Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Swali lako la pili unauliza kuwa mtume wa Majini alikuwa nani...

Mwenyezi Mungu anakujibu

Quran 35:

24. Hakika Sisi tumekutuma wewe kwa Haki, kuwa ni mbashiri na mwonyaji. Na hapana umma wowote ila ulipata mwonyaji kati yao.
25. Na wakikukanusha basi walikwisha wakanusha walio kuwa kabla yao. Mitume wao waliwajia kwa dalili wazi wazi na kwa maandiko na Kitabu chenye nuru.
26. Kisha nikawakamata walio kufuru. Basi kuchukia kwangu kulikuwaje?


Mwenyezi Mungu anasema kuwa hakuna Umma (taifa) lolote ila aliupelekea Mwonyaji kati yao. Yaani kabla ya mwanadam kuumbwa. Majini waliishi juu ya mgongo wa ardhi hii na walifanya ufisadi mkubwa sana , ila Mungu aliwaletea waonyaji waliotoka miongoni mwao wakiwaonya kuwa Wamuabudu Mungu mmoja tu.

So waonyaji wa majini kabla ya mwanadam kuumbwa walikuwa ni majini wenzao, baada ya kuja mwanadamu na kupewa utawala katila ardhi hii.

Waonyaji wa majini na binadamu ...wamekuwa ni binadam. So Mtume wa majini kipindi cha Tawrat alikuwa ni Mussa. Mtume wa majini kipindi cha zaburi inateremka alikuwa ni Daudi kisha mwanawe suleymani, kipindi cha injili inateremka Mtume wa wanadam na majini wa kipindi hicho alikuwa ni Issa (,Yesu) mwana wa mariamu na kipindi cha Quran inateremka mtume wa binadamu na majini alikuwa ni Mtume Muhammad s.a.w
Unaweza kutoa ushahidi nje ya Quran na Hadithi zake kuwa Musa, Daudi na Issa walikuwa Manabii wa Majini pia ?

Maana nje ya Biblia ushahidi upo wa kutosha kuwa Musa, Ibrahimu na Yesu Kristo walikuwa Manabii wa Watu tu.

Na hakuna Andiko la Waizraeri linalo kiri kwamba Mitume wao walikuwa Manabii wa Majini pia.
 
Hoja zisizo na mashiko kbs. Hao wenye dini yao wana wake 3-4 lakini wanachepuka na migogoro ya kindoa haijawahi kuwaacha salama, tamaa ya kuchepuka ni tamaa za mtu mwenyewe haziwezi kuzuiwa kwa kuwa na wake 4.
Unajua kuwa ili uweze kumpa talaka mke kwa mujibu wa dini hiyo unatakiwa uwakute ktk hali gani au unasema tu? Umfumanie mkea na mgoni wako kisu kipo alani yani nyama ndani ya nyama halafu uwe na mashahidi kuanzia 3 watakaokuwa wameona. Jiulize hao wafumaniwa watakuwa wana do bila kufunga mlango ili ukikute kisu alani?
DINI MIRADI YA WAJANJA WALIOTUTANGULI ili kuitawala dunia na kutufanya mambumbu hakuna cha dini ya haki wala halali zote kufunikana tu akili.
Acha kupotosha ... Sheria ya talaqa ipo wazi Mungu hajakosea kusema kuwa kuwe na mashahidi wanne. Hii inaonesha jinsi gani uislam unajali na kuhifadhi haki za mwanamke. Sheria hii inamlinda mwanamke asionewe/kusingiziwa uchafu. Leo hii mtu unaweza ukamkuta mtu kasimama na mkeo moja kwa moja ukamtuhumu kuwa kazini, jambo hili ni baya so ili usimvunjie heshima mwanamke ndio iliwekwa hiyo sheria kuwa either kuwepo mashahidi wanne walioshuhudia tendo likifanyika au hata kama ukiwepo wewe mwanaume mmoja umemfumani mkeo anafanya mapenzi na mwanaume mwengine unaweza kuwa ni shahidi tosha ila masharti yake ni kuwa Ukaape mara 4 mbele ya waumini kuwa kweli umemshuhudia mkeo akizini na pia mwanamke ikiwa anaona ameonewa inatakiwa aape mara 4 kuwa hajazini na kiapo cha mwisho mnatakiwa muombe laana iwakute ikiwe mmoja wenu anasema uongo na kumsingizia mwenzake. Huu ndio uislam.
 
Unaweza kutoa ushahidi nje ya Quran na Hadithi zake kuwa Musa, Daudi na Issa walikuwa Manabii wa Majini pia ?

Maana nje ya Biblia ushahidi upo wa kutosha kuwa Musa, Ibrahimu na Yesu Kristo walikuwa Manabii wa Watu tu.

Na hakuna Andiko la Waizraeri linalo kiri kwamba Mitume wao walikuwa Manabii wa Majini pia.
Quran 46:29 -32

Na wakati tulipo waleta kundi la majini kuja kwako kusikiliza Qur'ani. Basi walipo ihudhuria walisema: Sikilizeni! Na ilipo kwisha somwa, walirudi kwa kaumu yao kwenda kuwaonya.

Wakasema: Enyi kaumu yetu! Sisi tumesikia Kitabu kilicho teremshwa baada ya Musa, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake, na kinacho ongoza kwenye Haki na kwenye Njia Iliyo Nyooka.

Enyi kaumu yetu! Muitikieni Mwenye kuitia kwa Mwenyezi Mungu, na muaminini, Mwenyezi Mungu atakusameheni, na atakukingeni na adhabu chungu.

Na wasio mwitikia Mwitaji wa Mwenyezi Mungu basi hao hawatashinda katika ardhi, wala hawatakuwa na walinzi mbele yake. Hao wamo katika upotovu ulio dhaahiri.
 
Unaweza kutoa ushahidi nje ya Quran na Hadithi zake kuwa Musa, Daudi na Issa walikuwa Manabii wa Majini pia ?

Maana nje ya Biblia ushahidi upo wa kutosha kuwa Musa, Ibrahimu na Yesu Kristo walikuwa Manabii wa Watu tu.

Na hakuna Andiko la Waizraeri linalo kiri kwamba Mitume wao walikuwa Manabii wa Majini pia.
Quran 46:29-32

ALLAH anaelezea habari kuwa majini walipita jangwani wakamkuta Mtume s.a.w akiisoma Quran kwa wanafunzi wake, wakaisikia na wakajiunga kuyasikiliza yale maneno kisha wakagundua kuwa ni maneno yanayosadikisha yaliyopita kwenye kitabu cha Musa a.s waliamini kisha wakarudi kwa mataifa yao kwenda kuwapelekea habari juu ya yale waliyoyasikia na kuwaonya kuwa wamwamini Mtume wa Mwenyezi Mungu.
 
Hujajibu kabisa maswali yangu niliyokuuliza.

Unataka kusema Musa na Ibrahimu walikuwa Mitume wa Majini pia kama Muhammadi?

Unataka kusema Majini nao walitumia mafundisho ya Vitabu vya Torati na Zaburi na Injiri ?
Ndio majini walitumia mafundisho ya Tawrat, zabur, injili na Quran

Ushahidi soma Quran 46:29-32
 
Thin Tisha uwepo wa uislamu kabla ya Muhamad
Quran 42:13

Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye.


 
Ndio majini walitumia mafundisho ya Tawrat, zabur, injili na Quran

Ushahidi soma Quran 46:29-32
Shida ni kuwa habari hizo zinapatikana kwenye vyanzo vya dini ya Kiislamu tu.

Sasa mtu kama sio Mwislamu ataziamini vipi ?

Ni Allah anazungumza basi.

Na zimeanza kusikika wakati wa Muhammadi.

Hakuna habari za Majini kuwa na Dini wakati wa Ibrahimu wala wakati wa Musa wala wakati wa Daudi wala wakati wa Yesu Kristo. Kwenye vyanzo vya Waisrali ambao Mitume wao walihudumu.

Hapa namaanisha kuwa lazima Waisraeli wangeandika kwamba Mitume wa kabila lao waliamriwa pia kuwahubiria sheria za Mungu pia na Majini ingawa Majini hawakutii.

Vitabu vya Historia ya Wayahudi havielezi popote kuwa Mitume wa Kiisraeli, kuwahubiria Dini yoyote ile Majini.

Kwahiyo habari hizo ili mtu aziamini ni lazima awe Mwislamu, na azisome kwenye vyanzo vya Kiislamu Tu.

Hapo ndipo penye changamoto.
 
Shida ni kuwa habari hizo zinapatikana kwenye vyanzo vya dini ya Kiislamu tu.

Sasa mtu kama sio Mwislamu ataziamini vipi ?

Ni Allah anazungumza basi.

Na zimeanza kusikika wakati wa Muhammadi.

Hakuna habari za Majini kuwa na Dini wakati wa Ibrahimu wala wakati wa Musa wala wakati wa Daudi wala wakati wa Yesu Kristo. Kwenye vyanzo vya Waisrali ambao Mitume wao walihudumu.

Hapa namaanisha kuwa lazima Waisraeli wangeandika kwamba Mitume wa kabila lao waliamriwa pia kuwahubiria sheria za Mungu pia na Majini ingawa Majini hawakutii.

Vitabu vya Historia ya Wayahudi havielezi popote kuwa Mitume wa Kiisraeli, kuwahubiria Dini yoyote ile Majini.

Kwahiyo habari hizo ili mtu aziamini ni lazima awe Mwislamu, na azisome kwenye vyanzo vya Kiislamu Tu.

Hapo ndipo penye changamoto.
Moja ya kiashiria kuwa Suleiman alikuwa amepewa uwezo wa kuwatumikisha majini ni katika ujenzi wake wa msikiti wa baytul maqdis

Soma kitabu cha 1 wafalme 6:7
 
Shida ni kuwa habari hizo zinapatikana kwenye vyanzo vya dini ya Kiislamu tu.

Sasa mtu kama sio Mwislamu ataziamini vipi ?

Ni Allah anazungumza basi.

Na zimeanza kusikika wakati wa Muhammadi.

Hakuna habari za Majini kuwa na Dini wakati wa Ibrahimu wala wakati wa Musa wala wakati wa Daudi wala wakati wa Yesu Kristo. Kwenye vyanzo vya Waisrali ambao Mitume wao walihudumu.

Hapa namaanisha kuwa lazima Waisraeli wangeandika kwamba Mitume wa kabila lao waliamriwa pia kuwahubiria sheria za Mungu pia na Majini ingawa Majini hawakutii.

Vitabu vya Historia ya Wayahudi havielezi popote kuwa Mitume wa Kiisraeli, kuwahubiria Dini yoyote ile Majini.

Kwahiyo habari hizo ili mtu aziamini ni lazima awe Mwislamu, na azisome kwenye vyanzo vya Kiislamu Tu.

Hapo ndipo penye changamoto.
Habari za majini ni habari za ulimwengu wa ghaibu (unseen) , ni ufunuo kutoka kwa Mungu pekee. Mwenyezi Mungu amewaelezea kupitia Quran na hadith vizuri sana.
 
Habari za majini ni habari za ulimwengu wa ghaibu (unseen) , ni ufunuo kutoka kwa Mungu pekee. Mwenyezi Mungu amewaelezea kupitia Quran na hadith vizuri sana.
Ndio maana jamii isiyokuwa ya Kiislamu haiamini hizo habari.

Maana kwa mfano,
habari za Yesu Kristo.
Wabudha wa India hawawezi kuziamini kwa kusoma Biblia tu na Hadithi zake.

Ili kuamini kwanza wanazitafuta katika vitabu vya historia ya Waisraeli, na si hivyo tu wenye uwezo wanafunga safari hadi Israeli ili kuthibitisha.
Huyu mtu alikuwa Nabii ni
Mwisraeli kweli
Je alizaliwa kijiji cha Nazareti kweli
Je alihubiri Injiri kweli
Je alisulubiwa Msalabani kweli
Je Alikufa kweli

Sasa habari za Majini na Dini hazipatikani popote zaidi ya kwenye vitabu vya Dini moja tu ya Kiislamu.

Mimi Msomi asiye Mwislamu nitaziamini vipi.
Kwakuwa huku kwenye Elimu ya Kidunia hakuna hizo taarifa.

Na kama hakuna basi hata ukweli wake ni wa kutiliwa mashaka.
Maana anaye zieleza ndio huyo huyo tu anayezithibitisha.

Hivyo zinakosa mashiko ya kuaminika.
 
Habari za majini ni habari za ulimwengu wa ghaibu (unseen) , ni ufunuo kutoka kwa Mungu pekee. Mwenyezi Mungu amewaelezea kupitia Quran na hadith vizuri sana.
Sasa Waisraeli si Wangethibitsha kuwa Mitume wao akina Musa waliagizwa kuwahubiria Torati na Majini pia. ?

Wangeeleza kuwa÷

"Kijana wetu Musa Mungu wake alimwagiza aitangaze Dini yake na kwa Majini pia"

Au ilikuwa ni siri ya Musa tu basi.
 
Vita Vilifundishwa Na Bwana Na Yeye Ndie Halalisha Mauaji Ya Binadamu Wasio Kuwa Waisrael..


awaambie, Sikizeni, enyi Israeli, hivi leo mwasongea mapiganoni juu ya adui zenu mioyo yenu na isizime; msiche, wala msiteteme, wala msiingiwe na hofu kwa ajili ya wao; Kumbukumbu la Torati 20:3

Msiogope, wala msifadhaike. Kesho tokeni mwende mkawakabili, naye Bwana atakuwa pamoja nanyi.’ ”

Na ahimidiwe Bwana, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana. Zaburi 144:1
Nimeshakwambia jua kwanza dini yako ndio uje uandike , huyu hapa allah anawaamrisha wasirudi nyuma wakapambane na majabari mpaka wachukue nchi ya wa palestina
Koran 5:21 Enyi watu wangu! T'iini amri ya Allah. Ingieni ardhi takatifu aliyo kujaalieni Allah muingie, wala msirejee nyuma kuwaogopa hao watu wake majabari, mkaja kukosa nusura ya Allah na radhi zake.
 
Afisa tabibu, mwanamke ana uwezo wa kuvumilia kuliko mwanaume. Ndio maana unaona vifa vya baba kumparamia mwanae! Umeshaona mama kumparamia mwanae wa kiume?
Sio mama kwa mwanawe tu ila pia sijawahi kuona wala kuskia mwanamke akimbaka mwanaume
 
Back
Top Bottom