Katika dunia hii ya kidigitali kulilia mikutano ya hadhara ni ujuha wa kiwango cha ajabu

Katika dunia hii ya kidigitali kulilia mikutano ya hadhara ni ujuha wa kiwango cha ajabu

Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili. Lakini hapa Tanzania naona kama ni tofauti. Hili limuejidhihirisha kwa jinsi watu walivyokamia mikutano ya hadhara wakiwemo wanajinasabu kwenda kidigitali.Hii ni aibu na ishara mbaya.
Kwanini CCM waoga hivi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unatumia level sahihi kwa hadhira husika-shida ya wasiasa wanataka kuuza sura; hovyo.
Umeishiwa hoja..!! Kwa hiyo umekubali kuwa yule wa Chipole, kwa level yake huwezi mjumuisha kwenye mkutano wa kidigitali. Maana hana vinavyomuwezesha kushiriki mikutano ya aina hiyo.

By the way, nikuulize, HIVI UNA UELEWA WOWOTE WA 2G, 3G, 4G na 5G au masuala ya telecom network kwa ujumla? Maana nisije nikawa naongea na mtu ambaye hata VSWR hujui..!!!
 
Kuna tofauti kubwa kati ya virtual na physical experience technology imejutahidi sana kupunguza hili gap lakini bado kuna gap na ndicho kinafanya watu waende kwenye events, mikutano, mikusanyiko physically
Sidhani ng'ombe kama hiyo inaweza kuelewa maana na umuhimu wa mikutano ya hadhara. Kama anafikiri siasa zinawezwa kufanywa kwa zoom meeting, huyo ni Ng'ombe tu.
 
Umeishiwa hoja..!! Kwa hiyo umekubali kuwa yule wa Chipole, kwa level yake huwezi mjumuisha kwenye mkutano wa kidigitali. Maana hana vinavyomuwezesha kushiriki mikutano ya aina hiyo.

By the way, nikuulize, HIVI UNA UELEWA WOWOTE WA 2G, 3G, 4G na 5G au masuala ya telecom network kwa ujumla? Maana nisije nikawa naongea na mtu ambaye hata VSWR hujui..!!!
Mama yangu yuko Chipole ananitumia sms tafadhali nipigie inanifikia na tunawaliana na anapata ujumbe- anasimu ya tochi imefungwa na rubber band na ya kwangu ni Iphone. Mna ujanja wa bure lakini hamana tofauti na kizazi kilicho dai uhuru na mapinduzi matukufu ya Zanzibar. kizazi kilichotumia vifungashio vya vitumbua kuwafikia watu wakati ambapo watu waliokuwa wanajua kusoma na kuandika walikuwa wa kuhesabu- Kizazi chenu hiki bure kabisa
 
Nimesema na narudia kusema yeyote analilia mikutano ya hadhara leo ni UJUHA
Washauri kwanza CCM wanaosomba watu na maroli kuwapeleka mikutanoni, pia tueleze iwapo kusomba na maroli ni ujanja au ujuha.
 
Sidhani ng'ombe kama hiyo inaweza kuelewa maana na umuhimu wa mikutano ya hadhara. Kama anafikiri siasa zinawezwa kufanywa kwa zoom meeting, huyo ni Ng'ombe tu.
Ng'ombe anabeba KUPE kama wewe- wewe mitandao imeishia kwenye zoom? My friend nothing fit all solution is no longer working in this world-try every thing to at least get the minimum possible
 
Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili. Lakini hapa Tanzania naona kama ni tofauti. Hili limuejidhihirisha kwa jinsi watu walivyokamia mikutano ya hadhara wakiwemo wanajinasabu kwenda kidigitali.Hii ni aibu na ishara mbaya.
Cjui wabongo jema kwenu ni lipi 😂 mlibeza kule space na clubhouse eti bibietu kule kijijin itamfikiaje!!! Leo wanataka wawafikie mpaka maporini hamtak tena 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Vyama vya upinzani kwa sasa vinatakiwa vifanye heavily Investment kwenye issue za Digital, Mana waki rely kwenye izi media kubwa hazitawapa airtime mana nao wanaogopa kuji side sana na Upinzani, Wanawaogopa watawala ivo basi waanzishe platform zao ambao zitakuwa na Publicity kubwa ili wafanyapo Iyo Mikutano basi Message ziwafikie watanzania wengi
 
Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili. Lakini hapa Tanzania naona kama ni tofauti. Hili limuejidhihirisha kwa jinsi watu walivyokamia mikutano ya hadhara wakiwemo wanajinasabu kwenda kidigitali.Hii ni aibu na ishara mbaya.
Marekani wana Techinolojia ya kwenda kuishi sayaru ya Mars still kuna mikutano ya hadhara sembuse Tanzania? Wewe una akili za kutofautosha Mboga na Ugari unazungumzia techinolojia gani?
 
Kama mtu ana simu imejaa nyimbo za msanii, youtube anamwona kwenye videos, instagram kamfollow anajua habari zake na bado akiandaa show nyomi linajaa tena kwa kiingilio hapo ndipo ujue kuna tofauti ya virtual na physical
Sijui kama atakuelewa hapa
 
Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili. Lakini hapa Tanzania naona kama ni tofauti. Hili limuejidhihirisha kwa jinsi watu walivyokamia mikutano ya hadhara wakiwemo wanajinasabu kwenda kidigitali.Hii ni aibu na ishara mbaya.
Hio kijiditali unaijua? Posta za kimama hizi
 
Hio kijiditali unaijua? Posta za kimama hizi
1673104105824.jpeg
 
Marekani wana Techinolojia ya kwenda kuishi sayaru ya Mars still kuna mikutano ya hadhara sembuse Tanzania? Wewe una akili za kutofautosha Mboga na Ugari unazungumzia techinolojia gani?
Mikutano ya hadhara Marekani- nipe ushahidi-wenzetu wlisha toka huko; wanafanya townhall meetings
 
Utazeeka pia au kwa vile unakula bure hapo kwa dada yako unadhani utabaki hivyo. Mkuu kama ibada zinafanyika kwa mtandao, matibabu yabafabyika kwa mtandao, jana tumeona Kamati kuuya CHADEMA ikiongozwa na Gaidi inafanyika kwa njia ya mtandao- kulilila mikutano ya hadhara ni ujuha
Kamati kuu ya CDM ina wajumbe wangapi?
 
Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili. Lakini hapa Tanzania naona kama ni tofauti. Hili limuejidhihirisha kwa jinsi watu walivyokamia mikutano ya hadhara wakiwemo wanajinasabu kwenda kidigitali.Hii ni aibu na ishara mbaya.
Je ujuha Kama wewe unayejificha kwa ID fake unausemaje
 
Back
Top Bottom