunia kutokana na ajali.
View attachment 1693548

Richard Kwitega kafariki alasiri ya leo kwa ajali ya gari katika kituo cha afya cha Magugu. Alikuwa anaenda Dodoma Kikazi, alipofika maeneo ya Mdori Manyara gari lake iligongana na Basi la Makala uso kwa uso, basi lilikuwa linalotoka Babati.

Baada ya ajali akakimbizwa kituo cha afya cha Magugu ili baadaye apelekwe Babati kwa matibabu zaidi.

Ilipofika saa tisa na dakika 50 akafariki Dunia. Mipango inafanyika ya kuurudisha mwili Arusha.

Apumzike kwa amani

View attachment 1693569
View attachment 1693583View attachment 1693584View attachment 1693585
Apumzike kwa amani.
Dereva kwakwepa upande wake na kulengesha upande wa boss
 
Viongozi na watumishi wa serikali ni wahanga wakubwa wa vifo/ulemavu uletwao na ajali...

Sijui chanzo ni nini? Mwendokasi au juju
Hawa wanajifanyaga wana haraka sana na vikao vyao vya zima moto,ni mabigwa wakuchomekea na ku overtake sehemu zisizoruhusiwa, hiyo crush ni ya 170KPH na mara nyingi ukiwauliza utaambiwa sisi ndio wenye nchi
 
May almighty God strengthen the bereaved family let us love each other no one knows his days of departure from this sinfu world
 
Pole sana kwa familia.

Ila kwa speed ya hawa wapuuzi wasiofuata sheria za barabarani, STK, STL, nk itoshe tu kusema wamevuna walichopanda.
 
Back
Top Bottom