Kazi isiyoangaliana na mlango wa Jela haiwezi kukufanya kuwa Tajiri

Halafu matajiri mara nyingi ukichukua mali zao zote ukatoa madeni yao yote habakiwi na fedha za kushtua. Unakuta ana milioni mia au mia mbili kwa mwaka ila mzunguko wake ni bilioni za kutosha ambazo ni mikopo.
 
Dunia ipo vice versa ila haya yote uliyoandika 95% ni Mambo ya kiroho na 5% Physical realm..
Washirikina wanajua Sana haya Mambo siyo yakutumia miguvu na akili zako, bila Mungu wako hutoboi panene.
 
Wanaita attitudes
 
Sekta ya madini bila uchawi inawezekana kabisa na b ni hela ya kawaida tu. Ukizijua siri za uchimbaji madini uhitaji mganga wala ushirikina na utajiri utaupata tena wa halali bila masharti
Hapo kwenye siri ndio uchawi wenyewe sasa
 
Nafikili Tanzania napo wangeuwa waganga wote ili tusikwamishane mtu unalima hekari za kutosha unafanyiwa ndumba unavuna gunia kituko na mvua zilinyesha vizuri majirani mavuno safi mbolea uliweka kanuni ulifata ila mavuno sasa wasukuma tunaelewa namaanisha nini
 
Only a low IQ person thinks this way.
Angalia mfumo wa kukusanya kodi barani Africa background ya familia nyingi za kiafrica ubora wa elimu inayotolewa mashuleni mazingira wanayokulia vijana wengi wa kiafrica angalia viongozi wa kiafrica na mfumo mzima wa utawala utamuelewa mtoa mada
 
Waliosoma na kuelimika ndio wanakimbizana kwenye ajira juzi zimetangazwa nafasi 17,412 wakaomba 165,948 sasa kama waliosoma na kuelimika ndio hawa huo utajiri tunaupataje kama kujiajiri tu imekuwa kipengele
 
Masikini siku zote ni watu wenye roho mbaya na wivu maana yake chochote kile utakachofanya ni lazima waumie na kuzusha maneno sasa usiombee uwe na uwezo mkubwa wa kifedha.

Wewe ni mmoja wapo mkuu.
Alichokisema kina leta maana regardless ni masikini au tajiri ni msomi au si msomi don't judge the person judge the content ,,ni wanasiasa wangapi bongo wanaiba billions of money maafisa wa TRA mawaziri wanafanya biashara haramu wanakwepa kodi na mambo chungu nzima (baadhi lakini)

mwisho wa Siku mtoto atarithi zile Mali ambazo upatikanaji wake una walakini atasifiwa na jamii na kuwa rolemodel wa vijana wenzie
 
Sekta ya madini bila uchawi inawezekana kabisa na b ni hela ya kawaida tu. Ukizijua siri za uchimbaji madini uhitaji mganga wala ushirikina na utajiri utaupata tena wa halali bila masharti
Mkuu sehemu iliyotawaliwa na uchawi sasa ni huko bila ramani za waganga utachimba miaka yako yote ya ujana na uzee hadi kifo hutaambulia mali kubwa ila pesa ya kula utapata but pesa ya utajiri sahau mzee
 
Embu tuanze na bilionaire wa kwanza wa dunia wanaotambulika kisheria acha na hawa wamadawa ya kulevya,mfano elon musk,bill gates,bezos wao utajiri wao umeanzaje?wamevunja sheria zipi?
 
Acha sound mkuu.... Sasa wewe si uwe mchawi upate hizo billion.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…