Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Chadema hamlali, ukishika pale nchale ukishika kule nchale... Jeshi la mtu mmoja mpo hoiMbunge wa zamani wa Arusha juu ya Makonda inafikirisha sana na kuogofya.
Nafikiri mh Lema anajiamini sana kupitiliza kwenye taifa linalo on ongozwa na ccm.
Naomba tumsikilize kwa makini alafu tujadili.
View attachment 2886672