Katika Hali isiyo ya kawaida FFU waanza shamra shamra huku mjini posta wanazunguka zunguka kabla ya tarehe 23 yenyewe

Katika Hali isiyo ya kawaida FFU waanza shamra shamra huku mjini posta wanazunguka zunguka kabla ya tarehe 23 yenyewe

Hawana ushahidi wa mauaji ya kiongozi wao kufanywa na watu wa mfumo. Ni masuala ya ujambazi na utekaji.

..basi mfumo utoe ushahidi kuwa sio wao, bali ni majambazi. Hivi mfumo si wa Watanzania wote? Tumekosea wapi? Kwanini haturekebishi?

..vijana wa Chadema walipigiwa simu waende kituo cha Polisi, hapo katikati wakatekwa.

..kuna kijana mwingine yuko Tanga alitekwa na Polisi na mpaka leo wanazuia dhamana yake. Polisi walikana kuwa wanaye kwa wiki zaidi ya 3.

..Mzee Ally Kibao amekamatwa kipolisi-polisi. Baadae ameuwawa. Mwili wake ukaharibiwa.

..Mimi nadhani juhudi kubwa zaidi zielekezwe kuzuia maovu yanayosababisha Chadema watake kuandamana.

..Kutoa kauli za kijeuri kwamba hawana ushahidi sio UTU. Polisi watoe USHIRIKIANO kwa Chadema na kurudisha imani iliyopotea.

..Hii nchi ni yetu sote. Sio sahihi baadhi ya raia kunyimwa haki, na kunyanyaswa, ktk nchi yao.
 
Hizo ni mbwembwe tu.wananchi wakiamua hakuna wa kuzuia.tumejionea Kenya walipoamua wananchi polisi walifanya u babe wao mwishoe wakashindwa nguvu na kupelekea kutimiza madai ya wananchi Kwa serikali.Hata huko misiri wakati wa mapinduzi ulikuwa hivohivo hatimaye nguvu ya umma ikawashinda polisi.hakuna kuogopa polisi Wala nini.Aluta continua
Wewe anza leo.

Kuna mmija anaitwa Azori Gwanda alisema kama wewe, umewahi. Kumsikia?
 
Aman iwe nanyi wana wa MUNGU

Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao

Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana

FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi

Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran

Samia must go

LONDON BOY
Ndiyo maana wanaojiunga na polisi ni F4 failure pekee
 
Back
Top Bottom