Kauli hii ya mke wangu ina maana gani?

Mbona kasema ukweli wa kawaida tu Mkuu. Na wewe ilitakiwa uweke utani hapo umsome vizuri sio kinyonge ungejua zaidi.

Labda ulimpata coz alikuwa akitoka job anarudi home hana mishe mishe ila kwa Dar anaona anaweza kuwq na mishe mishe zaidi akawa bize ambapo msingeonana kirahisi.

kiuhalisia maisha ya mkoani ni tofauti sana na Dar, mkoani mtumishi akitoka job saa 9 na nusu hawezi kufanya biashara ikaleta hesabu zuri ila kwa Dar hata ukitoka job saa 12 bado unaweza ukafungua biashara yako ukafanya hadi saa sita usiku watu wapo

Labda angekuwa bize sana kama angekuwa Dar tangu mwanzo hivyo msingeweza kuonana na hata kuoana.
 
Akimwaga mboga wewe unabomoa jiko
 
Umemaliza..mjadala ufungwe.
 
Mke wako inaonekana ni rafiki yako mnaongea kila kitu nothing wrong apo ila be alerted
 

We endelea kuishi na wakwako, kwa kauli nyingine kamwambia "I was desperate ndo maana nilikukubali"
 
Akili kumkichwa!! Kaa kijeshijeshi muda wowote kinanuka!! Backup iwe karibu mkuu.
 
Binti ukimtoa kijijini kumpeleka mjini hayo ndio matokeo.

Muulize Professor J kilichompata! 😀
 
Overthinking kills Brother,maisha baada ya hiyo kauli yapoje..tabia ya mkeo iko vipi? kuna tabia mpya ambayo hakuwa nayo mwanzoni ameiibua! As a man you need to be emotional strong, base with important fact..Yamkini aliongea hayo mkiwa mnabonga story za hapa na pale mwamba ukaichukulia serious!
 
Kichaaa apeleke kwao sio kwangu.
 
Acha kuzunguka ulitakiwa kumuuliza hapo hapo "unamaanisha nini?" sio kukaa na maswali moyoni uanze kujiuliza pasipo majibu.

Ningekua mimi ningemuuliza unamaanisha nini bibie, aseme anachotaka kama mimi sio mtu wa kumfaa akafie mbelee huko daaadeki😂
 
Kwa kweli Profesa Jay aliimba uhalisia uliopo katka jamii ....mkuu huyo kashakuwa mjanja
 
Nadhani ukiwa mbinga hadhi yako ilionekana kuwa juu. Sasa kaja DSM anaona wadosi wengi..watu wana makumba na magari ya kifahari, wanakula bata...anatamani kama angekuwa na yeye hivyo....anadhani kiwa angekuwa Dar angeweza kuolewa na mmoja ya hao ma don.

Usichanganyikiwe wala usijisikie vibaya. Wanawake ni watu wa kufanya comparison, wanapenda kulinganisha maisha yao na ya wengine...hawaridhiki na maisha kwani wao hupenda mashindano na kujionyesha.

Na wakati mwingine wana kauli za kuudhi..kama hizo ambazo huwa wanaropoka bila kujua madhara yake...

Utasikia, wewe naye ni mwanaume...wakiita wanaume na wewe utaenda...huna akili, angalia wenzako wenye akili wanavyofanya....n.k. Maneno kama haya ni kawaida sana sana..hata uwe umefanikiwa kiasi gani bado watakulinganisha na walio kuzidi na kukutolea maneno.

Wala usipaniki kila mwanaume anapitia unanyanyasaji huo..hadi tumezoea. Isikuumize kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…