Kauli tatu za ajabu sana Tanzania kuhusu vifo vya viongozi

Chuki si kwa kuwa watu walizoea kuendelea kula kww mriji kufisadi Mali za umma bila kuulizwa kwa hiyo ww ulitaka tuendelee kuwa na watu wenye vyeti feki , .hata hii. Katiba mpya haitakuwa na maana kama haitasimamiwa ipasvyo .bure kiongozi anayechukua maamuzi kuliko asiyechukua maamuzi
 
Wewe ni kiazi usiyejua chochote hata historia ya miaka kumi tu ya taifa lako

Unaijua chuki ya team Kikwete vs team lowassa

Unajua kwanini membe alishindwa kupenya kuwagombea wa CCM 2015

Unajua nani alimuuwa Deo Filikunjombe

Nani alimujwa Dk Mvungi

Sumu ya Kubenea

Dk wa muhimbili

Mabomu ya orasiti

Next time jaribu kuwa na akili timamu mjinga mmoja wewe

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makamba alionesha chuki kubwa sana siku ile hata alisahihisha sisi tunaona dhamira mbaya ya moyo wa mzee makamba

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Mungu kaamua ugomvi
2. Watu wazuri hawafi
3. Keshaanza kuoza.

Naona kama vile kauli hizi zitatutesa sana kwenye umoja wetu kama taifa huko tuendako.
Hato simama tena
 
Ninapata shida sana kuandika kana kwamba ninamkingia kifua mtu yeyote hapa, hasa kwa mtu/kiongozi anayelengwa zaidi kwenye mada hii.

Lakini niseme tu kwa kifupi mkuu 'zitto junior'.
Hivi mtu kama Makamba, ambaye amekuwa kiongozi kwenye ngazi za juu ndani ya chama, anapotoa kauli kama hizi, kweli huo ndio uongozi wa kutegemewa katika nchi?

Hata kama anayosema ni ya kweli, kwa nafasi yake, huyu ni kiongozi wa kuyasema yale mbele za kadamnasi?

Hali ni hiyo hiyo, hata kwa akina Nape Nnauye sasa, hizi siyo kauli za kuzisema mbele ya kadamnasi hata kama kiongozi yule hakuwa na sifa ulizozitegemea wewe.

Inakuwa ni mbaya zaidi unapomzungumzia marehemu.

Mwisho: Kuna tofauti gani kati ya hawa watu na huyo wanayemsema kitabia? (sijui lolote kuhusu ukatiri wake aliokuwa nao, kama na wao wanao mwilini mwao).
 
Kuna watu bado wanaendelea kumnyooshea kidole Hayati Rais. R.I.P wakati wakijua fika kwamba yeye hakuhusika na hayo matukio, yaani hakwepo kabisa katika maeneo au eneo la tukio.

ila wanamsengenya kana kawaida wakati huo huo wanapandikiza vijineno(subtly) kana mtu alikuwepo na aliona Hayati alifanya hayo yote na mikono yake.

Hayo hayaniingii akilini, yaani kama picha inayowekwa iliyojaa na Dis na Misinformation katika karne hii Afrika ni Hili la Hayati J.P.Magufuli. Picasso hii hainunuliki!

Binafsi naelewa kabisa kwanini na kwa makusudi gani imekuwa hivyo, lakini kwa hatua tulizofikia-za kupata taarifa, inatupa Waafrika wakati mgumu kumeza uongo unaonekana dhahiri kubadilika kila wakati ikitokea nafasi hiyo,(kuna mfano huko juu)😂😅😌.

Tunaujua ukweli, tunaelewa hatuko nae na tunaelewa kila binadamu ana mapungufu yake, lakini sio kwa picha wanayojaribu kutuonyesha kana vile hatukuishi nae! Aisee alikuwa msiri kweli kweli kweli.(najiuliza).

Majibu mengi sasa hivi, tena baada ya taarifa zingine kubadilika bado yanaonyesha kuwa na majibu yale yale( a typical script) Mfano: kuunganisha kifo cha Akwilina na kutokujulikana alipo Ben Saanane kwenye sentensi moja- kana kwamba Ben amekufa? Aahhh tafadhali.

Naelewa hayo siyo kwaajili ya kizazi cha sasa(tunajua ukweli)bali ni cha baadae, na isitoshe ni kwaajili ya kulisha maneno Akili bandia zilizomwagwa kueneza na kusambaza Taarifa hizo. Nasema hivi kwasababu nimefanya Utafiti mwenyewe na nasema kwa Uhakika kabisa, AI ipo humu Jamvini.
....nisiboe
Maneno hayo ni hatari na yametumika kama silaha mbadala (after the facts)tena baada kama nilivyosema juu baada ya Taarifa nyingi(that suggested otherwise-exhonerated) kubadilika na wao kuja na mengine na attitude ya"hata viongozi wenu wamesema hivyo"
 
Unajiandikia tu.....
Hizo kauli zimetolewa na Chadema ?
Ishu ingekuwa ni Upinzani na Vyama vingi kama kauli zingetolewa na wapinzani.
Lakini wote tunajua hizo kauli zimetolewa na CCM kwahiyo mambo ya CHADEMA hayahusiki hapo.
Waliomwagiwa ugali wao ndio walitoa kauli chafu hizo.
Na pia tabia za hilo Genge linaloongoza hizo harakati za kauli za kejeli zinajulikana hata na mtoto mdogo.
 
Kirahisi tu hivyo?
Unaombewa radhi yanaisha?
 
1. Mungu kaamua ugomvi
2. Watu wazuri hawafi
3. Keshaanza kuoza.

Naona kama vile kauli hizi zitatutesa sana kwenye umoja wetu kama taifa huko tuendako.
Nawaza tu, hivi siku Mze Makamba akifariki viongozi wa serikali watafurahije maana huyu Mze ni mnafiki kupindukia.
 
Mungu ameamua ugomvi

Bahari imetulia

Haya yaliombwa radhi lini?

Hata hii ya wema hawafi kwa nini makamba mwenyewe hakuomba radhi kupitia media? Kwanini aombewe radhi wakati ana mdomo wa kusemea?
 
Wewe nawe ni jinga mmoja!

Unakumbuka sumu za Kubenea?
. Unakumbuka mabomu ya kurushwa kwa mkono kwenye mkutano wa chadema pale soweto arusha?

Unakumbuka dr ulimboka?

Unakumbuka Mwangosi?

Unakumbuka ugaidi wa Rwakatale?

Kwa nini mnakuwa mbumbumbu kiasi hiki?
 
Kauli za wenye chuki binafsi inakuaje mtu unafurahia kifo Cha mwenzio?
Hivi kwa mfano, Tundu Lisu waliotaka kumuuwa wangewekwa wazi kwa kila mmoja, SIKU WALIOMKOSA WAKIFA UNATEGEMEA ACHUKIE? UNATEGEMEA ASIFURAHI?

Sababu za kufurahi vifo vya wengine zipo nyingi..!!! Tatizo letu tunaangalia outcome na wala hatuhangaiki na source
 
Na kwa uhakika hizi shule za kata zimeuwa sana umoja ulioanzishwa. Zamani, kitendo cha mNgoni wa Songea kwenda kusoma Bukoba kwa wahaya huko, kulikuwa kuna msahaulisha ukinjeketile wake na kuwa diluted na uhaya, and hence wawili hawa wanafikia equilibrium ya mila na tamaduni. KILA MTU AKIBAKI KWAKE, TUTATENGANA SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…