Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Upinzani ulikuwepo japo mwendazake aliupunguza kasi ila kwa kinachofanyika sasa ni kuufifisha kwa maridhiano, sioni mpinzani wa kuchuana vikali na SSH 2025.kumbe ulikuwepo upinzani na ile hoja kuwa hakuna upinzan ulishakufa unasemaje au unakufa mara nyingi nyingi.
Kwisha habari yao...
Sasa hivi hawana tofauti na Prof wa Uchumi, au Rangi ya zambarau kamw sio Mzee Momose...
Una weza kutoa mifano kibao kushadihisha hili
Kifo cha mende, Chaliii. kwa sauti Prof wa Uchumi
Mama hatumii nguvu kuwakamata, anawarushia mtama wanaingia wenyewe kwenye tundu.π€£π€£π€£
Kwani hayo mateso walikuwa wanayapata kwa kutokukubali mariadhiano?Uhafidhina uko pande zote, kuna wanao faidi na siasa za marubano na mateso lazima wapinge maridhiano hayo......
Lazima wamezwe hakuna namnaKwa maoni yangu....Upinzani una, na ina maana ya upinzani wa Sera na Hoja za sera hizo.
CCM ina sera na imezijengea hoja katika ilani yao.
CHADEMA wana listi ya mbinu za kufanya Uharakati. Haina Sera wala hoja.
Kwa nini usimezwe! ngaaa' mu!
Masoud kuna kipindi aliwekwa kati na mwenda zake almanusura wamuweke kwenye kiroba. Alipotoka alikuwa mpole sana
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Huo mkono mmoja uliobaki nje manake ni CHADEMA
Yaani kama wale vidono aka kuku wa punjeMama hatumii nguvu kuwakamata, anawarushia mtama wanaingia wenyewe kwenye tundu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πUzi wa Crocodile na mada yakeAre you ready to be swallowed?"mwanangu" View attachment 2542545
Am ready!, swallow me! If you can, it's up to you!
View attachment 2542549
Am happy, at now, so that I can smile!, happy! happy! happy! View attachment 2542598
Imekolea baada ya kummeza πππKijani kama kijaniπππ
View attachment 2542573
*CCM and its leaders are like a green mamba snake that can cross from one branch of the tree to another very smoothly in search of prey. The green mamba can be able to mingle around with any creature including the nightingale bird, but when a bird starts biting a green snake on the head, mouth, eyes, tail, or head very quickly, it will be hit and released its poison that kills the nerves and stops the heart from working, eventually inflicts death.Are you ready to be swallowed?"mwanangu" View attachment 2542545
Am ready!, swallow me! If you can, it's up to you!
View attachment 2542549
Am happy, at now, so that I can smile!, happy! happy! happy! View attachment 2542598
Nyie ndio mlikuwa wanufaika wa mshike mshikeHaya sio maridhiano bali ni mmoja kakubali kuungana na watesi wake ili asiendelee kuteseka.......wanaoridhiana ni wale wanaotoshana nguvu na kuamua kuleta amani.......
""Urafiki ni njia nzuri na salama zaidi ya ku crack upinzani kuliko, uadui au jinsi alivyokuwa anafanya mwendazake, "HAPA TUNAJIFUNZA HEKIMA FULANI TOKA KWA MPENDWA WETU MH. RAIS DR. SAMIA"*CCM and its leaders are like a green mamba snake that can cross from one branch of the tree to another very smoothly in search of prey. The green mamba can be able to mingle around with any creature including the nightingale bird, but when a bird starts biting a green snake on the head, mouth, eyes, tail, or head very quickly, it will be hit and released its poison that kills the nerves and stops the heart from working, eventually inflicts death.
Hayo ni maoni yake binafsi, sasa msichanganyikiwe kucomment as if ni unabii toka mbinguni, ni view yake na mwingine pia anaweza kuwa na view tofauti. Ndicho maana wapo CCM wanaoona mama anainufaisha Chadema hivyo hawataki maridhiano na upande wa pili. Wapo wapinzani wanaoona Mbowe anawanufaisha CCM (kama huo mtazamo wa kipanya) hivyo hawataki maridhiano. Na jana walitambulishwa kama (wafaidhina).Are you ready to be swallowed?"mwanangu" View attachment 2542545
Am ready!, swallow me! If you can, it's up to you!
View attachment 2542549
Am happy, at now, so that I can smile!, happy! happy! happy! View attachment 2542598
Raia wengi uelewa wao ni mdogo sana, inahitaji nguvu na akili ya ziada bila kusahau uvumilivu kuwabadili kimawazo, bila kusahau wanasiasa wengi wako hapo kuvimbisha matumbo yao.Raia wa Tz wali msariti mbowe kwa miezi 9 alio kaa jela bila mandamano au mgomo, hana jinsi bora aungane nao, raia wenyewe anao pigania hawaeleweki na ni waoga.
huwezi kuwa mwanasiasa halafu ukaogopa maneno, ganya lile lenye maslahi kwako wanaosema na waseme, hawa waswahili husema mwamba ngoma huvutia kwake,hvyo hizo ni sarakasi za kawaida kwenye siasaIngelikuwa ni chama kingine ndicho kimemwalika mwenyekiti wa ccm kwenye shughuli yao, hayo maneno sasa... Mfano ingelikuwa ni ACT, ila kwakuwa ni wao basi wanasems ni mbinu ya kisiasa.