Kazi isiyoangaliana na mlango wa Jela haiwezi kukufanya kuwa Tajiri

Mfatilie vizuri huyu jamaa utagundua kuna pesa flan hivi alizipiga ndio zikampa breakthrough ya utajiri
 
Uzi uko shallow, ume base kwenye hisia kuliko uhalisia. Aidha, unapeleka imani hasi na kufikirisha kwamba jinai ndiyo njia hakika ya kùfikia utajiri.

SAHIHiSHO
Utajiri unaletwa na ubunifu na kufanya kazi kwa bidii:

Katika kundi la matajiri 10 duniani wameupata utajiri kutokana na kazi zao za kibunifu

1, Elon Musk (Tesla);
2. Bill Gates (Microsoft );
3. Etc

Tumeshuhudia ata hapa kwetu vijana wabunifu wakitusua kama akina Joseph Kusaga, Diamond Platinums na wengine.

Jinai hailipi, usiaminishe jamii vitu vya uongo
 
Nadiriki kusema kuwa bichwa lako la habari ni ujinga wa hali ya juu.

Hizo ni fikra zanfailures.

Were ni katikabhawa: Maongezi vijana wa Tanzania; 96% ni pumba
 
Sasa hiyo ina relate vipi na kuingia jela ?
 
Kukwepa kodi ni jinai au sio jinai?
 
Watu wengine wanaokamatwa sana na polisi ni wachezasha Play Station.
Wauza gongo, wawindaji haramu kwa ajili ya nyama (si wale wa pembe za ndovu na faru). Kutwa kucha wako police utajiri wao hatuuoni.
 
Tapeli huyo kijana.. Uwe na 800ml ukae chumba cha kupanga Kimara. Tumieni akili ndio maana anawatapeli pesa zenu
 
Halafu matajiri mara nyingi ukichukua mali zao zote ukatoa madeni yao yote habakiwi na fedha za kushtua. Unakuta ana milioni mia au mia mbili kwa mwaka ila mzunguko wake ni bilioni za kutosha ambazo ni mikopo.
Ndivyo ilivyo mkuu, ili upate million 200 lazima ufanye biashara ya billions. Kwahiyo hapo usishangae chochote
 
Mzee wa fasihi unaweza ukamiliki pesa nyingi bila ndumba mfano fanya biashara ya real estate jiingize biashara za kuuza viwanja utapata b za kutosha, panda miti eka 20 au zaidi baada ya miaka 12 utapata b za kutosha.
Hujui miti huwa yaungua?
 
MO hajarithi maana Wazazi wake wapo hai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…