Kwa makamba alitakiwa yeye makamba aje aombe msamaha na rais Samia alitakiwa amfukuze January kwenye uwaziri hata kama geresha ya miezi kadhaa. Unajua wenye kuamini ktk Dkt Magufuli waliona mama alifurahia hiyo kauliTokea JPM amefariki Kulikua na kashfa nyingi sana na Mama Samia aliwahi sema aachwe apumzike.... Same to kauli ya Makamba akasema amezeeka asamehewe!! In fact Makamba naye alimwambia Samia anaweza kufa before 2025!!!
Ila cha ajabu humu msamaha umesahaulika watu Bado wanabeba maneno ya Makamba. Embu tujifunze kutokua na chuki maadam waliomba radhi then we need to move on.
.... kitabu ulichojiandalia mwenyewe wakati wa uhai wako ndicho kitakachoamua nini kisomwe utakapokufa. Ukijiandalia kitabu chema, watasoma maandishi mema kwenye kitabu chako; lau ukijiandalia kitabu kibovu watasoma upuuzi kutoka katika kitabu chako mwenyewe!Kifo ni njia ya binadamu na viumbe wengine wote. Inakuwaje mtu anafurahia kifo cha mwenzie kwa sababu za kisiasa? Nape na Makamba hawataishi milele; wanaisubiri siku yao ambayo haiko mbali sana ambapo maneno yao hayo yatawarudia.
Aliwahi kusema atavunja viuno vya mashangazi wa Majaliwa ilihali walikua wanapitia changamoto za korosho. Au kusema wapinzani wakiandamana atawabomoa!! Tena akasema wakae mstari wa mbele kabisa.Kauli ya kawaida Sana hiyo Magufuli hakuwahi kutoa kauli ya kufurahia maumivu ya mtu.
Amfukuze January kwa kauli ya baba yake? Mbona Makonda hakufukuzwa kwa kutukana wachagga? More so aliombewa msamaha na Bashiru?Kwa makamba alitakiwa yeye makamba aje aombe msamaha na rais Samia alitakiwa amfukuze January kwenye uwaziri hata kama geresha ya miezi kadhaa. Unajua wenye kuamini ktk Dkt Magufuli waliona mama alifurahia hiyo kauli
Unataka nani alaumiwe kama siyo CCM? Acha wafu wazike wafu wao, basi.Na kwa uhakika hizi shule za kata zimeuwa sana umoja ulioanzishwa. Zamani, kitendo cha mNgoni wa Songea kwenda kusoma Bukoba kwa wahaya huko, kulikuwa kuna msahaulisha ukinjeketile wake na kuwa diluted na uhaya, and hence wawili hawa wanafikia equilibrium ya mila na tamaduni. KILA MTU AKIBAKI KWAKE, TUTATENGANA SANA
Hizo propaganda hakuna ukweli wowote wa alichokiandika.
Chuki za mafisadi juu ya mtu mwema magufuli mnataka watanzania wote tuamini hivyo.
Nguvu kubwa sana inatumika kuharibu haiba ya Mtukufu wetu, Mwamba, Jemedali, Simba wa yuda Magufuli kwa makusudi.
Ila watz WANAELEWA That is why hata wapinzani kwa sasa wanapuuzwa..
Mfano: Tukiwa wadogo tuliambiwa idd amin alikuwa joka mla nyama za watu baada ya kukua tumejua ukweli.
So propaganda kitu hatari sana
Kasome tena maana ya "Trash" inaoneka umesoma chini ya mti wewe kayumba original
Na kweli, maana ukipoteza hirizi, unaweza ukarudi kwa mganga kupata nyingine..!! Akifa sasa..!!Bora upoteze hirizi kuliko kufiwa na mganga.
Tunazunguzia kumsimanga Marehemu,wakati sisi wote ni Marehemu watarajiwa!ni swala la muda tu!!Baki na mavi yako nyumbani - John Pombe Magufuli, akiwa Magufuli Bus Terminal
Wa kulaumiwa hakuna mwingine zaidi ya CCM..!! Kujenga umoja wa kitaifa ni mchakato, is not a one time event..!! Tumesafiri sana kwa mabasi ya KWACHA, RAILWAY, TRAIN etc yote hiyo ilukuwa ni katika kujenga umoja wa kitaifa, na hasa kwenye kufuta ukabila na some how udini..!! Pale Ifunda Tech tulisoma na watu wanatoka Zanzibar na Mafia. Kwahiyo uunguja wake na some how uislamu wake unakuwa ule wa kupendana na muhehe na mkristo..!! Full stopUnataka nani alaumiwe kama siyo CCM? Acha wafu wazike wafu wao, basi.
Hapa marehemu hasimangwi, bali yanatajwa aliyoyatenda..!! Kwani mnapotangaza mnayoyaita mazuri yake, nanyi mnamsimanga? Ni utaratibu ule ule tu wa kuiita sepetu kuwa ni sepetu na si kijiko kikubwaTunazunguzia kumsimanga Marehemu,wakati sisi wote ni Marehemu watarajiwa!ni swala la muda tu!!
Mzee Makamba kwa umri wake alipaswa kuwa na busara na hekima na hakupswa kuombewa msamaha na mtu ambaye kifikra na kiumri ni mdogo kwake. Na Makamba ule msamaha alipaswa aombe yeye mwenyewe hata kama nikinafiki mbele ya Jamii aliyoikosea.Ila cha ajabu humu msamaha umesahaulika watu Bado wanabeba maneno ya Makamba. Embu tujifunze kutokua na chuki maadam waliomba radhi then we need to move on.
Wwe utasemaje Marehemu asimami tena wakiti hilo linajulikana hata na Mtoto mdogo,au ana ozaa huko, wakati unajua kabisa maiti kuoza ni Jambo la kawaida! Kama hayo siyo Masimango kwa Marehemu ni Nini!!??Hapa marehemu hasimangwi, bali yanatajwa aliyoyatenda..!! Kwani mnapotangaza mnayoyaita mazuri yake, nanyi mnamsimanga? Ni utaratibu ule ule tu wa kuiita sepetu kuwa ni sepetu na si kijiko kikubwa
Unapomsifia anakuwa haozi?Wwe utasemaje Marehemu asimami tena wakiti hilo linajulikana hata na Mtoto mdogo,au ana ozaa huko, wakati unajua kabisa maiti kuoza ni Jambo la kawaida! Kama hayo siyo Masimango kwa Marehemu ni Nini!!??
Dhalimu ndio alivunja umoja wa taifa hili. Ni vyema Mungu aliingilia kati.1. Mungu kaamua ugomvi
2. Watu wazuri hawafi
3. Keshaanza kuoza.
Naona kama vile kauli hizi zitatutesa sana kwenye umoja wetu kama taifa huko tuendako.
Ukipanda ubaya utavuna ubaya.Wwe utasemaje Marehemu asimami tena wakiti hilo linajulikana hata na Mtoto mdogo,au ana ozaa huko, wakati unajua kabisa maiti kuoza ni Jambo la kawaida! Kama hayo siyo Masimango kwa Marehemu ni Nini!!??
Ndiyo mvumilie Sasa,ni zamu yenu kuvuna ubaya Sasa,baada ya Membe kudondoka!!!Ukipanda ubaya utavuna ubaya.
Dullah anamuombea msamaha abdallah........Amfukuze January kwa kauli ya baba yake? Mbona Makonda hakufukuzwa kwa kutukana wachagga? More so aliombewa msamaha na Bashiru?
Mama alipinga kauli pale pale na akasema Makamba ameteleza mdomo!! Sasa Cha ajabu watu msamaha wanapotezea Bado wanatembea na kauli ya mwanzo.
Sidhani kama tutasonga mbele tukiendelea kubeba chuki na kusahau msamaha.
Ila aliwai kutoa kauli iliosababisha maumivu ya mtuKauli ya kawaida Sana hiyo Magufuli hakuwahi kutoa kauli ya kufurahia maumivu ya mtu.
Hiyo kwake haikuwa chuki bali chuki kwa mujibu wake ni mafisadi kubinywa, wenye vyeti feki kuondolewa kaziniWewe ni kiazi usiyejua chochote hata historia ya miaka kumi tu ya taifa lako
Unaijua chuki ya team Kikwete vs team lowassa
Unajua kwanini membe alishindwa kupenya kuwagombea wa CCM 2015
Unajua nani alimuuwa Deo Filikunjombe
Nani alimujwa Dk Mvungi
Sumu ya Kubenea
Dk wa muhimbili
Mabomu ya orasiti
Next time jaribu kuwa na akili timamu mjinga mmoja wewe
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasemaga Kasekaseka kalilalila !! Ukichekacheka baadaye utalialia !! Walioamua kuzifanya siasa kuwa kama uadui itabidi waende wakatubu mapema kabla dhambi hii haijaanza kuwatafuna wao wenyewe !!1. Mungu kaamua ugomvi
2. Watu wazuri hawafi
3. Keshaanza kuoza.
Naona kama vile kauli hizi zitatutesa sana kwenye umoja wetu kama taifa huko tuendako.