Katika jambo kubwa ninalojivunia, ni kutambua kuwa hakunaga UCHAWI

Katika jambo kubwa ninalojivunia, ni kutambua kuwa hakunaga UCHAWI

Nawasikitia sana watu ambao wamebaki kuamini kwamba hapa duniani kuna kitu kinachoitwa uchawi na kinafanya kazi. aisee hakuna kitu kama hicho binadamu ni mnyama tu ana limit zake yako miujiza hawezi tu kufanya mfano kupotea na kwenda kutokea sehemu nyingine au eti kujibadilisha umbo..

kuamini uchawi ni ujinga naini uoga uliopitiliza mimi nimeshapita mazingira mengi sana tu kuanzia makaburini, mabaharini, misituni usiku Kwa usiku na sijawahi kuona badiliko lolote nikalihusisha na eti ni mbinu za kishetani. Maisha yapo tu the way yapo magonjwa yapo ya Kuua so hata Ukifa ghafla hujalogwa tunakupima tunajua ulikuwa na ugonjwa gani..

Zamani kweli mambo mengi yalikuwa hayajagunduliwa maswali yasiyo na majibu yalikuwa mengi.. Pressure, kisukari, kifafa na magonjwa ya akili haya kujulikana hivyo watu akili zao ilibidi ziishie kwenye kuamini uchawi kwamba Ukifa na ugonjwa wasioujua basi umelogwa..

Uchawi upo Kwa dhana kwamba una fanywa (Wana upractice Kwa mazoea yao ila hautendi lolote yaani huwezi ukawa tabora eti umuue mtu yupo dar (hakuna outcome yoyote).

Ndo maana mimi daima napenda mtu ninayefanya naye mijadala awe haamini hakuna uchawi nitamkubali sana nitaona kichwa chake kinaweza ku solve mysterious mbalimbali.. mbona simple tu MUNGU YUPO, UKICHAA UPO, MAARIFA YAPO, NGUVU ZIPO ILA UCHAWI HAUPO LABDA UCHAWA.mwingine unakuta eti kisa tu ana kidonda kilichokataa kupona basi wanaelekeza fikra kwamba ni cha kulogwa cha kichawi mbona ishu kama hiyo ni nyepesi kwamba akili yako haitaki kuamini kama kidonda hakiwezi tu kupona Kwa sababu nyingine za afya au mazingira Mpaka utuhumu uchawi?
Ili ukatae hakuna uchawi itabidi pia ukatae hakuna Mungu .
 
Nikueleweshe Tena uchawi upo Kwa maana ya kufanywa yaani matendo yake
Ndege

Bado unaendelea kujikanyaga. Umekubaliana kwamba uchawi upo katika hali ya kutenda matendo yake.

matendo hayo yanafanyika ila hautendi lolote kama ni hela utazipatia kwenye kazi utalipwa na sio eti uloge uende chumbani ukute mahela yamejaa
Una maanisha nini kusema hautendi lolote?

tunarudi pale pale. Kuamini uwepo wa Mungu unapaswa kuamini uwepo wa shetani kitu ambacho moja kwa moja unapaswa kuamini uchawi upo.

Kusema hautendi lolote ni kwenda kinyume na kumpinga Mungu na vitabu vyake vitakatifu.

Unakubaliana kwamba Mungu anasema uchawi upo? Na katika vitabu vyake Yakima Koran na biblia yameelezwa mambo haya?

Unaamini Vipi Mungu yupo na unasema hautendi lolote uchawi?
 
Hongera sana. Wewe ni Shujaa wa fikra. Katika jambo linarudisha nyuma maendeleo na ustawi wa jamii ni hizi fikra za kubebeshana hii Imani na kuishi kuwa na hofu miaka yote na kusababisha majanga kwenye jamii.

Nakuunga mkono, tafadhali nipeni ushirikiano natafuta watu jasiri ambao hawakujengwa kwenye hii fikra tuandae mijadala ya wazo tukomboe fikra za wengi.

Mimi mwenyewe siyo muumini wa hizi fikra haya sms tafadhali kwenye 0765345777 turatibu wengine twendeni kwenye ukombozi jamani. Nilianza huu mjadala juzi Instagram pia, yaani kumbe watu wanaweza kukombolewa. Ahsante Sana.

Nasubiri sms yako na ya yeyote anayependa tushirikiane tafadhali anitumie ujumbe nawaomba Sana sana mashujaa🙏🏽
Madam boss kumbe na wewe una fikra safi kiasi hiki , wengi wamejengwa kwenye fikra duni za kuamini hizi habari za uchawi miaka nenda rudi bila kujitambua wanaamini kitu ambacho hakipo, hongera sana Madam👏👏
 
Kasome Machapisho ya Dr. Fr. David Clement Fumbuka, Padri Mzungu aliyefanya extensive research kuhusu jamii ya Wasukuma na mwanzilishi wa Sukuma Museum pale Bujora, Mwanza. Ndo utajua wewe na Fr.Clement nani anaujua ukweli wa haya mambo.
Ni kweli SEMA wengi hatupendi kujielimisha.
Pia
The late Professor Isaria Kimambo aliandika maandiko mengi na tafiti mbali mbali za history hapa nyumbani kwetu TANZANIA mfano
""A political history of pare of Tanzania"" by professor Isaria .N. Kimambo by then ambapo alikua senior professor in history department at the University of Dar es Salaam. The book was published in 1969. Jump ndani kachambua kwa kina hizo Imani kwa wapare..

Kuna watu humu naona wanavaa miwani za mbao
 
Wale waliobadilisha fimbo kuwa nyoka wakati wa Musa na unaamini walifanya hivyo hujasoma physics na English? Unaweza kutusaidia walitumia njia zipi kuwafyatua hao nyoka?

Na usikute wewe uliyesoma physics unaamini ipo siku tutapaa kwenda mbinguni, unaamini Yesu alipaa kwenda minguni, unaamini njiwa alipaa kutoka mbinguni. Mbona hayo hujiulizi kisayansi yalifanyikaje.
Hizo ni story tu hazina ukweli wowote , japo zinamafundisho ndani yake.
 
Generally speaking,
Mpaka leo Nina confusions juu ya baadhi ya vitu..

RAMLI Ni Nini ? Inafanyaje kazi ? MTU anaweza kukutazama na kumwambia your past, present, future.. Tena kwa usahihi bila kukosea..

Kuna siku tulikua mashambani porini mtoto wa shangazi angu akasema ANASIKIA HARUFU YA JINI Mimi nilim crash zaidi ya Mara tatu..

Tulikua tumeingia shambani kwa MTU bila idhini na tunajichumia majani ya SUNGURA gafla mzee akatokea tusijue alikotokea akauliza MMEOMBA tukajib hapana Akasema MNAJUA KWENYE HILI SHAMBA KUNA NINI? Baada ya kumbembeleza Sana mzee alisema TUPENI majani yoteee na msigeuke nyuma..

Hii dunia Ina mengi Sana yanayo onekana na yasiyo onekana na nawashangaa wote wanao jipa upofu kua hakuna uchawi it's just matter of time...

All in all,
Kama Kuna nguvu ya MUNGU Basi Kuna shetani pia ambae ndie mwovu na ibilisi mwalibifu wa hii dunia
Mkuu hayo ni mambo ya kawaida tu ambayo hata mimi ninayo ila hayana uhusiano na uchawi , wala hizo hadithi za Mungu na shetani ,ni kawaida tu sema labda elimu yake ndio hauna ndio maana ukaamua kuya overrate
 
Hongera sana. Wewe ni Shujaa wa fikra. Katika jambo linarudisha nyuma maendeleo na ustawi wa jamii ni hizi fikra za kubebeshana hii Imani na kuishi kuwa na hofu miaka yote na kusababisha majanga kwenye jamii.

Nakuunga mkono, tafadhali nipeni ushirikiano natafuta watu jasiri ambao hawakujengwa kwenye hii fikra tuandae mijadala ya wazo tukomboe fikra za wengi.

Mimi mwenyewe siyo muumini wa hizi fikra haya sms tafadhali kwenye 0765345777 turatibu wengine twendeni kwenye ukombozi jamani. Nilianza huu mjadala juzi Instagram pia, yaani kumbe watu wanaweza kukombolewa. Ahsante Sana.

Nasubiri sms yako na ya yeyote anayependa tushirikiane tafadhali anitumie ujumbe nawaomba Sana sana mashujaa🙏🏽
Mama unalijua ZONGO?
 
Nawasikitia sana watu ambao wamebaki kuamini kwamba hapa duniani kuna kitu kinachoitwa uchawi na kinafanya kazi. aisee hakuna kitu kama hicho binadamu ni mnyama tu ana limit zake yako miujiza hawezi tu kufanya mfano kupotea na kwenda kutokea sehemu nyingine au eti kujibadilisha umbo..

kuamini uchawi ni ujinga naini uoga uliopitiliza mimi nimeshapita mazingira mengi sana tu kuanzia makaburini, mabaharini, misituni usiku Kwa usiku na sijawahi kuona badiliko lolote nikalihusisha na eti ni mbinu za kishetani. Maisha yapo tu the way yapo magonjwa yapo ya Kuua so hata Ukifa ghafla hujalogwa tunakupima tunajua ulikuwa na ugonjwa gani..

Zamani kweli mambo mengi yalikuwa hayajagunduliwa maswali yasiyo na majibu yalikuwa mengi.. Pressure, kisukari, kifafa na magonjwa ya akili haya kujulikana hivyo watu akili zao ilibidi ziishie kwenye kuamini uchawi kwamba Ukifa na ugonjwa wasioujua basi umelogwa..

Uchawi upo Kwa dhana kwamba una fanywa (Wana upractice Kwa mazoea yao ila hautendi lolote yaani huwezi ukawa tabora eti umuue mtu yupo dar (hakuna outcome yoyote).

Ndo maana mimi daima napenda mtu ninayefanya naye mijadala awe haamini hakuna uchawi nitamkubali sana nitaona kichwa chake kinaweza ku solve mysterious mbalimbali.. mbona simple tu MUNGU YUPO, UKICHAA UPO, MAARIFA YAPO, NGUVU ZIPO ILA UCHAWI HAUPO LABDA UCHAWA.mwingine unakuta eti kisa tu ana kidonda kilichokataa kupona basi wanaelekeza fikra kwamba ni cha kulogwa cha kichawi mbona ishu kama hiyo ni nyepesi kwamba akili yako haitaki kuamini kama kidonda hakiwezi tu kupona Kwa sababu nyingine za afya au mazingira Mpaka utuhumu uchawi?
Kaka Mshana Jr unaitwa uku.
 
Nawasikitia sana watu ambao wamebaki kuamini kwamba hapa duniani kuna kitu kinachoitwa uchawi na kinafanya kazi. aisee hakuna kitu kama hicho binadamu ni mnyama tu ana limit zake yako miujiza hawezi tu kufanya mfano kupotea na kwenda kutokea sehemu nyingine au eti kujibadilisha umbo..

kuamini uchawi ni ujinga naini uoga uliopitiliza mimi nimeshapita mazingira mengi sana tu kuanzia makaburini, mabaharini, misituni usiku Kwa usiku na sijawahi kuona badiliko lolote nikalihusisha na eti ni mbinu za kishetani. Maisha yapo tu the way yapo magonjwa yapo ya Kuua so hata Ukifa ghafla hujalogwa tunakupima tunajua ulikuwa na ugonjwa gani..

Zamani kweli mambo mengi yalikuwa hayajagunduliwa maswali yasiyo na majibu yalikuwa mengi.. Pressure, kisukari, kifafa na magonjwa ya akili haya kujulikana hivyo watu akili zao ilibidi ziishie kwenye kuamini uchawi kwamba Ukifa na ugonjwa wasioujua basi umelogwa..

Uchawi upo Kwa dhana kwamba una fanywa (Wana upractice Kwa mazoea yao ila hautendi lolote yaani huwezi ukawa tabora eti umuue mtu yupo dar (hakuna outcome yoyote).

Ndo maana mimi daima napenda mtu ninayefanya naye mijadala awe haamini hakuna uchawi nitamkubali sana nitaona kichwa chake kinaweza ku solve mysterious mbalimbali.. mbona simple tu MUNGU YUPO, UKICHAA UPO, MAARIFA YAPO, NGUVU ZIPO ILA UCHAWI HAUPO LABDA UCHAWA.mwingine unakuta eti kisa tu ana kidonda kilichokataa kupona basi wanaelekeza fikra kwamba ni cha kulogwa cha kichawi mbona ishu kama hiyo ni nyepesi kwamba akili yako haitaki kuamini kama kidonda hakiwezi tu kupona Kwa sababu nyingine za afya au mazingira Mpaka utuhumu uchawi?
Mtoa mada unapajua Handeni Kwamsisi,Sumbawanga na Gamboshi-Bariadi?
 
Nenda Kijiji Mahaha, Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza ukawaambie hivyo hadharani uone kitakachokupata.

Sitosahau miaka fulani ya nyuma aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Magu, tulipoamka asubuhi na kumkuta amelazwa kwenye uwanja wa Sabasaba, jirani na uwanja wa mpira wa Mwanankanda.
Hakuna kitu kama hicho , umeongea hivyo as if magu hakuna aliye fika hawana cha uchawi wala nini sema wana imani zisizo na mashiko yoyote.
 
Kutokuwa muumini namaanisha kwamba fikra hizo hazinitawali tena
Mheshimiwa Dkt Gwajima.

Kutokuwa Muumini fikra kutokukutawala halimaanishi kwamba jambo hilo Halipo katika muktadha wa Dini.

Kama mimi si muumini kwamba kwenye Bendera ya Tanzania 🇹🇿 hakuna Rangi nyeusi haiondoi uhalisia kwamba rangi nyeusi haipo.

Kukubaliana Na Mungu ni kukubaliana na uwepo wa shetani moja kwa moja.

Unafikiri ni njia ipi sahihi ya kuendelea kuifundisha jamii kutokana na athari za kuwepo kwa imani za kishirikina?
 
Mkuu hayo ni mambo ya kawaida tu ambayo hata mimi ninayo ila hayana uhusiano na uchawi , wala hizo hadithi za Mungu na shetani ,ni kawaida tu sema labda elimu yake ndio hauna ndio maana ukaamua kuya overrate
Screenshot_20240623-151202.png
 
Madam boss kumbe na wewe una fikra safi kiasi hiki , wengi wamejengwa kwenye fikra duni za kuamini hizi habari za uchawi miaka nenda rudi bila kujitambua wanaamini kitu ambacho hakipo, hongera sana Madam👏👏
Kwa kweli nawashukuru wazazi wangu na Walezi wangu na babu wa babu zangu na bibi wa bibi zangu kwa kuwa hii ajenda haikuwa kabisa sehemu ya ukoo wetu si kwa baba si kwa mama.

Niliwahi kumuuliza babu yangu mmoja kuhusu je amewahi waona wachawi? Akiwa na miaka takribani 78 hivi na mimi nimeshamaliza Chuo kikuu udaktari alinijibu "hayo mambo mimi nayasikia tu stori kila mtu anasema naye kasikia, mimi sijayawahi hata yaona" RIP Babu yangu na Bibi yangu na wazazi wangu kwa ujumla, mlinifanya imara nitabaki kuwa imara daima.

Nawasihi wote tuepuke hizi fikra za Imani ya uchawi kwani ni adui wa maendeleo. Inawezekana kuendelea na kufanikiwa nje ya fikra hizi na nje ya kufanyiwa ushirikina shirikina.
 
Back
Top Bottom