Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

Wewe andika tu, hujawahi kuwana bad day. Hujawahi tukanwa wewe mpaka ukahisi umedharauliwa sana. Omba isikutokee
 
hkuna kesi apo tunadeal nae vizuri tu ataenda kusomewa mashtaka kuzimu
 
Sasa dogo kafanya tukio kubwa kama hilo angetakiwa kupotea mazima na bajaj yake.
Alichokosea alipomchomoa Bisibisi Afande ( Kanali ) na kuona Kamjeruhi vibaya ( nadhani kwa Kuchanganyikiwa ) akaamua Kukimbia na kuiacha Bajaji yake ambayo ilikamatwa na ndiyo imerahisisha pia hata Yeye Kukamatwa kwani Watu wake wa Kijiweni walitoa Ushirikiano.
 
Hapa ndipo shetani alipochukua point zake..dah hasira hasara
 
Yeah too bad alipanic aisee.
Hapo hawatomuacha salama.
Sijui hata ndugu kama wakienda police kuhimiza ndugu yao ashtakiwe mahakamni kama watasikilizwa.
 
Ni kukosa busara na ulevi wa madaraka
 
Sasa mkuu wanajeshi wetu tunawapenda sana wakisema wawe wanatumia Nguvu kila sehemu si watatumaliza?
Maana kuna wakati tunakutana kwenye demu moja na kavaa kiraia au yuko kwenye Daladala konda anataka nauli yake.
Watawamaliza nyie mayai mayai. Tutamalizana. Kwani hapo aliyemalizwa mpaka sasa ni raia au mwanajeshi? Acheni woga. Wanajeshi ni watu tu kama wengine
 
Huyo mjeshi kifo kakitaka Hawa askari wanazidi Sana ubabe Kwa raia watu wnaa stress bwana
 
Wana masifa mnoo àfu wanapenda ubabe
 
Mungu tu kamdhalilisha huyo askari
 
Magari yamepita asubuhi Mzee wewe umelala yamepita malori kibao yamebeba wanajeshi yanatoka Lugalo, endelea kulala wao hawalali wanakulinda wewe na mipaka ya Nchi yako
acha kusifia ujinga,mipaka ya nchi inalindwa kwa kupiga raia?.

na jeshi la polisi litakuwa na kazi gani kama jwtz wanaingia mtaani kukimbizana na vijana wa bodaboda?.
 
Ndo kafa sasa Kwa kuchomwa bisibisi Kwa kulamisha hizo nguvu
 
Kwa nchi za wenzetu ukishamkorofisha mtu kama ivo ukamuona anazama katk gari yake kwa jazba juwa anatoka na silaha, ila unaweza kuta dogo hakutumia ustaarabu katik kuomba njia hata mimi ukini disrespect hata kama upo na haki nakunasa vibao mengineyo ni ajali kama ajali zingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…