Katika dunia hii ya kidigitali kulilia mikutano ya hadhara ni ujuha wa kiwango cha ajabu

Katika dunia hii ya kidigitali kulilia mikutano ya hadhara ni ujuha wa kiwango cha ajabu

Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili. Lakini hapa Tanzania naona kama ni tofauti. Hili limuejidhihirisha kwa jinsi watu walivyokamia mikutano ya hadhara wakiwemo wanajinasabu kwenda kidigitali.Hii ni aibu na ishara mbaya.
wewe ndo hujielewi ...
 
Hivi huko vijijini ni watu wangapi wanasimu janja kama hiyo ya kwako?
Unahabari kwamba bado asilimia kubwa ya watu wa vijijini hasa akina mama na wazee hawajui kutumia smartphone.?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
INAWEZEKANA lakini utabaki ni ujuha tu
Neno 'ujuha' linavutia sana, pamoja na ukweli kwamba siyo neno la kistaarabu.
Wasiwasi wangu ni kwamba, inawezekana UJUHA mkubwa ukawa kutojua kwamba asilimia iliyofikiwa na utandawazi Tanzania ni ndogo sana ikilinganishwa na wasiofikiwa na huo utandawazi.
Kufikiria kuwa hali ya utandawazi uliopo katika Majiji na Miji mikubwa Tanzania, ndivyo ilivyo Nchi nzima utakuwa ujuha wa hali ya juu sana, au nikiazima maneno ya Rais William Samoe Rutto wa Jamhuri ya Kenya, utakuwa "Ufala wa kilogramu nyingi sana".
 
Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili. Lakini hapa Tanzania naona kama ni tofauti. Hili limuejidhihirisha kwa jinsi watu walivyokamia mikutano ya hadhara wakiwemo wanajinasabu kwenda kidigitali.Hii ni aibu na ishara mbaya.
Kwahiyo, wewe unadhani kila mtu anaishi kidigitali?
Kufikiri hivyo ni tatizo pia.
Kuna limitations za watu kuishi kidigitali, miongoni mwa hizo limitations ni:-
(1) Umasikini
- watanzania wengi ni masikini, na hivyo ni ngumu kununua vifaa husika.
(2) Gharama za Mbs
- Gharama za Mbs ni kubwa sana
(3) Interest
- Ni ngumu sana kufuatilia siasa kupitia mitandao. Lakini mtaani huduma hii itaambatana na sebene.
(4) Maeneo mengine hayana NETWORK.
- hivyo hayatafikika.
(5)Siyo rahisi kupata wanachama wapya wengi kupitia mtandao.
(6) Ni ngumu kuuliza maswali, pale kunapohitajika ufafanuzi.
(7) NK.
 
Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili. Lakini hapa Tanzania naona kama ni tofauti. Hili limuejidhihirisha kwa jinsi watu walivyokamia mikutano ya hadhara wakiwemo wanajinasabu kwenda kidigitali.Hii ni aibu na ishara mbaya.
Kwani wewe unaishi ulimwengu gani? Hujui Tanzania wenye tools digital wachache sana na wengi ni vitochi?

nenda kijijini ukaone

demokrasia ni Kwa wote
 
Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili. Lakini hapa Tanzania naona kama ni tofauti. Hili limuejidhihirisha kwa jinsi watu walivyokamia mikutano ya hadhara wakiwemo wanajinasabu kwenda kidigitali.Hii ni aibu na ishara mbaya.
Just imagine Tanzania ina idadi ya watu 61+m lakini JF ambayo angalau inafuatiliwa sana ina members 624k+. Kwa mfano huu mdogo tu jaribu kushughulisha ubongo.
Screenshot_20230107-152137_Chrome.jpg
 
Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili. Lakini hapa Tanzania naona kama ni tofauti. Hili limuejidhihirisha kwa jinsi watu walivyokamia mikutano ya hadhara wakiwemo wanajinasabu kwenda kidigitali.Hii ni aibu na ishara mbaya.
Kama ni hivyo kwanini huwa mnatumia malori kukusanya watu wajae kwenye mikutano yenu majizi ya kura?

Digital kwenye hizi bundle zinazopanda kila siku kuliko bei ya kilo ya unga? Anzeni wañaccm kufanya mikutano kwa njia za kidigitali tuone ufanisi wake.
 
Kama ni hivyo kwanini huwa mnatumia malori kukusanya watu wajae kwenye mikutano yenu majizi ya kura?

Digital kwenye hizi bundle zinazopanda kila siku kuliko bei ya kilo ya unga? Anzeni wañaccm kufanya mikutano kwa njia za kidigitali tuone ufanisi wake.
Mimi ninadhani uwezo wako wa kufikiri unautumia vibaya, unawaza badala kufikiri; na unachangia hata usichoelewa. Narudia yeyote anayelilia mikutano ya hadhara ni juha na sijataja chama chote
 
wewe ndo hujielewi ...
Shida hata mtoto ukiwa unamzuia sana jambo fulani ataling'ang'ania,. waachwe watabwabwaja wakichoka na kukosa la kusema wataacha wenyewe. Wananchi watawachoka maana watakuwa wanarudia yaleyale ya siku zote, katiba mpya na porojo zingine zilizozoeleka. Wangeachwagwa siku nyingi wangeshajichokea. Kwa wenzetu walioendelea nani amesikia madai km haya, hawa ni watu wasio na kazi. Uchaguzi ukiisha mikutano ya hadhara ya nini tena? Kwanini msisubiri uchaguzi mwingine?
 
anayelilia na anayepongeza tofautiyake nini? Kwa maoni yangu katika karne hii na teknolojia iliyo kulilia mikutano ya hadhara ni ujuha; na mkuu wala sijataja chama.
Tuanze na ibada kisha tufuatishe mikutano ya hadhara.
 
Tuanze na ibada kisha tufuatishe mikutano ya hadhara.
Watu wa ibada wamenza- shika sehemu inayouma nitakuombe unapona- kwa mtandao, wagonjwa wanatibiwa kwa mtandao halafu wanasiasa wanatka mikutano ya hadhara - ujuha tu
 
Mimi ninadhani uwezo wako wa kufikiri unautumia vibaya, unawaza badala kufikiri; na unachangia hata usichoelewa. Narudia yeyote anayelilia mikutano ya hadhara ni juha na sijataja chama chote

Wengi wenye mawazo yako ni wanaccm, na mostly huwa ni wazee.
 
Wengi wenye mawazo yako ni wanaccm, na mostly huwa ni wazee.
Utazeeka pia au kwa vile unakula bure hapo kwa dada yako unadhani utabaki hivyo. Mkuu kama ibada zinafanyika kwa mtandao, matibabu yabafabyika kwa mtandao, jana tumeona Kamati kuuya CHADEMA ikiongozwa na Gaidi inafanyika kwa njia ya mtandao- kulilila mikutano ya hadhara ni ujuha
 
Kwani wewe unaishi ulimwengu gani? Hujui Tanzania wenye tools digital wachache sana na wengi ni vitochi?

nenda kijijini ukaone

demokrasia ni Kwa wote
Wakati wa mwaka mpya wana ccm wote wamepata salamu za kheri ya mwaka mpya kutoka kwa mwenyekiti wao- wamepta wote hata wenye vitochi. Sababu pekee ninayoiona ni kutumia njia hiyo kuibia watu na wenye maduka
 
anayelilia na anayepongeza tofautiyake nini? Kwa maoni yangu katika karne hii na teknolojia iliyo kulilia mikutano ya hadhara ni ujuha; na mkuu wala sijataja chama.
shida yako unaizungumzia teknolojia ukiwa jijini. hujawahi hata kufika vijiji 20 tu vya Tanzani wewe.
 
Lakini pia mtu asiyejua mazingira ya watanzania hadi vijijini ambao kwao mawasiliano bado ni changamoto kubwa achilia mbali kukosekana kwa miundombinu na elimu, huy
Mkuu mara ya mwisho kwenda Tanzania hiyo unayoita vijijini ni lini; maana ninyoijua mimi yaiko hivyo unavyoisema
 
Kwa hiyo mikutano ya hadhara itawafikia wote 61m?
Probably yes, kwa sababu kila chama kina uongozi hadi ngazi ya mtaa. Na mikutano inatakiwa kufanyika hadi kwenye mitaa. Chama ambacho hakijafika hadi ngazi ya mtaa ndio hakitaweza kuwafikia wananchi walio wengi.
 
Utazeeka pia au kwa vile unakula bure hapo kwa dada yako unadhani utabaki hivyo. Mkuu kama ibada zinafanyika kwa mtandao, matibabu yabafabyika kwa mtandao, jana tumeona Kamati kuuya CHADEMA ikiongozwa na Gaidi inafanyika kwa njia ya mtandao- kulilila mikutano ya hadhara ni ujuha

Sikutegemea mawazo tofauti na haya toka kwa mzee.
 
dhida yako unaizungumzia teknolojia ukiwa jijini. hujawahi hata kufika vijiji 20 tu vya Tanzani wewe.
Mkuu serikali ya CCM imefanya makubwa mkonga wa taifa kila sehemu na watu wanacharge simu zao kwa umeme
 
Back
Top Bottom