Katika dunia hii ya kidigitali kulilia mikutano ya hadhara ni ujuha wa kiwango cha ajabu

Katika dunia hii ya kidigitali kulilia mikutano ya hadhara ni ujuha wa kiwango cha ajabu

Mkuu tafuta takwimu
Around 70 percent of the surveyed population used a mobile phone daily in Tanzania as of 2021.22 Nov 2022
70% ya watu 61M ni ngapi!!?? TCRA ripoti yao ya watumiaji wa simu za kiganjani Tanzania ni wangapi!?? Mind u sio wenye simu wote pia Wana simu janja...

Kuna mwanafalsafa Mmoja alisema
"OGOPA SANA MJINGA MWENYE CONFIDENCE NA UJINGA WAKE" ...nafikiri utakuwa umo ndani ya hilo kundi Kwa HOJA ZAKO UNAVYOZITETEA KIZEMBE... UJINGA SUO TUSI. NI SIFA TU KAMA UREFU UFUPI UNENE AU WEMBAMBA bahati mbaya hiyo sifa ya ujinga unayo.
 
Ulaya na marekani ambapo vyombo vya mawasiliano na technology ipo juu wanahitaji mikutano ya kisiasa ana kwa ana wewe unataka Mbowe apige kampeni kidigitali na wazee wa Mtakuja, Kibosho, Kibiti, nk wasio hata na redio za uhakika watampata vipi?
wanafanya wapi hiyo mikutano? HALL MEETING usichanganye na mikutano ya hadhara inayoenda kwa dhana- KWA YEYOTE ANAYEHUSIKA (NYOMI). Mimi ambayo huwa naiona wanaenda maeneo ya kazi na kukutana na wafanyakazi wakati wa kazi bila kuvuruga utaratibu wao wa kila siku
 
Mkuu inawezekana maana wapenda siasa duniani kote wanapungua kwa kasi kuliko faru weupe ndiyo maana CHADEMA imekosa hata mtu mwingine wa kuwa mwenyekiti na hata mgombea urais ilibidi wakachuke mkimbizi kutoka ubelgiji
Unachemsha sasa..!! Yaani inaonyesha huna data za kushawishi kuachana na mikutano ya hadhara..!! Hivi kweli mngoni mwenzangu wa kule LINGUSENGUSE umuunge kwenye mkutano wa kidigitali unadhani mtaelewana? Kwanza bando analo? Hela ya kula tu ni mlo mmoja wa shida kwa siku..!!

Tatizo unawawaza watu wenye smartphone ndo unadha Tanzania nzima tuna waina hiyo. Kwenye sensa tu hapa tumeona maajabu kwenye kutumia vishikwambi. Na hao waliopewa hivyo vishikwambi wengi ni walimu

TUENDE NA UHALISIA.. Mkutano wa kidigitali unazungumzia na MD, Directors, managers, supervisors and some people. SIyo mwenye kiswaswadu chake unataka umuunge kidigitali. Mtu ambaye pilau, Tshirt na kanga ya mara moja kila baada ya miaka mitano inamfanya auze kura
 
70% ya watu 61M ni ngapi!!?? TCRA ripoti yao ya watumiaji wa simu za kiganjani Tanzania ni wangapi!?? Mind u sio wenye simu wote pia Wana simu janja...

Kuna mwanafalsafa Mmoja alisema
"OGOPA SANA MJINGA MWENYE CONFIDENCE NA UJINGA WAKE" ...nafikiri utakuwa umo ndani ya hilo kundi Kwa HOJA ZAKO UNAVYOZITETEA KIZEMBE... UJINGA SUO TUSI. NI SIFA TU KAMA UREFU UFUPI UNENE AU WEMBAMBA bahati mbaya hiyo sifa ya ujinga unayo.
Una stahiki na uhuru wako wa kusema unachowaza ila ukweli unabaki pale pale nendeni kidigitali- mikutano ya hadhara karne hii ni ujuha
 
70% ya watu 61M ni ngapi!!?? TCRA ripoti yao ya watumiaji wa simu za kiganjani Tanzania ni wangapi!?? Mind u sio wenye simu wote pia Wana simu janja...

Kuna mwanafalsafa Mmoja alisema
"OGOPA SANA MJINGA MWENYE CONFIDENCE NA UJINGA WAKE" ...nafikiri utakuwa umo ndani ya hilo kundi Kwa HOJA ZAKO UNAVYOZITETEA KIZEMBE... UJINGA SUO TUSI. NI SIFA TU KAMA UREFU UFUPI UNENE AU WEMBAMBA bahati mbaya hiyo sifa ya ujinga unayo.
Hata ingekuwa ni tusi, huyo anajiongelesha mashudu yake hapa hana hoja hata kidogo
 
wanafanya wapi hiyo mikutano? HALL MEETING usichanganye na mikutano ya hadhara inayoenda kwa dhana- KWA YEYOTE ANAYEHUSIKA (NYOMI). Mimi ambayo huwa naiona wanaenda maeneo ya kazi na kukutana na wafanyakazi wakati wa kazi bila kuvuruga utaratibu wao wa kila siku
Mikutano ya kidigitali kwa wasomi wetu wa vyuo vya mitaani kama cha kwako inawashinda ndio wengine.
 
Chadema ya sasa sio ile ya awamu ya nne. Mikutano ya hadhara wala haitasaidia maana ule uongo na uchochezi hata mama hataruhusu.
Tanzania ya sasa wananchi wanadai maendeleo hakuna nafasi ya porojo na kupotezeana muda kwa mikutano ya hadhara wakati media za kila aina zipo.
Kwani huo unaouita uongo, mkutano wa kidigitali hauwezi fanyika..??? AU unadhani kule kuwa wa kidigitali basi uchochezi unazuilika na udigitali?
 
Utazeeka pia au kwa vile unakula bure hapo kwa dada yako unadhani utabaki hivyo. Mkuu kama ibada zinafanyika kwa mtandao, matibabu yabafabyika kwa mtandao, jana tumeona Kamati kuuya CHADEMA ikiongozwa na Gaidi inafanyika kwa njia ya mtandao- kulilila mikutano ya hadhara ni ujuha
Kwa coment hii HUNA HOJA..!!

Hata wajinga huzeeka
 
Naunga mkono hoja
Kuna watu ni majuha sana tuu!.
halafu yanashangilia kupewa kitu ambacho ni haki yao!. Haki haiombwi!, ni stahili inayopaswa kutolewa unconditional, hailetwagi kwenye kisahani cha chai, inadaiwa na ikibidi inapiganiwa!.
P
Vipi wale waTanganyika walioshangilia na kusherehekea siku ya 9 Disemba 1961.
Nao walikuwa majuha.

Maana uhuru ndani ya Nchi yao nayo ilikuwa ni haki yao.
Waliiomba wakapewa.
 
Nimesoma Chuo Kikuu Huria-kwa mtandao; na kwa taarifa yako chuo kikuu huria ndicho chuo kinachoongoza kwa idada ya wanafunzi Tanzania
Unataka tutangaziane tulikosma sasa..!!! Kwa coments zako, unakidhalilisha chuo
 
Embu rudia kusoma ulichokiandika.. kwamba

Huu ndo uchawa alioukataa Rais
Kwa UKUPE wako unajiendea tu, Mama kasema hataki kusikia mama samia kaleta au kafanya,bali anataka tuseme serikali ya CCM imefanya na ndicho nilichosema sasa wewe KUPE endele kubaki kwenye mgongowa GAIDI Mbowe
 
Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili. Lakini hapa Tanzania naona kama ni tofauti. Hili limuejidhihirisha kwa jinsi watu walivyokamia mikutano ya hadhara wakiwemo wanajinasabu kwenda kidigitali.Hii ni aibu na ishara mbaya.
Mtoa mada hufai hata kuwa mshauri wa diwani. Aibu ya kuzuia mikutano ya vyama vya siasa ungeanza kuwaonya walioizuia kwanza.
 
Unachemsha sasa..!! Yaani inaonyesha huna data za kushawishi kuachana na mikutano ya hadhara..!! Hivi kweli mngoni mwenzangu wa kule LINGUSENGUSE umuunge kwenye mkutano wa kidigitali unadhani mtaelewana? Kwanza bando analo? Hela ya kula tu ni mlo mmoja wa shida kwa siku..!!

Tatizo unawawaza watu wenye smartphone ndo unadha Tanzania nzima tuna waina hiyo. Kwenye sensa tu hapa tumeona maajabu kwenye kutumia vishikwambi. Na hao waliopewa hivyo vishikwambi wengi ni walimu

TUENDE NA UHALISIA.. Mkutano wa kidigitali unazungumzia na MD, Directors, managers, supervisors and some people. SIyo mwenye kiswaswadu chake unataka umuunge kidigitali. Mtu ambaye pilau, Tshirt na kanga ya mara moja kila baada ya miaka mitano inamfanya auze kura
Mkuu, mtumie huyo mgoni wa Chipole sms; mbona wanatumiwa sms tuma hela kwenye namba hii na wanatuma na kuishiwa kuibiwa, nyie mna fail wapi, mbona mnaonekana wajanja?
 
Mtoa mada hufai hata kuwa mshauri wa diwani. Aibu ya kuzuia mikutano ya vyama vya siasa ungeanza kuwaonya walioizuia kwanza.
images

Kwa hili hili limekwama?
 
Naunga mkono hoja
Kuna watu ni majuha sana tuu!.
halafu yanashangilia kupewa kitu ambacho ni haki yao!. Haki haiombwi!, ni stahili inayopaswa kutolewa unconditional, hailetwagi kwenye kisahani cha chai, inadaiwa na ikibidi inapiganiwa!.
P
Kaka Paskali, natofautiana na wewe kwa kiasi kikubwa sana ukilinganisha na nilivyowahi kutofautiana na wewe huko siku za nyuma kabla ya post hii..!! Usisahau uliitwa kuhojiwa na toka pale ni kama uliufyata flani hivi..!!

1. Mfikilie mpiga kura aliyeko Lituhi huko wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma na unahitaji kufanya naye mkutano wa kisiasa. Asilimia kubwa ya walioko huko (hii ni kwa vijiji vyote) hawana smartphone, bando kwao ni shida etc. Mtu wa hivi unafanyaje naye mkutano wa KIDIGITALI..??

2. Ulishawahi kutana na walimu/ watu waliopewa vishikwambi wakati wa sensor..??? Ilikuwa tabu sana kwenye kuvitumia. Na ukumbuke hao ni wali na wengine wana uelewa wa maswala ya mitandao. Lakini walipata shida haswa.

3. Mfikiri mtu aliyeko mchoteka kule Tunduru mbele ya Mbesa Mision. Hivi kufanya naye mkutano wa kidigitali mtu yule aliyeko huko, au aliyeko Lusaunga huko Biharamulo, au aliyeko Mtinko Singida ni rahisi kama mnavyofikiria wewe na mto mada pamoja na wengine wenye mtazamo huo?

4. Huko serikalini tu, we tuma e-mail leo halafu usikilizie. Serikali hadi leo bado ni mwendo wa hard copies. Ukitaka wakushangae jifanye unawasiliana kwa mail.

5. TAKWIMU ZENU MNZOTUMIA KUWASHAWISHI WATU KUWA MIKUTANO YA KIDIGITALI INAWEZEKANA NI ZA MJINI TU, TENA KWA BAADHI YA WATU KAMA VILE ma-MD, Directors, Managers, supervisor etc. Imajini, hapa Dar tu kuna watumiaji wangapi wa viswaswadu??

Paskali, tuwe realistic. Sisi mikutano ya kidigitali bado sana. Kwanza kuna sehemu ndani ya Tanzania bado wana 3G na wengine 2G. Hata hiyo 5G inayotangazwa sana ni mbwembwe tu. Wenye simu ya kuhandle hiyo 5G inawezekana kabisa hata wewe Pascal Mayalla na mwenzio comte bado hamzimiliki. SI kwa maana ya uwezo kifedha, ila kwa maana ya uwezo wa mitandao ya simu kutoa huduma hiyo. Kama kuna towers zenye capacity ya 5G hapa Dar (achia mbali Tanzania) itakuwa labda karibu na airport au mahoteli makubwa ambako wanalengwa watu wanaotoka kweny nchi zenye huduma hizo
 
Wakati wa mwaka mpya wana ccm wote wamepata salamu za kheri ya mwaka mpya kutoka kwa mwenyekiti wao- wamepta wote hata wenye vitochi. Sababu pekee ninayoiona ni kutumia njia hiyo kuibia watu na wenye maduka
Washauri kwanza CCM wanaosomba watu na maroli.
 
Mkuu, mtumie huyo mgoni wa Chipole sms; mbona wanatumiwa sms tuma hela kwenye namba hii na wanatuma na kuishiwa kuibiwa, nyie mna fail wapi, mbona mnaonekana wajanja?
Sasa unazidi kuchemsha..!! Kwa hiyo unadhani kila simu yenye uwezo wa sms inaeza kuhandle mikutano ya kidigitali?
 
Kaka Paskali, natofautiana na wewe kwa kiasi kikubwa sana ukilinganisha na nilivyowahi kutofautiana na wewe huko siku za nyuma kabla ya post hii..!! Usisahau uliitwa kuhojiwa na toka pale ni kama uliufyata flani hivi..!!

1. Mfikilie mpiga kura aliyeko Lituhi huko wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma na unahitaji kufanya naye mkutano wa kisiasa. Asilimia kubwa ya walioko huko (hii ni kwa vijiji vyote) hawana smartphone, bando kwao ni shida etc. Mtu wa hivi unafanyaje naye mkutano wa KIDIGITALI..??

2. Ulishawahi kutana na walimu/ watu waliopewa vishikwambi wakati wa sensor..??? Ilikuwa tabu sana kwenye kuvitumia. Na ukumbuke hao ni wali na wengine wana uelewa wa maswala ya mitandao. Lakini walipata shida haswa.

3. Mfikiri mtu aliyeko mchoteka kule Tunduru mbele ya Mbesa Mision. Hivi kufanya naye mkutano wa kidigitali mtu yule aliyeko huko, au aliyeko Lusaunga huko Biharamulo, au aliyeko Mtinko Singida ni rahisi kama mnavyofikiria wewe na mto mada pamoja na wengine wenye mtazamo huo?

4. Huko seriali tu, we tuma e-mail leo halafu usikilizie. Serkali hadi leo bado ni mwendo wa hard copies. Ukitaka wakushangae jifanye unawasiliana kwa mail.

5. TAKWIMU ZENU MNZOTUMIA KWASHAWISHI WATU KUWA MIKUTANO YA KIDIGITALI INAWEZEKANA NI ZA MJINI TU, TENA KWA BAADHI YA WATU KAMA VILE ma-MD, Directors, Managers, supervisor etc. Imajini, hapa Dar tu kuna watumiaji wangapi wa viswaswadu??

Paskali, tuwe realistic. Sisi mikutano ya kidigitali bado sana. Kwanza kuna sehemu ndani ya Tanzania bado wana 3G na wengine 2G. Hata hiyo 5G inayotangazwa sana ni mbwembwe tu. Wenye simu ya kuhandle hiyo 5G inawezekana kabisa hata wewe Pascal Mayalla na mwenzio comte bado hamzimiliki. SI kwa maana ya uwezo kifedha, ila kwa maana ya uwezo wa mitandao ya simu kutoa huma hiyo. Kama kuna towers zenye capacity ya 5G hapa Dar (achia mbali Tanzania) itakuwa labda karibu na airport au mahoteli makubwa ambako wanalengwa watu wanaotoka kweny nchi zenye huduma hizo
Mkuu nini yalikuwa madhumini ya mambo kama haya? au ulikwa upigaji?
1673102617834.jpeg
 
Back
Top Bottom