Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Yani una ndugu kigogo halafu waendesha bajaji?😂🤣only in bongoR.I.p kanali.............
Inavyosemekana dereva bajaji anaundugu na kigogo mkubwa tu hapa bongo.....so ngoma inaenda kua drooo........waswahili wanasema ukiyajuaaa ya mbele wenzako wanajua ya nyuma....
Na uyo kigogo kasema dogo asiguswe hata na kidole ataua mtu............
Labda ila watampa kichapo heavyWatamdedisha tu
Hawa boda na bajaj wabadilike kuna wengine jambo dogo tu wanalifanya linakuwa kubwa sijui ni uelewa mdogo. Na silaha wanazipenda sana wengine wanatumia kufanya uhalifu kwa mteja hasa nyakati za usiku.Acha yamkute Bangi, Ushamba na kutaka Sifa za Kijinga kwa Wana ( Washikaji ) Kijiweni zimemuongoza vibaya.
Umeelezea vyema kabisa na kutoa Ushauri mkubwa na wa Thamani mno ambao naomba kila Mtu auelewe na auzingatie kwa Usalama wake.Madereva wa bodaboda na daladala wengi ni wavuta bangi. Na bisibisi ni silaha yao pendwa. Ikiwezekana epuka kuzozana nao.
Kuku mwenyewe ana akili ya kulala bila kuumiza vifaranga vyakeKwahiyo magari wanayonunua na majumba wanayojenga ni kwahiyo posho?tumia akili kuku wewe
Kigogo mwenyewe ni mimiR.I.p kanali.............
Inavyosemekana dereva bajaji anaundugu na kigogo mkubwa tu hapa bongo.....so ngoma inaenda kua drooo........waswahili wanasema ukiyajuaaa ya mbele wenzako wanajua ya nyuma....
Na uyo kigogo kasema dogo asiguswe hata na kidole ataua mtu............
Na ndugu nao hawatakubali watamalizanaWatamdedisha tu
Vijana wengi walishavurugwa (tulishavurugwa) kisaikolojia, wapo wengi ambao hawalipi kuchukua maamuzi magumu kama huyo mtuhumiwa, TUNAKOENDA NI TATIZO KUBWA SANA ZAIDI YA HILI. Kwani vijana hawana ajira, hawako vizuri kichwani, matatizo kibao kila upande, huyo ni mmoja ambaye kamezeshwa sumu na mfumo wa maisha ya sasa, na sio peke yake wapo wengi tu kama huyo,,,
Hawa wanajeshi huwa wana ubabe wa kifala sana kuna siku aling'ang'ania kumbeba binti pale mnarani kwenye bar ya fire ila tukamuokoa yule binti badala utongoze unaleta ubabe wa kifala eti mnanijua mimi ni naniKanali upumbavu gani?ukileta ujinga Ahera madukani inakusubiri,yaan mtu anacheo cha tano jeshini anakua na akili za makuruti.
NapitaKamaRadi
Ubabe umezua umauti.Inasemekana ( kwa aliyenipa Taarifa Kamili kuwa ) Dereva Bajaji jana Usiku katika Baa Moja maarufu iliyo kwa ndani ( Mafichoni kidogo ) mkabala na Petro Station ya PUMA Kawe alipishana Kauli na Mwanajeshi ( tena Mkubwa wa Cheo cha Kanali ) kuhusu Kuzibiana njia ya kupita.
Ambapo Afande Kanali alikuwa Kapaki Gari lake lililokuwa limezuia njia kwa mbele na Dogo ( Dereva Bajaji ) kuhoji kwanini Afande aliziba njia hali iliyomkwaza Afande ( wa Cheo cha Kanali Muro kama sijalikosea Jina lake ) ambapo Afande Kanali akatoka ndani ya Gari lake na Kumzaba Makofi Dereva Bajaji huyo.
Kisha nae ( Dereva Bajaji ) kwa Hasira akaamua kwenda kuchukua Bisibisi Bajajini Kwake na kuja Kumchoma nayo Afande Kanali upande wa Moyo hali iliyomfanya akimbizwe Lugalo Hospital kwa Matibabu na Umauti kumkuta huko huko Wodini.
Inasikitisha sanaJeshi la kupiga raia, ni jeshi lisilo na nidhamu
Jeshi makini haliwezi kuact kama thugs
Maform four failure hayo hamna kitu,hayajui hata vita ikoje.Hawa wanajeshi huwa wana ubabe wa kifala sana kuna siku aling'ang'ania kumbeba binti pale mnarani kwenye bar ya fire ila tukamuokoa yule binti badala utongoze unaleta ubabe wa kifala eti mnanijua mimi ni nani
Nchi za ulimwengu wa tatu zina mambo mengi sana ya ajabu ajabuSema washua wenye mamlaka huwaga wanajisahau sana , Kuna video nmeona mtandaoni Kuna dogo alikua anaendesha ist alichomekeana na land cruiser flan nyeus jamaa akaamza kumletea ubabe wa ki CIA dogo road kila akienda huku jamaa linamzibia njia dogo akaenda TikTok live akawa ana broadcast the whole shit maana alishahis hatari jamaa kufika makumbusho aka block njia akashuka kwa gar akaonekana na suti yake ya uzalendo nadhan alipigia wadau wakatoka mule chimbo lao la idara wakamuongoza dogo kuingia tunduni aku anaendelea kurusha mubashara tukio watu wa mabaka ya kenge wakashtukia kama mwamba anawarekodi ndo nkajua kabisa mwamba kaisha mule ndani kamera hapapatani kabisa na msala wa dogo sidhan ata familia yake kama inaweza kuusovu labda kwa vile sura za wahusika ziko online zinaweza kutumika kwenye mahakama za jadi kupata haki kama hakuachiwa lakin
Watu wamevurugwa jiweHawa boda na bajaj wabadilike kuna wengine jambo dogo tu wanalifanya linakuwa kubwa sijui ni uelewa mdogo. Na silaha wanazipenda sana wengine wanatumia kufanya uhalifu kwa mteja hasa nyakati za usiku.
Kwahiyo ukimezeshwa sumu ndio uende kuua ?Vijana wengi walishavurugwa (tulishavurugwa) kisaikolojia, wapo wengi ambao hawalipi kuchukua maamuzi magumu kama huyo mtuhumiwa, TUNAKOENDA NI TATIZO KUBWA SANA ZAIDI YA HILI. Kwani vijana hawana ajira, hawako vizuri kichwani, matatizo kibao kila upande, huyo ni mmoja ambaye kamezeshwa sumu na mfumo wa maisha ya sasa, na sio peke yake wapo wengi tu kama huyo,,,