Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Akimwaga mboga wewe unabomoa jikodah,ila inauma kwani ni lazima kila kitu uongeee jamani,hali hiyo huwapata watu wengi ila unakaa kimya
mwambie hivi hata mi nashangaa ilikuwaje nikakuoa au uliniwekea limbwata?
by the way haya maisha ukiwa serious sana utapoteza kila kitu emu mpuuzie yawezekana ni hasira au nawe umekuwa ukimsumbua,mpotezee tu
Umemaliza..mjadala ufungwe.Siku hizi imekuwa kawaida kwa vijana kuja kuweka hadharani mijadala wanayofanya na wake zao wakiwa vyumbani mwao halafu wanakuja kutaka maoni ya akina sisi ambavyo hayatuhusu na wala hatujui mambo yanaendelea vipi huko nyumbani. Ni sawa na mtu kukuonyesha clip ya mjadala halafu anataka maoni yenu.
Hivi hii dunia ya kisasa ikoje? kwani mpaka kila siri ya nyumbani uilete kwenye mitandao kwa mjadala? Matokeo yake unaambia 'huyo hakufai', 'mwache' ... kitu ammbacho kinakufanya uchanganyikiwe wakati pengine bado unampenda mwenza wako.
Imefika muda sasa tuone madhara ya haya mambo na kuwa na umakini nayo.
Sijaonaa tatizo Sana kwenye hiyo kauli kiasi Cha mtu kuvunja ndoaaa...yawezekana kbsaa muktadhaa wa mazungumzo yenu uliruhusu kutokea kwa hayoo manenoo...get cool maisha lzma yaendeleeee jamani..Hivi mnafikiri mtaacha wangapii?...Dunia hii mkamilifuu hayupooo kila mmoja ana mapungufuuu yakeee🙌🙌take a heart brooo maisha lzma yaendeleeee
Hizi si ID fake?Mtu anaitwa EDWARD JOHN bado unataka kulazimisha awe Muslim
Okay sawaaaWe endelea kuishi na wakwako, kwa kauli nyingine kamwambia "I was desperate ndo maana nilikukubali"
Ilikuwaje mkuuuBinti ukimtoa kijijini kumpeleka mjini hayo ndio matokeo.
Muulize Professor J kilichompata! 😀
Kichaaa apeleke kwao sio kwangu.Ni kweli kakosea kusema haya maneno lakini aliyasema kwenye mazingira gani? Kama kumekuwa na ugomvi baina yenu na hakuna amani kabisa ni sahihi wewe kuiona kama red flag. Lakini kama kumekuwa na amani baina yenu..na ni mke mwema kwako dont overthink hiyo maneno alosema....itakuondolea raha.
Ukiwa mtu wa kuanalyze kila neno, tendo, decision, choice za your partner..mke ama mume, utakuwa mtu wa hasira sana moyoni, uchungu utapata kao katika maisha yako. Jifunze kupuuzia mambo..ili uwe na amani. Ukiwa na amani, utaweza kufanya kazi zako vizuri..as long as anafanya majukumu yake kwako na watoto na familia kwa ujumla, potezea hiyo statement.
Wanawake kuna muda kuna kama kakichaa huwa tunacho. Na kila mwanamke hakosi haka kakichaa..sema tu inategemea kitatokaje, mwingine kwa kuongea maneno yasiyo na idadi, mwingine kwa kuropokwa kwa nguvu, mwingine kwa kwenda kupeleka poonani nje anyooshwe ili akili imkae sawa, mwingine alewe mpaka apelekwe nyumbani, mwingine kwa kutukana matusi makubwa, mwingine kwa kulia sana kwa uchungu.na mwingine kwa kuondoka nyumbani kwake, kibaya kuna mwingine mpaka aone damu au mme wake kazimia au kaumia ndo na yeye atatulia.
Sasa kwenye uchumba si rahisi sana kuyaona haya..hata kama mmedate miaka mitano sijui mkaishi pamoja..kuna kale katabia ama kakichaa katajificha, sasa isitokee mkaoana maana si utaona "ooh huyu nimemjua vizuri nishajua madhaifu yake yote na anafit kuwa mke wangu unaoa"...hahaahahaha...mambo ndo yanakuwa yananoga..wapare wanasema yanora. Utaanza sasa kuona zile rangi. Kwaiyo aso hili ana lile. Pima mwenyewe!!
Tafuta wimbo wa Professor J unaitwa 'Nikusaidieje' halafu usikilize.Ilikuwaje mkuuu
Hakuna haja ya mimi kuandika comment wakati ushamaliza kila kituAnamaanisha wewe sio type yake