SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Toa borito kwenye mimacho yako kwanza.Aliufyata mhutu hadi leo hii nchi imetulia
Hivi kuna mtu yeyote yule humu JF ambaye ana kauli chafu zaidi ya ID hii ya mmawia?
Nawaza tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa borito kwenye mimacho yako kwanza.Aliufyata mhutu hadi leo hii nchi imetulia
Sidhani kama unaelewa kwanini pae sio sehemu stahilki ya kutaja!Lema ni coward. Kama amemtaja Makonda kwa jina alipaswa aseme alichoambiwa na huyo Makonda walipokutana. Kukataa kusema nu kuzidi kuruhusu speculations zisizo na maana.
Heda ndio nini?Wewe kwanza hata hujui kiswahili. Mkimbizi wa MsumbijiKatoka heda
Unauliza vumbi stoo ya mkaaMakonda yawezekana hata fellas0wenzake ndani ya ccm hawampendi.
hatari sana. Basi hata teuzi yake ni ya kimkakatiUnauliza vumbi stoo ya mkaa
Uovu/ubaya unakuwa CV ya mtu!Mbunge wa zamani wa Arusha juu ya Makonda inafikirisha sana na kuogofya.
Nafikiri mh Lema anajiamini sana kupitiliza kwenye taifa linalo on ongozwa na ccm.
Naomba tumsikilize kwa makini alafu tujadili.
View attachment 2886672
Kwahiyo tuache kujadili hoja,tumuweke Lema na kaka yake kati,tuanze kuwajadili?Hivi Lemma amemaliza kulipa madeni yake? Karibu benki zote zinamdai wakati akiwa ughaibuni, na nyumba zake Dar na Arusha ilikuwa zipigwe mnada.
Pia alimponza kaka yake aliyekuwa akimiliki Villa Park Mwanza mpaka akafungiwa. Aliigeuza Villa Park ofisi ya Chadema ya Mkoa, wakati Villa Park alikuwa kapanga katika eneo la CCM.
Walifikiri kwa kuwaajiri hawa mafashisti wa Ulaya ku propagate propaganda zao za majitaka, zitawasaidia na zitawaweka Madarakani. Hola!Chadema acheni ujinga, maneno mengi tangu 2015 mpaka leo ni yale yale! Ni ujinga tu
Mbunge wa zamani wa Arusha juu ya Makonda inafikirisha sana na kuogofya.
Nafikiri mh Lema anajiamini sana kupitiliza kwenye taifa linalo on ongozwa na ccm.
Naomba tumsikilize kwa makini alafu tujadil
Sema majambazi ndo hayampendi Makonda.Na ndo maana hayaishi kumsemea UONGO.Nasema MUNGU endelea kumlinda Konda boy.Makonda hapendwi na Watanzania wengi sio Lema tu
Lema ni bonge la kiongoziSidhani kama unaelewa kwanini pae sio sehemu stahilki ya kutaja!
Ungekuwa mpembuzi na muelewa ungejua, kwa wenye akili tungemshangaa kama angesema!
Bravo Komredi Lema, nilipenda sana ongea yako na mpangilio wako, hakika wewe ni kichwa!
Kuna mambo mengi kumhusu huyo jamaa hujayajuaSema majambazi ndo hayampendi Makonda.Na ndo maana hayaishi kumsemea UONGO.Nasema MUNGU endelea kumlinda Konda boy.
Lema ni mtu mjinga na wa ovyo tu. Mtu mnamuona nyie mbaya kwa kua amedhuru maslahi yenu binafsi ya kifisadi. Mnamzushia uongo wa mauaji na ukatili bila ushahidi wowote. Mahakama zipo mbona hawaendi kumshitaki ili afungwe. Kipi wanaogopa. Mama kawapa fursa kumshitaki sabaya kwa kua na yeye na wao ni kitu hikohiko lakini mbele ya haki wameangukia pua. Na kwa makonda wakishitaki ni hayohayo tu maana ni uzushi tu dhidi ya mtu anayetetea maslahi ya umma na kutetea wanyonge.Mbunge wa zamani wa Arusha juu ya Makonda inafikirisha sana na kuogofya.
Nafikiri mh Lema anajiamini sana kupitiliza kwenye taifa linalo on ongozwa na ccm.
Naomba tumsikilize kwa makini alafu tujadili.
View attachment 2886672
Star TV ni TV ya uchochoroni? Dah hujui kama inamilikiwa na kada mtiifu wa CCM mwenyekiti mstafu wa mkoa wa mwanzakumbe ni tv za uchochoroni, ningetembea uchi Mvuti mpaka Tabata kama ingekuwa ni TBC
🦎 😌😂😂😂😂😂😂Kajinyonge basi