FA
anayelilia na anayepongeza tofautiyake nini? Kwa maoni yangu katika karne hii na teknolojia iliyo kulilia mikutano ya hadhara ni ujuha; na mkuu wala sijataja chama. Fahamu kwanza jiografia ya nchi yako vizuri ndio ujinasibu na digitali.watu wanalilia usikivu wa radio na tv je intanent imeenea kote? Jibu wangapi wana uwezo wa kumiliki simu janja na kuweka kifurushi waone na kusikia hoja za vyama?