Katika Empire zote zilizowahi kuwepo duniani, Roman Empire bado inaendelea kutawala

THE NIGHTMARE OF ROME....NEPOLIONE BONAPARTE (THE CONQUEROR).

History ni tamu Sanaa..hasa hasa ukiiishi au kusimuliwa na wajuvi.
 
Kwa mujibu wa hizo data nilizokupa ipo hivi;

Kwa kuzifungamanisha nchi na mabara zitokazo.

South America: Brazil (116.1M), Colombia (39.0M) → 155.1M

North America: Mexico (93.0M), United States (69.5M) → 162.5M

Asia: The Philippines (94.0M) → 94.0M

Europe: Italy (46.8M), France (42.2M), Poland (33.1M), Spain (28.8M) → 150.9M

Africa: Democratic Republic of the Congo (76.5M) → 76.5M


------xxxxx------xxxxx-----xxxxxx---

Bara lenye Wakatolki wengi;

North America: 162.5 million

South America: 155.1 million

Europe: 150.9 million

Asia: 94.0 million

Africa: 76.5 million
 
Vizuri umeamua kukiri upofu wako. Kuhusu hoja zako rudia kusoma kati ya nilichoandika na hoja zako halafu tafakari upya ni nani anatakiwa kutoa jibu
 
Ukita kujua nguvu ya ukatoliki muulize Samia alifuata nini Vatican eneo lisilozidi mji wa chalinze ?
 
Kama waroma( Vatican ) tuliweza kupenyeza mfumo wa kalenda unaowezesha kujua muda na tarehe ; Hii ni dalili kuwa wakatoliki ( Vatican) tuna nguvu ya kuitawala dunia . Mfumo wa Gregorian-kalenda ndo unatumiwa na nchi nyingi duniani leo na kesho ikiwemo marekani.
 
Ukita kujua nguvu ya ukatoliki muulize Samia alifuata nini Vatican eneo lisilozidi mji wa chalinze ?
Kumbe ww ni ndina hao wakatoliki si walikuwa wsnaupinga mkataba wa bandari?
Sasa mbona Samia aliupitisha na hawakumfanya chochote.
Alafu kumbe hujui kuwa Vatican ni nchi hivyo Samia kukutana na papa alikutana naye kwa ajili masuala ya kuserikali na sio nchi.
 
Ukita kujua nguvu ya ukatoliki muulize Samia alifuata nini Vatican eneo lisilozidi mji wa chalinze ?
Kumbe ww ni ndina hao wakatoliki si walikuwa wsnaupinga mkataba wa bandari?
Sasa mbona Samia aliupitisha na hawakumfanya chochote.
Alafu kumbe hujui kuwa Vatican ni nchi hivyo Samia kukutana na papa alikutana naye kwa ajili masuala ya kuserikali na sio nchi.
 
Mkuu uko sawa kweli kichwani?ebu angalia tena takwimu zako ulizo ziweka.
Ya kwamba Africa ina wakatoliki million 76 tu hivi una akili kweli au naongea na kilaza hapa?
Wakatoliki walioko Tz,kenya na uganda,na Zambia tu wanazidi million 76 sembuse Africa nzima?

Hapa duniani kuna zaidi ya wakatoliki bilion 1.3 na bara la kwanza kuwa na wakatoliki wengi ni America kusini alafu ina fuata Africa.

Lakini kwa mujibu wa takwimu zako ni kuwa wakatoliki hawafiki hata milion 500 hapa duniani.
 
Ulivyo fala hata kusoma haujui unakimbilia kuuliza utimamu wa mtu. Wewe unaweza kuhoji utimamu wangu mimi? Rudia kusoma hicho nilichokiweka hapo halafu rudi juu zaidi ulipoanzia.
Kila kitu nimeweka na maelezo yapo wazi, lakini bado uaonyesha ufinyu wako wa akili ulivyo.
Kwa kukusaidia tu, ulicho quote ni muendelezo wa nchi nilizozitaja ambapo kwa Afrika nilikuwekea takwimu za nchi ya Congo pekee.

Siku nyingine uwe unasoma kuelewa badala ya kusoma ili ubishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…