HahahahaAfadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..
Mie nilimtwanga kofi moja [emoji3] tu,Afadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..
Mwanakulitafuta mwanakuliptaTatizo limeanzia kwako,inakuhusu nini mpaka uulizie eti rafiki yake kwanini hajaolewa? hilo jibu amelitoa coz amekudharau,ungekua upo serious na mambo yako asingethubutu kukutolea hiyo kauli,alijihisi kama anaongea na mtu mbea anayefuatilia maisha ya watu ndio maana akawa na confidence ya kukujibu hivyo.
Mhhhhhhhhhhhhhhhh?¿?????¿¿¿Afadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..
Mie nilimtwanga kofi moja [emoji3] tu,
Alipoteza faham,, nilianza kujuta kwa nn nimemtwanga lile kofi,, alivokuja kuzinduka ananiuliza kimetokea nn? Nikamjibu Twende tukalale ntakwambia kesho,
Aiseeh alideka sijapata ona,, ikabidi kesho yake niende shop kumnunulia zawadi,,
Siku hizi muoga kweli,, akinichefua anakaa mbali mita 2,
Wenzie huwa wanamcheka wanamwambia "SI ULISEMA 1 KUSH NI MPOLE?"
Kumbe aliwasimulia mashosti,
Mhhhhhhhhhhhhhhhh?¿?????¿¿¿
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliUnampa jibu unamwacha apambane nalo mwenyewe.
Mwana kulifind, mwanakulipata.
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Afadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..
[emoji1787][emoji1787] kumbe ndiyo wewe uliyetuwakilisha vyema aiseeNakunywa savanna mamy niagize????
Afadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..
Kwa Sauti ya kisukuma " msiwege mnaoa"Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu
"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"
Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Kesho ataongea mengine,ukiyaweka kichwani maneno ya wanawake utakuwa chizi.Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu
"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"
Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Mwanamke ni kumpiga mimba mpaka usichana unaisha kumekucha ashazeeka mnabaki kusomesha
Hivi mtu anayeamua kuwa sasa mimba inaingia ni mwanaume kumbeKabisa.
unamuweka bize hata hafikirii mengine ni mimba bampa to bampa, mkimaliza hatamaniki kwa mtu, jua limezama!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] anamaanisha bado hajaolewaAfadhali yako wewe,.mimi Kuna siku tunaangalia muvi,..Basi mwanamke akapigwa Kofi na mumewe..yeye akaropoka kuwa nikiolewa Mimi mume akinipiga hivyo narudi kwetu..nikasema huyu kajisahau kuwa kaolewa au anajua anaishi na Jini..